Mchango wa Jaji Chande kwa Ripoti ya Tume

Mchango wa Jaji Chande kwa Ripoti ya Tume

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
529
Reaction score
498
Uadilifu wa Jaji Chande ulioonekana katika majukumu yake ya Umoja wa Mataifa umechangia pakubwa katika kazi ya Tume Ya Uchunguzi 29 Oktoba . Ripoti itakuwa huru, yenye mamlaka na itakidhi matarajio ya wananchi wa kupata ukweli wa kilichotokea. #TumeYaUchunguziReport
RipotiYaChande
Ukweli Na Haki
IMG-20260422-WA0100.jpg
 
IMG-20260423-WA0258.jpg
Kwa pamoja Watanzania wanaweza kujenga mustakabali imara. Ripoti ya Tume inatoa mwongozo wa kurekebisha na kuwajibisha wahusika. Mshikamano wa kitaifa ndio ufunguo wa amani ya kudumu.#RipotiYaChandeTume Ya Uchunguzi
 
Tume imetoa wito wa uwajibikaji wa haki, maridhiano na maendeleo ya taifa. Watanzania wote wanapaswa kukumbatia ukweli huu na kufanya kazi pamoja kujenga Tanzania yenye amani, haki na umoja wa kudumu. #UwajibikajiWaHaki
#TumeYaUchunguziReport
Haki Na Amani
IMG-20260428-WA0125.jpg
 
Mbona wao wametuletea uongouongo uliopea viwango na uzandiki mtukuka?Wangeanza wao ingependeza sana.
 
Kwa zile posho ni haki mjumbe wa sekretariat ya tume kuhangaika humu. Lazima urejeshe masurufu
 
Back
Top Bottom