Marekani imeamrisha wanajeshi wake wote kwenye base za mashariki ya kati waingie kwenye bunker ili kuokoa viwiliwili baada Iran kuanza maangamizi ndani ya Israel
U.S. Servicemembers at two bases in the Middle East were ordered into bunkers during tonight’s Iranian ballistic missile attacks...
General wa Israel aliyechelewa kuingia kwenye mapango ametafunwa mara moya na makombora ya Iran
🇮🇷🇮🇱 | BREAKING: Highly credible reports confirm the Israeli Navy Commander has been killed in Iran’s precision ballistic missile strike — a seismic blow to Tel Aviv’s military command.
Iran hajachukua muda mrefu, amejibu mapigo, tusubirie vita kamili kati ya Iran na Israthuku USA akiichagiza Saudia na vibaraka wake wamtulize Iran, safari hii USA atafeli kutumia vibaraka na itambidi aingie front mwenyewe, Houthi na wao nawaona punde wakiungana na Iran kushusha makombora kwa...
Iran imeidhabu Israel kwa makombora tiifu na kubomoa Jiji la Tel aviv Kambi za jeshi na makao mkuu ya Wizara ulinzi
❗️What is known about Iran's retaliatory attack on Israel:
▪️The Iranian Armed Forces have launched an operation against Israel in response to strikes on Iranian territory...
Baadhi ya makombora ya masafa marefu kutoka Iran yamefanikiwa kutua Israel huku mengi yakidakwa angani na mitambo ya ulinzi wa anga.
Mashambulio haya yamelenga maeneo yenye wakazi wengi, lakini hadi sasa hakuna taarifa za vifo, kwani watu wamekuwa wakitafuta hifadhi kwenye vyumba maalum vya...
ISRAEL NA IRAN 2025
KUCHOKOZA FUKUTO LA VITA KUBWA ZAIDI MASHARIKI YA KATI
Je, Israel Imezuia Vita vya Nyuklia au Kuianzisha?"
Na
MALEKOGJ
Katika saa za giza alfajiri ya Ijumaa, jeshi la anga la Israel lilianzisha kile kinachoitwa Operation Rising Lion shambulizi la anga kubwa zaidi...
Mashambulizi haya yametikisa misingi ya ulinzi wa Iran, uu si mzozo wa kawaida, ni vita ya akili, ujasusi na teknolojia.
Ndani ya lisaa pekee usiku wa manane Israel waliweza kushambulia viongozi wakuu wa majeshi ya Iran na wanasanyansi wakubwa wa nuclear,
Israel haipigani vita, Inajilinda...
Sirens are sounding across Israel amid a major Iranian ballistic missile attack.
An estimated 100 missiles were launched from Iran at Israel, according to an Israeli military source. Detecting missile attack from Iran, IDF orders civilians to enter shelters
By Emanuel Fabian Follow
Today, 9:07...
Wadau hamjamboni . nyote
Milipuko miwili imetokea karibu na kituo cha nyuklia cha chini ya ardhi cha Fordo nchini Iran, shirika la habari la Fars linalohusiana na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limethibitisha.
Two explosions hit areas near Iran's Fordo nuclear site - IRGC...
Wadau hamjamboni Britain has “grave concerns” over Iran’s nuclear program and believes Israel has the right to self-defense, Prime Minister Keir Starmer told his Israeli counterpart Benjamin Netanyahu on Friday, Starmer’s spokesperson says.
“The prime minister was clear that Israel has a right...
Israel imetumia ndege za Kimarekani za F-35 kuishambulia Iran.
Ndege hizo zina uwezo wa kujazwa mafuta zikiwa angani.
Uwezo huo wa midair refueling Israel haina.
Marekani, ambao ndo watengenezaji wa hizo ndege, ndo wenye uwezo huo.
Pia, Israel imetumia intelligence ya Marekani hususan...
Hiyo ni video ya leo ndege ya F 35 Ikionekana ikiambaa ambaa anga la iran ikicheza alafu ikapotea[emoji23][emoji23][emoji23]
Namna iran ilivyokuwa inajisifia na ilivyobondwa aibu sana
Mtu kaingia nchi yako kauwa hadi mkuu wa majeshi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tarehe 13 Juni 2025...
Taarifa ya wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani baada ya mashambulizi ya Israel katika nchi ya Iran.
Taarifa ikiishutumu Iran kwa kuishambulia Israel.
Inaonekana Ujerumani inateswa na historia yake
Hali ya Mashariki ya Kati imezidi kuwa mbaya kwa kasi kubwa usiku wa kuamkia leo. Israel...
Netanyahu na wenzake wamefanya kosa kubwa sana.
Kinachoenda kufuata itabaki kuwa Story
Majibu ya Iran yataishangaza dunia
Kwasababu Iran wanaenda kumaliza kazi waliokua wanaingoja kwa hamu siku zote
Waliita Iran baba lao sasa wamemgusa kichwa cha Pweza
Yajayo yanasikitika, Hii ni vita ya...
Wadau hamjamboni nyote.
Mlipuko mkubwa ulisikika muda mfupi uliopita karibu na kambi ya kijeshi ya kijeshi katika mkoa wa Hamedan magharibi mwa Iran, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti, kufuatia shambulio kubwa la Israel dhidi ya nchi hiyo. "Saa chache zilizopita, mlipuko mkubwa...
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kukutana baadaye leo Ijumaa kujadili mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran, wamesema wanadiplomasia.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, aliomba kikao hicho kupitia barua kwa Baraza hilo lenye wanachama 15, akisema kuwa "Israel sasa...
Israel, kazi zingine ni kama gelesha tu
Ila chaguo lao namba moja, ni tekenorojia hasa ya uvumbuzi wa siraha na uwezo wa kuzitumia
Wamewekeza akili mingi kwenye jambo hilo kuliko kingine chote
Hii hasa ni kutokana na nchi zinazoizunguka Israel kutoa matamko ya kijinga kuwa eti wataifuta...
Napata raha hadi naumwa, Trump alionya Iran kwamba watapigwa wakashupaza shingo, makamanda waliokua na misimamo mikali leo wamewahishwa kwa mabikira, Israel imesema bado haijakamilisha mapigo na hakuna kenge wa kuizuia, itapiga mpaka ifikie malengo yake, anga ya Iran peupe hamna ulinzi wowote...
Waziri mkuu wa Serikali ya magaidi ya Israel amekimbia Taifa lake baada ya Iran kutangaza vita rasmi na kupandisha bendera nyekundu. Gaidi huyo amekimbia huku akindikizwa na fighter mbili za wanamgambo wa kiyahudi.
BREAKING:
Netanyahu is running away from Israel for now.
According to a special...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.