Ni kweli kuna Mbunge hajui kama kuna dira ya Taifa ya Maendeleo 2025? Tulikosea 2020, tujisahihishe 2025

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Jan 3, 2013
2,125
1,469
Inashangaza, inasikitisha, inakera, inaumiza, inahuzunisha,

Ikiwa Mbunge wa kuchaguliwa hajui kama nchi tuna dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, Je mbunge huyu anajua kuwa kuna Ilani ya chama? aliombaje kura kwa Wananchi kama hajui chochote? je anajua yuko bungeni kwa kazi? akiwa kama Mwenyekiti wa mfuko wa kuchochea maendeleo jimboni kwake (CDF) anajua vipaumbele vya Taifa?

Tulikosea, tuliteleza kwa Wabunge wa namna hii, Imani yangu wanayasema haya si kwa bahati mbaya, ni mkakati maalum, uhuni huu ukome 2025. CCM sasa kiko Imara kuliko ilivyokuwa 2020, Ina Mwenyekiti Imara, Makini na Muwazi, Makamu mwenyekiti Imara na makini, Katibu Imara na makini na Wasaidizi wengine makini

Mh. Mbunge, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mama Samia Suluhu Hassan inasimamia dira ya Tazifa ya Maendeleo 2025, mambo yote yanayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita yapo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi 2020-202

JIANDAE KUHESABIWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA.
 
Inashangaza, inasikitisha, inakera, inaumiza, inahuzunisha,

Ikiwa Mbunge wa kuchaguliwa hajui kama nchi tuna dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, Je mbunge huyu anajua kuwa kuna Ilani ya chama? aliombaje kura kwa Wananchi kama hajui chochote? je anajua yuko bungeni kwa kazi? akiwa kama Mwenyekiti wa mfuko wa kuchochea maendeleo jimboni kwake (CDF) anajua vipaumbele vya Taifa?

Tulikosea, tuliteleza kwa Wabunge wa namna hii, Imani yangu wanayasema haya si kwa bahati mbaya, ni mkakati maalum, uhuni huu ukome 2025. CCM sasa kiko Imara kuliko ilivyokuwa 2020, Ina Mwenyekiti Imara, Makini na Muwazi, Makamu mwenyekiti Imara na makini, Katibu Imara na makini na Wasaidizi wengine makini

Mh. Mbunge, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mama Samia Suluhu Hassan inasimamia dira ya Tazifa ya Maendeleo 2025, mambo yote yanayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita yapo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi 2020-202

JIANDAE KUHESABIWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA.
Tatizo watu kama Gwajiboy bado wana maumivu kwa kuondokewa na yule dikteta aliyewapeleka bungeni kwa lango la uani.
Sijui kapata wapi guts za kusema nchi haina dira wakati wanajitapa kwamba wanaongoza kwa ilani na mpango wa miaka mitano.
Tuna bunge la ovyo sana. Bora wangeondoka na boss wao wote pamoja

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Tanzania haijawahi kuwa na upungufu wa mipango, imekuwepo mipango ya miaka mitano, MKUKUTA, MKURABITA, Vision 2025
Inashangaza, inasikitisha, inakera, inaumiza, inahuzunisha,

Ikiwa Mbunge wa kuchaguliwa hajui kama nchi tuna dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, Je mbunge huyu anajua kuwa kuna Ilani ya chama? aliombaje kura kwa Wananchi kama hajui chochote? je anajua yuko bungeni kwa kazi? akiwa kama Mwenyekiti wa mfuko wa kuchochea maendeleo jimboni kwake (CDF) anajua vipaumbele vya Taifa?

Tulikosea, tuliteleza kwa Wabunge wa namna hii, Imani yangu wanayasema haya si kwa bahati mbaya, ni mkakati maalum, uhuni huu ukome 2025. CCM sasa kiko Imara kuliko ilivyokuwa 2020, Ina Mwenyekiti Imara, Makini na Muwazi, Makamu mwenyekiti Imara na makini, Katibu Imara na makini na Wasaidizi wengine makini

Mh. Mbunge, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mama Samia Suluhu Hassan inasimamia dira ya Tazifa ya Maendeleo 2025, mambo yote yanayotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita yapo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi 2020-202

JIANDAE KUHESABIWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA.
 
Sidhani hata Kama ulimuelewa! Anyway sio kila kitu ni kwaajili ya kila mtu!.
Sahihi kabisa, kama Mtu hawezi kuelewa mambo yaliyo wazi kama hili. Mipango ya maendeleo inawekwa na Mtu mmoja, iliwekwa na watu wengi inafunikwa.
 
Usiseme tulikosea, sema alikosea maana uchaguzi wa 2020 ulikuwa ni one man show.
Hata sasa hivi huko kuzm atakuwa anaita kwa sauti "Nireteeeeni Gwajimaaaaaa" ili akamfufue.
 
Sidhani hata Kama ulimuelewa! Anyway sio kila kitu ni kwaajili ya kila mtu!

Sahihi kabisa, kama Mtu hawezi kuelewa mambo yaliyo wazi kama hili. Mipango ya maendeleo inawekwa na Mtu mmoja, iliwekwa na watu wengi inafunikwa.
Mpango upi uliowekwa na mtu mmoja? ulete hapa Mpango ambao umeletwa na Mtu mmoja hauko kwenye Dira ya Taifa 2025
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom