israel

  1. Utafiti Uingereza: Chanjo inasaidia kupunguza kuenea kwa virusi vya corona kwa asilimia 85

    Takwimu kutoka nchini Uingereza zinaonesha kuwa chanjo dhidi ya virusi vya corona inasaidia kupunguza uwezekano wa kuenea kwa maambukizi kwa hadi asilimia 85. Utafiti uliochapishwa na taasisi ya Public Health England (PHE) unaonesha kuwa chanjo ya Pfizer-BioNTech inapunguza uwezekano wa kupata...
  2. Israel na Marekani zazindua mpango wa uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Arrow-4

    Habari! Israel imetangaza Alhamisi kuwa inashirikiana na Marekani katika mpango wa uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi wa anga dhidi ya makombora ya balistiki unaojulikana kama Arrow-4 ambao unajumuisha kizazi kijacho cha vizuizi (interceptors) ambao utachukua nafasi ya mfumo uliopo wa Arrow-2 kwa...
  3. Ripoti: Mwanasayansi wa nyuklia wa Iran aliuawa kwa bunduki ya otomatiki

    Habari! Mwanasayansi wa nyuklia wa Iran aliyeuawa karibu na mji mkuu Tehran mwezi Novemba mwaka 2020, aliuawa kwa bunduki ya otomatiki iliyoingizwa nchini humo na shirika la ujasusi la Israel Mossad ikiwa katika vipande maalumu, kwa mujibu wa ripoti. Ripoti ya The Jewish Chronicle kutoka...
  4. J

    Mchungaji Kimaro: Afrika itakuwa ya kwanza kupona Corona itafuatiwa na Asia na wa mwisho watakuwa Israel (Wazungu)

    Mchungaji wa KKKT Kijitonyama Dr Kimaro amesema kwa mujibu wa maandiko ya Biblia Mungu alishaitangazia uponyaji wa kwanza Afrika yanapotokea maradhi ya kiulimwengu kama Corona. Hivyo kwa mujibu wa Biblia Afrika itapona ya kwanza, itafuatiwa na Asia na mwisho watakuwa Israel kwa maana ya wazungu...
  5. Balozi wa Tanzania aliyechanjwa Corona Israel arejeshwe nyumbani mara moja

    Amekiuka msimamo wa nchi anaweza kutuletea corona ya ajabu-ajabu. Kazi ipo mwaka huu.
  6. Hatimaye mfumo wa Iron Dome kuwekwa katika eneo la Ghuba. Mzizi wa fitina kukatwa?

    Habari! Marekani iko mbioni kuutumia mfumo wa ulinzi wa anga wa "Iron Dome" kwenye vituo vya kijeshi katika nchi kadhaa za Ghuba kwa mara ya kwanza. Marekani ilinunua mfumo wa Iron Dome kutoka Israel baada ya makubaliano kati ya nchi hizo mnamo mwaka 2019. Kulingana na ripoti na vyanzo ndani...
  7. Nilikuwa naikubali Israel kwenye cyber security, kumbe wachovu tu mbele ya Iran

    Israel ambayo ili hack kaspersky 2014 na kuwapa taarifa NSA kuhusiana na uvujishwaji wa taarifa unaofanywa na kampuni hio, inasemekana kaspersky ilikuwa ikishirikiana na FSB (KGB zamani) kudukua taarifa mbali mbali za watumiaji, baada ya hapo USA ika ban kaspersky kutumiwa kwenye vitengo vyoote...
  8. Jonathan Pollard: Former Jewish spy lands in Israel 35 years after arrest

    Pollard, a former intelligence analyst for the US, was detained in 1985 for spying for and providing top-secret intelligence to Israel, serving 30 years of a life sentence before he was paroled in 2015. He is the only American in US history to receive a life sentence for spying for an ally, as...
  9. Iran yapata Pigo, sasa hivi si kutoka Israel bali ajali na majanga ya asili

    Mzuka Wanajamvi! Ayatollah pressure inazidi na anazidi kupata wakati mgumu Wapanda milima (climbers) 10 wamekufa katika milima ya kaskazini mwa Tehran baada ya dhoruba kubwa ya theluji kuanguka na wengi kadhaa hawafahamiki walipo. Pia mabaharia saba wamepoteza maisha baada ya dhoruba kali...
  10. Sheikh Mkubwa Pakistani awachana live Wapalestina asema Israel na Jerusalem ni kwa Wayahudi pekee according to Koran

    Kiongozi mkubwa kabisa Nchini Pakistani Maulana Muhammad Khan Sherani asema kuwa uislamu unatufundisha kuwa Israel ni nchi ya Wayahudi pekee. Je, ndio mpango mpya wa mahusiano ya kibalozi kati ya Israel na Pakistani yanapoelekea na kipigiwa chapuo? Kiongozi mkubwa wa kidini ni ashapitisha...
  11. Je, Israel itaweza kushambulia vinu vya nuclear Iran?

