Uingereza imeripotiwa kuwawekea vikwazo mawaziri wa Israel Itamar Ben-Gvir na Bezalel Smotrich kutokana na misimamo yao mikali dhidi ya Gaza inayotawaliwa na Hamas na kuunga mkono makaazi ya Wayahudi huko Yudea na Samaria.
Ben-Gvir na mwenzake akawajibu wa Ingę reza: "Tulimshinda Farao na tuka...
🇮🇱 Israel imehamisha mifumo ya Patriot kwenda Ukraine, Balozi wa Israel nchini Ukraine Michael Brodsky amethibitisha.
"Mifumo ya Patriot tuliyowahi kupokea kutoka Marekani sasa iko Ukraine. Hii ni mifumo ya Israel iliyokuwa ikihudumu nchini Israel mwanzoni mwa miaka ya 1990. Tulikubali...
Maandalizi ya shambulio la Israel dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran yanasemekana yanakaribia kukamilika, huku hatua za mwisho, ikiwa ni pamoja na upelekaji wa silaha na mipango ya uendeshaji, zinaendelea kwa sasa, kulingana na Channel 12.
Kuanzia mwezi uliopita ndege kubwa za mizigo zimetua...
Kamanda wa Walinzi wa Mapinduzi ya Iran, Hossein Salami:
Anasema Ana’s humurukwa maelfu ya hati walizozipata kuhusu vituo vya nyuklia vya Israeli, mashambulizi yetu sasa yatakuwa sahihi zaidi. Taarifa hizo zinasaidia katika juhudi za kuliangamiza taifa la Israel.
Pigo hili la kijasusi sio la...
Televisheni ya taifa ya Iran ilitangaza kuwa chombo cha kijasusi cha Iran kimetoa pigo la kihistoria kwa Israel.
MOIS ilipata maelfu ya hati zinazohusiana na miradi na vifaa vya nyuklia vya Israeli.
Waziri wa Mambo ya Intelijesia wa Iran alithibitisha haya siku ya Jumapili ya tarehe 9 Juni...
⚠️BREAKING: IDF ilipata mwili wa kiongozi wa Hamas Mohammed Sinwar kwenye handaki chini ya Hospitali ya Ulaya huko Gaza.
Hamas ilijenga chumba cha kulala chini ya ardhi chini ya hospitali ya Gaza, inayofadhiliwa na Umoja wa Ulaya 🇪🇺, huku wakimficha kiongozi wa Hamas ndani.
Hasira ya kimataifa...
Iran leo ilitangaza kuwa ilifanikiwa kukusanya taarifa nyingi juu ya program za nyuklia na mikakati ya ulinzi ya israel kwa kuwatumia waisrael
Iran inesema nyaraka hizo ni nyingi zikiwa na picha mnato na mjongeo(video)
Mwezi April bwana Mizrah na atio, wayahudi wa israel,walidakwa na idara za...
Kizazi cha ndugu zetu kilichokuwa na akili kidogo ni kile cha kina Gamal Abdel Nasser aliyekuwa Rais wa Misri miaka ya 1960.
Kizazi hiki ndo the Golden Generation ya hawa ndugu zetu. Pamoja na unyonge ila waliweza kusimamia kweli na kuitetea kweli. Waliisimamia Palestina dhidi ya Israel hadi...
Yale yaliyotabiriwa awali na wachambuzi mahiri wa vita kati ya Hamas na jeshi la Isael sasa ndio yanakaribia kuwa kweli.
Msemaji wa jeshi lsrael kwa mdomo wake wakati wa mahojiano na kipindi cha televishei ya BBC amesema kwa sasa jeshi lake lina upungufu wa askari 10,000 ili kuendelea na vita...
Wanajeshi 4 wa IDF wameuawa na wengine 5 kujeruhiwa baada ya jengo lililokuwa limetek wa milipuko kusini mwa Gaza kuporomoka.
Wanajeshi wanne wa Israel wameuawa na watano kujeruhiwa na mlipuko katika jengo moja kusini mwa Gaza ya Khan Younis asubuhi ya leo, jeshi latangaza.
Wanajeshi wawili...
Kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa Operesheni za kijeshi huko Gaza .wafanyikazi wa ujenzi wa China wanarejea Israeli. Takriban wafanyikazi 1,000 tayari wametua, kuashiria mwanzo wa wimbi kubwa la waliofika. Kwa jumla, wafanyakazi 4,000 wa China wanatarajiwa chini ya makubaliano ya nchi mbili...
Mods Uzi huu usiunganishwe popote unajitegemea.
Kitabu Cha mwanzo sura ya 40 ndo mwanzo halisi wa Wana wa Israel kuingia misri na kuwa watumwa rasmi
Kitabu Cha kutoka sura ya 3 Mungu anajitokeza na kumuamru Musa aende akawakomboe Wana wa Israel kuwatoa Utumwani.
Maandiko yanasema....
Kutoka...
Wanaukumbi.
Israel’s Prime Minister Benjamin Netanyahu has said the country is using armed gangs in Gaza to help fight Hamas, his admission coming after a new wave of military strikes on the besieged Gaza Strip that left at least 52 Palestinians dead.
================
Waziri Mkuu wa Israel...
Kiongozi wa Upinzani huko Israel bwana Yair Lapid ameishutumu serikali ya Israel chini ya Benjamin Netanyahu kwa kuunda kundi jingine la wanamgambo huko Gaza na kuwapa Silaha. bwana Yair amesema kuwa kitendo hicho kinahatarisha maisha ya wanajeshi wa IDF maana silaha zitakuja kuishia kwa...
Jeshi la Israel lilidai siku ya Alhamisi kuwa “maandalizi yanaendelea kwa ajili ya kushambulia miundombinu kadhaa ya chini ya ardhi inayotumika kutengeneza ndege zisizo na rubani (UAVs) ambayo imeanzishwa” katika maeneo ya kusini mwa mji wa Beirut.
Likitaja makubaliano kati ya Israel na...
Wakati Marekani na Israel wakiendelea na kuwamaliza wapalestina kwa mabomu na njaa,Watu waliobaki na ubinadamu duniani wanazidi kutafuta mbinu za kufika Gaza kuwaokoa wahanga hao.
Huku msafara kwa njia ya bahari kupitia Freedom Flotila ambao yumo Greta Thunberg ukikaribia Gaza msafara mwengine...
Mwaka wa 2013 wakenya walifungua kesi kuwashtaki israel kumuua Yesu, mwenye updates kesi iliendaje atutaarifu
https://www.timesofisrael.com/kenyan-lawyer-suing-israel-over-jesuss-death/
Shambulizi la anga la Israel limewaangamiza Mahmoud Abu Nar, mwanachama mkuu wa Harakati ya Mujahidina aliyehusishwa na utekaji nyara wa familia ya Bibas.
Na pia Wapalestina wanaripoti kuangamizwa kwa Mahmoud Abu Naar, mjumbe wa baraza la kijeshi la Mujahidina Brigedi na kamanda wa Gaza ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.