Niaje niaje,
Nilikuwa napitia moja ya habari kutoka mtandaoni kwenye website ya CNN
Nimekutana na habari ya kushtua kidogo kiongozi na Mkuu wa shirika la Nuclear wa Irani jina lake gumu kidogo.
Ameuawa baada ya kufanyiwa ambushi na Jeshi la Israel ndani ya nchi yake. Yaani alikuwa ndani ya gari yake kwenye matembezi yake akapigwa bomu kila kitu kika ishia hapo na jamaa waalikuwa na project kubwa bado inaendelea
Kweli Israel mbabe na Marekani kajua hata ajaingilia na amekaa kimya kama ajui kilicho tokea karibuni wadau tuongee na kuzungumzia hii Issue juu ya ubabe na INTEREJENSIA ya Israel Mashariki ya Kati
Nawasilisha
Nilikuwa napitia moja ya habari kutoka mtandaoni kwenye website ya CNN
Nimekutana na habari ya kushtua kidogo kiongozi na Mkuu wa shirika la Nuclear wa Irani jina lake gumu kidogo.
Ameuawa baada ya kufanyiwa ambushi na Jeshi la Israel ndani ya nchi yake. Yaani alikuwa ndani ya gari yake kwenye matembezi yake akapigwa bomu kila kitu kika ishia hapo na jamaa waalikuwa na project kubwa bado inaendelea
Kweli Israel mbabe na Marekani kajua hata ajaingilia na amekaa kimya kama ajui kilicho tokea karibuni wadau tuongee na kuzungumzia hii Issue juu ya ubabe na INTEREJENSIA ya Israel Mashariki ya Kati
Nawasilisha