    Tarehe 7 June 1981 Israel ilifanya mashambulizi katika vinu vya nuclear huko Iraq,hii ilikuwa ni shambulizi la ghafla katika mradi huo chini ya Sadam Hussein, hii ilijulikana kama operation opera au Operation Babylon, Kinu kilichojulikana kama Osirak Nuclear Reactor kilichokuwa kusini...
  12. Waarabu wazidi kuikubali sana Israel

    Dubai hosted a public Chanukah celebration on Saturday night, which served as a symbol of the powerful impact the Abraham Accords are having on the Middle East. On Saturday evening, a giant menorah was lit up in Dubai to celebrate the Chanukah holiday, which is the Jewish festival of lights...
  13. Bilionea wa Kiarabu azungumzia undugu haswa wanaoutaka na Israel

    ''Kila mtu anazungumzia na wengine humuuliza kuuliza jinsi waarabu watakavyofanya biashara na Waisrael au jinsi gani watafanyaje? Yeye amesema hapana sina mpango wa kufanya Biashara na Israel, tunaweza kwanza kukutana, kama wototo wetu wanaweza kukutana na watoto wenu! tunaweza kufahamiana...
  14. Waarabu wazidi kuungana na Israel

    Israel na Morocco zimekubaliana kuweka mahusiano ya kidiplomasia. Mataifa hayo yamekubaliana kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia chini ya mkataba uliofadhiliwa na Marekani. Morocco inakuwa taifa la nne la kiarabu lililoridhia kumaliza uhasama na #Israel tangu mwezi Agosti. Rais Donald Trump...
  15. Afisa wa ngazi za juu wa shirika la kijasusi la Israel auawa Tel Aviv

    Afisa wa ngazi za juu wa shirika la kijasusi la mossad ameuawa usiku wakuamkia leo katika mji Tell aviv alipokua kwenye gari ghafla taa nyekundu ya kuongozea magari ikawaka na gari yake ikashambuliwa kwa risasi 15 na washambuliaji kutoweka bila kuonekana. Inasemekana huwenda ukawa ni mwendelezo...
  16. Wapalestina wapata faraja,Saudia na Qatar wakataa mkono wa Israel

    Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Saudi Arabia mwanamfalme Faisal bin Farhan amesema kurejeshwa kwa uhusiano na Israel ni lazima kuambatane na kuundwa kwa taifa la Palestina iliyo na mamlaka kamili na Israel iodoe majeshi yake kwenye ardhi ilizoziteka mwaka 1967 na irudishe ardhi inazozijenga...
  17. C

    Israel yathibitisha kuwa Taifa kubwa kwa Intelijensia baada ya kumuua Mkuu wa Nyuklia wa Iran

    Niaje niaje, Nilikuwa napitia moja ya habari kutoka mtandaoni kwenye website ya CNN Nimekutana na habari ya kushtua kidogo kiongozi na Mkuu wa shirika la Nuclear wa Irani jina lake gumu kidogo. Ameuawa baada ya kufanyiwa ambushi na Jeshi la Israel ndani ya nchi yake. Yaani alikuwa ndani ya...
  18. Kambi ya Iran nchini Syria yashambuliwa tena mara ya tatu ndani ya wiki moja na Israel - Wanajeshi wa Pakistan 18 wafariki

    Ni baada ya Balozi wa UN kudumu wa Israel Gilad Erdan kuliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa Jeshi la Iran na wafuasi wake waondoke haraka sana nchini Syria kwani itawaangamiza wote Alielezea kwenye barua yake aliyomuandikia Mkuu wa Baraza hilo. Report: 19 pro-Iran fighters killed...
  19. Baada ya Irani kutangaza kuwa Itajibu mapigo yoyote ya Israel nchini Syria, yagongwa tena

    Na kichapo cha Jana kimeharibu maghara mengi ya silaha ambazo ndizo Irani ilijitapia nazo kuwa itazitumia kujibu mashambulizi ya hit and run ya Israel... Nadhani ni wakati wa Iran kufuata ule msemo if you can't fight them join them.. Yasemekana Wafuata mkumbo 8 wa Iran wameuawa... Irani...
  20. Kwanini israel inaiyogopa hezbullah kuliko taifa lolote lile duniani

    Naombe msaada wa kujua hili Kwanini israel inaiyogopa hezbullah kuliko taifa lolote lile duniani
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…