jaji chande

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mchango wa Jaji Chande kwa Ripoti ya Tume

    Uadilifu wa Jaji Chande ulioonekana katika majukumu yake ya Umoja wa Mataifa umechangia pakubwa katika kazi ya Tume Ya Uchunguzi 29 Oktoba . Ripoti itakuwa huru, yenye mamlaka na itakidhi matarajio ya wananchi wa kupata ukweli wa kilichotokea. #TumeYaUchunguziReport RipotiYaChande Ukweli Na Haki
  2. tpaul

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mambo muhimu ambayo Tume ya Uchunguzi ya Jaji Chande imeyapuuza

    Wakuu naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Yafuatayo ni mambo nyeti ambayo tume ya uchunguzi wa mauaji ya MO29 imeyaepuka kwa sababu ambazo wanazijua wao wenyewe: 1. Chanzo cha machafuko Tume haijataja chanzo cha tatizo ni nini kwa kuwa kinagusa mamlaka moja kwa moja...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Leo ndio siku ambayo Tume ya Jaji Chande inapanga kuwasilisha taarifa yao ya uchunguzi (findings) kuhusu vurugu na yale yaliyotokea siku ya Uchaguzi M

    Tume ilipewa majukumu 6 kwa mujibu wa hadidu za rejea (ToRs) mara baada ya kuundwa kwake ambazo ni; 1. Kuchunguza na kubainisha chanzo halisi cha ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025 na katika siku chache zilizofuata; 2. Kuchunguza madhumuni ya msingi...
  4. Mindyou

    JamiiForums Tanzania Maulid Kitenge: Nina imani kubwa na Tume ya Jaji Chande. Ripoti ya kesho itaenda 'kuponya' Watanzania

    Wakuu, Nakumbuka hata kipindi kile cha Uchaguzi MaCCM yalitumia mbinu hizi hizi za kutumia watu maarufu kuhalalisha Uchaguzi ila kilichotokea hadi leo hawaamini Ni lini CCM itakubali kwamba Generation imebadilika and that kutumia watu maarufu ilikuwa ni trick ya zamani sana ambayo sasa hivi...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Kesho si siku ya kawaida: Ripoti ya Jaji Chande yabisha hodi. Joto limezidi kupanda

    Kesho, tarehe 23 Aprili 2025, si tarehe ya kupita kimya kimya kwenye kalenda ya taifa—ni siku ya maamuzi, siku ya ukweli, na huenda ikawa siku ya kutikisa mizizi ya siasa za nchi yetu. Ripoti ya Tume ya Uchunguzi iliyoongozwa na Jaji Chande hatimaye inawekwa hadharani, na tayari upepo wake...
  6. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Jaji Chande kujikita katika madhara tu na siyo Makosa, walioikataa waliona mbali sana

    Guys guys Kweli waliosema hii tume ni sawa na mwanaume ajichunguze mwenyewe kama ana mchepuko imedhihirika wazi wazi kabisa. Hii tume inatarajia kutuletea madhara tu wala si kusema nani aliokosea ah aha haha ha 😆 😄 😅 . Sasa kama haitaiona Makosa si yatajirudia tena? Yaanai KUTEKA. KUUA na...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Danadana za Tume ya Jaji Chande na matokeo yanayotarajiwa

    Tangu Tume ya Uchunguzi wa matukiuo ya Uvunjifu wa Amani kabla na baada ya Oktoba 29, 2025 ilipoanzishwa Novemba 20, 2025, watu waliitilia shaka utendaji wake na kwamba haiwezi kuwa huru. Tume hiyo inaongozwa na Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman, akisaidiwa na wajumbe saba (7): Profesa...
  8. L

    JamiiForums Tanzania UN yaonyesha tena matumaini makubwa Tume ya Jaji Chande

    Geneva, Uswisi: Msimamizi maalumu wa Umoja wa Mataifa (UN), Gina Romero, ameisifu Tanzania kwa kuunda Tume huru ya Uchunguzi ya matukio ya Oktoba, kuwa ni uthibitisho kujali haki za binadamu. Gina aliisifu Tanzania mjini Geneva, Uswisi, Machi 12, alipofanya majumuisho ya mada kuhusu: Ukweli na...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Hatujapewa muda wa ziada ili kuchakachua ripoti ya vurugu za uchaguzi

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya vurugu za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Mohamed Chande Othman, amekanusha uvumi kuwa nyongeza ya muda wa Tume hiyo imelenga kuchakachua ripoti yake. Akizungumza, Jaji Chande alisema sababu za kuomba kuongezewa muda wa siku 21 ni pamoja na ukubwa...
  10. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Wasiwasi watanda, Tume ya Jaji Chande ikikamilisha ripoti yake

    Wakati muda wa Tume ya Kuchunguza Uvunjifu wa Amani kabla na baada ya Oktoba 29, 2025 ikikaribia mwishoni katika uchunguzi na kutoa ripoti yake, Watanzania wana kiu ya kuona ripiti hiyo itakuja na majibu gani. Tume hiyo iliundwa Novemba 20, 2025 na Rais Samia Suluhu Hassan kufuatia kuwepo kwa...
  11. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa waeleza matumaini yake kwa Tume ya Jaji Chande

