Ninayo machache kwako kama raia wa nchi kama ilivyo kwa watanzania wengine. Kwa siku za hivi karibuni hasa alhamisi ya tar 12.05.2022 kulienea taarifa katika mitandao ya kijamii juu ya uanachama wa dada zetu 19 waliokuwa wanachama wa CHADEMA kuwa wamevuliwa uanachama wao ndani ya CHADEMA.
Na sio tu taarifa hizi ziko Kwenye social media lkn pia zilirushwa na vyombo mbalimbali vya vya habari vya ndani ya nchi na nje ya nchi.
Lakini cha kushangaza ijumaa waliingia bungeni na ww ukawapa na nafasi ya kuchangia mijadala. Mhe Spika ombi langu kwako ni moja tu nyinyi ndo watunga sheria naomba mheshimu sheria za nchi.
Na sio tu taarifa hizi ziko Kwenye social media lkn pia zilirushwa na vyombo mbalimbali vya vya habari vya ndani ya nchi na nje ya nchi.
Lakini cha kushangaza ijumaa waliingia bungeni na ww ukawapa na nafasi ya kuchangia mijadala. Mhe Spika ombi langu kwako ni moja tu nyinyi ndo watunga sheria naomba mheshimu sheria za nchi.