jaji chande

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Matukio ya Oktoba 29 yamesababisha majeraha kwa taifa, maridhiano ni hatua muhimu kuponya taifa

    Jaji Chande amesema kuwa tume imebaini kuwa kuhusu maridhiano na katiba mpya, tume imebaini kuwa matukio ya Oktoba 29 pamoja na changamo vimesababisha nyufa na majeraha kwa taifa hivyo maridhiano na muafaka wa kitaifa ni hatua muhimu katika kuponya majeraha, kurejesha amani, kuaminiana...
  2. McLaren

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Kuna wananchi 13 waliuliwa kwenye kibanda cha TV Mwanza na watu wanaodhaniwa kuwa askari Polisi

    Wakuu, Roho imeniuma sana na hii stori ya huko Mwanza Hapa Jaji Chande anaelezea jinsi mapolisi walivyouwa watu 13 huko Mwanza Daah!
  3. B

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Kituo cha Polisi Salasala kilivamiwa na watu zaidi 150 wenye silaha, polisi walitumia mabomu na baadae wakakimbia baada ya kuzidiwa nguvu

    "Ile ni ngazi ya kwanza ambayo polisi tu, kwa sura yake na nguo alizovaa, inasambaza makundi yaliyokusanyika. Lakini yapo pia maeneo mengine kutokana na kiwango cha tishio kwa uhai wa askari au raia wengine, ililazimu kutumia hatua nyingine zile za juu, na ziko hatua sita. Mfano, kituo cha...
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume inapendekeza kufanyika uchunguzi tukio la wanaodhaniwa kuwa askari kuua watu 13 kwenye kibanda cha video Mwanza

    Jaji Chande anasema tume ilipata taarifa ya mauaji ya watu 13 katika kibanda cha kuonesha video ambapo anasema kuna shahidi alisema wanaodhaniwa kuwa askari walivamia kibanda hicho na kuwapiga risasi waliokuwa kuwa ikiwepo pia manusura huyo, ambapo anasema tuhuma hizo ni nzito hivyo zifanyiwe...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Kauli Mbiu zilizochochea machafuko

    Baadhi ya kauli Mbiu zilizochangia machafuko ni Oktoba tunatiki, Oktoba tunatoka, no Reform no Election, Samia Must Go.. Jaji Chande
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Wagombea walioenguliwa walichochea machafuko

    Baadhi ya wagombea waliokatwa kwenye vyama vyao walichochea chini chini machafuko: Jaji Chande
  7. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Jumla ya shilingi milioni 621.7 ziliporwa na kuibiwa katika ATM za CRDB, NMB na NBC

    Jaji Chande anasema katika ghasia za Oktoba 29, sekta ya fedha pia ilipata hasara ambapo kiasi cha tsh. milioni 627.7 ziliporwa na kuibiwa katika ATM za CRDB, NMB na NBC
  8. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Madai ya kuwepo kwa makaburi ya Kondo hayakuweza kuthibitishwa

    "Lakini pia, Mheshimiwa Rais, kulikuwa na madai ya kuwepo makaburi ya halaiki. Kulikuwa na madai hayo kupitia vyombo vya habari vya kimataifa na mitandao ya kijamii kuhusu uwepo kwa makaburi ya halaiki eneo la makaburi ya Kondo, Kunduchi, Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam. Tume imefanya...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania CV ya Mwenyekiti wa Tume ya matukio ya 29/ 10, Jaji Mohamed Chande Othman

    Ustadi wa Jaji Chande katika Sheria ya Kibinadamu ya Kimataifa, Sheria ya Wakimbizi, Sheria ya Jinai na Sheria ya Ushahidi unamfanya kuwa kiongozi bora siyo tu duniani bali eneo lote la Afrika Mashariki wa uchunguzi wowote muhimu unaohusisha hasara ya maisha na uwajibikaji wa serikali. Hii...
  10. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Messages mlizonitumia kuniomba niseme kitu kuhusu ripoti ya Jaji Chande zinatosha.. msitume tena