    Mtaalamu Maalum wa United Nations kuhusu haki ya uhuru wa kukusanyika kwa amani na kujumuika, Gina Romero, ameipongeza Tanzania kwa kuunda tume huru ya uchunguzi kuhusu matukio ya vurugu ya Oktoba, akisema hatua hiyo inaonyesha dhamira ya nchi hiyo kulinda haki za binadamu. Romero alitoa kauli...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Thinking Aloud Kwa Maslahi ya Taifa: Ikitokea Umeitwa Mbele ya Tume ya Jaji Chande, Je Utatoa Ushirikiano?, Na Ukifika Mbele ya Tume, Utoe Hoja Gani?

    Wanabodi, Hii ni mada ya Thinking Aloud Kwa Maslahi ya Taifa, kukuomba ushirikiano wako kwa ushirikishwaji, kutoa maoni yako na mawazo yako kumshauri mwana jf mwenzenu, ikitokea ni wewe umeitwa kufika mbele ya Tume ya Jaji Chande, Je Utatoa Ushirikiano?, Na Ukifika Mbele ya Tume, Utoe Hoja Gani...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya uchunguzi ya Jaji Chande yakutana na Sabaya, kujadili matukio ya Uchaguzi wa 2025

    Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imekutana na kufanya mahojiano na aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya leo Februari 24, 2026. Kikao hicho kilichofanyika katika ofisi za Tume zilizopo ndani ya jengo la...
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29, 2025 yaongezewa muda mpaka Aprili 3, 2026

    Wakuu, Mambo magumu huko😂🤣🤣, hesabu naona kama zile ya Yanga, hata na kalkuleta bado ngoma mbichiiiii! Hivi kesi ya Lissu inaenda mpaka tarehe ngapi tena?🌚 Jamaa bado anagoma kuingia kwenye Maridhiano ya mchongo? Maana za ndaaaaaaaaani zinasema Lissu ameshafuatwa gerezani zaidi ya mara moja...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kama Tume ya Jaji Eliezer Feleshi ilipuuzwa na akina Zombe wakaachiwa, Hii ya Jaji Chande Othman itasaidia nini?

    Ni kwamba hakuna chochote kipya kitachosaidia taifa letu. Watu wameuwawa hadi wakiwa majumbani na kwenye vijiwe vya kahawa wakiangalia Luninga. Mbona Tume ya Jaji Feleshi ilifunua ukweli wa wauaji Mabwe Pande na wakaachiwa huru?
  16. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande aliyekushauri kuzima mtandao wa so called tume yako amekupoteza. UNAFICHA NINI? UNAFICHA UKWELI AU UONGO?

    Sasa ndiyo huaminiki kabisa kabisa. Zile tuhuma kuwa huwezi kumchunguza aliyekuteua ndiyo umezidhihirisha! Kitu gani hutaki watu wakisikie na kukiona? Kwa sababu ipi? Labda kwa vile hii si TRUTH AND RECONCILIATION COMMISSION unaweze kuiendesha unavyotaka au waliokuteua wanavyotaka!
  17. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Tetesi: ACT Wazalendo, ilikutana na Tume ya Jaji Chande na wakaomba isipigwe picha?

    Nimepewa hii habari na mtu alie karibu sana na mmoja wa wa viongozi wa ACT Wazalendo, na nimeileta kama tetesi ingawa nimehakikishiwa kwamba ni ukweli kwa asilikia 100, akaniambia Viongozi walisha kutana na tume ya Chande ila shariti kubwa ni walitaka isipigwe picha, na alie shinikiza ni Katibu...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Jaji Chande yakutana na Jaji Warioba kujadili matukio ya Uchaguzi wa 2025

    TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 14, 2026, imekutana na Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, Joseph Warioba. Mkutano huo wa Tume na Mzee Warioba, ambaye pia ni Jaji mstaafu ulifanyika...
  19. K

    JamiiForums Tanzania ITV: Waliopigwa risasi na kuuwawa mnamo tarehe 29 Oktoba 2025 hawakuwa waandamaji - Tume ya Jaji Chande

    Nipo hapa napata Moja baridi na Moja baridi nchi jirani huku nikofuatilia ITV HABARI kupitia YOUTUBE, huyu mtangazaji wa ITV anayeitwa Asiraji Mvungi, ameripoti Kwamba Tume ya Jaji Chande imekutana na wahanga na waathirika wa vurugu baada ya uchaguzi, na waathirika hao wamemwambia Jaji Chande...
  20. Q

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande anatoa ONYO kama nani, asifikiri enzi hizi ni sawa na enzi zao

    Badala ya Tume kujenga ukaribu na wananchi ili wapate wanachokitaka wamejipa mamlaka ya upolisi na kuanza kuwafokea. Namshauri huyu Mkiti wa Tume, kuliko kuanza kujibizana na vijana wadogo bora amalizie miaka yake iliyobaki kwa kucheza na wajukuu zake nyumbani, lkn kama amechagua tamaa ya pesa...
Back
Top Bottom