    Tafadhalini ndugu zangu. Msitume tena ujumbe PM. Nitasema kitu baada ya kuipitia ripoti nzima ya Jaji Chande.
  11. H

    JamiiForums Tanzania JAJI CHANDE AKIWASILISHA MUHTASARI WA RIPOTI YA TUME YA UCHUNGUZI

    JAJI CHANDE AKIWASILISHA MUHTASARI WA RIPOTI YA TUME YA UCHUNGUZI Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Mohamed Chande Othman, akiwasilisha Muhtasari wa Ripoti ya Tume hiyo mbele ya Rais wa...
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Mali zilizoharibiwa Oktoba 29 zina thamani ya Tsh. Bilioni 125

    Jaji Chande amesema hayo wakati Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam "...Madhara ya kiuchumi. Madhara makubwa ya kiuchumi...
  13. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Thamani ya mali zilizoharibiwa na ghasia za Oktoba 29 ni Bilioni 125. Sekta binafsi thamani yake Bilioni 89, za Serikali ni Bilioni 36

    Wakuu Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  14. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Kuna kijana Usariver alipewa shilingi 50,000 na kuahidiwa Tsh. Milioni 5 ili ashiriki (maandamano)

    "Kuna kijana mmoja, Usariva Harusha, mwenye umri wa miaka kumi na sita. Alishawishiwa, alipewa Shilingi elfu hamsini ashiriki, na walimuahidi—na kwa maneno yake—walimuahidi watampa Shilingi milioni tano akishiriki. Na kwa ushahidi wake, anasema 'walinipa mchongo utakaonitoa kwenye umaskini'...
  15. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 jaji Chande: Madai watu kupigwa risasi kwenye maeneo yao ni tuhuma nzito zinazoashiria uwezekano wa matumizi ya silaha za moto

    Jaji Chande amesema kuwa tume ilipokea madai kutoka kwa waathirika na watu wengine kuhusu watu kupigwa risasi, kujeruhiwa au kuuawa katika maeneo ambayo hayakuwa na ghasia na vurugu, na madai ya watu kupigwa risasi kwenye makazi yao ikiwa ni pamoja na ndani ya nyumba au sebuleni na ndani ya...
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Tume ilipokea ushahidi kuhusu watu kupotea au kutopatikana tangu uchaguzi mkuu

    “...vilevile inawezekana kulikuwa na majeruhi ambao waliamua kutibiwa nje ya mfumo rasmi, na wakafariki bila taarifa zao kufikishwa panapostahili. Tume pia ilipokea ushahidi na madai kuhusu watu kupotea au kutopatikana tangu wakati wa uchaguzi mkuu. Kwa kuzingatia ufafanuzi uliotolewa kwa idadi...
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Waliofariki kutokana na vurugu ni 518, watoto walikuwa 21

    Akizungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  18. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji chande: Wahusika wakuu na waratibu wa ghasia za Oktoba 29 hawakuwepo kwenye maeneo ya matukio

    Jaji Chande amesema kuwa imebainika makundi yaliyoshawishiwa ndiyo wahusika zaidi katika ghasia wakati wahusika wakuu na waratibu wa ghasia hawakuwepo kwenye maeneo ya matukio hali iliyochangia kutokamatwa kwao, huku wengi na waliokamatwa wakiwa na wananchi wa kawaida wakiwemo wafuata mkumbo, au...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Washiriki wa ghasia walibeba silaha mbalimbali jambo ambalo haliruhusiwi kisheria kwenye maandamano ya amani

    .......tatu, washiriki wa ghasia za wakati na baada ya uchaguzi mkuu walibeba silaha za aina mbalimbali, zikiwemo mawe, nondo, mkuki, sururu, fimbo, marungu, visu, vibiriti, vipulizi, bunduki, manati, kombeo, rato, mapanga; jambo ambalo haliruhusiwi kisheria katika maandamano ya amani. Hii ni...
  20. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Matukio ya Oktoba 29 yalipangwa na kufadhiliwa na watu waliopata mafunzo

    Wakuu, Anazungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam Pasipo na shaka, kuwa matukio ya ghasia ya tarehe 29 Oktoba...
Back
Top Bottom