israel

  1. sky soldier

    Hii picha ina ukweli wowote kwa kinachoendelea Gaza Israel

    Hamas,fatah na Palestine organisation siraha zao huziweka kwenye makazi ya watu,hata wakitaka kufanya mashambulizi,rocket launcher zao huzifyaturia kwenye makazi ya watu wengi,Ili watu hao na makazi yatumike kama ngao dhidi ya Israel,wao hutegemea wakiwaweka Raia wakawaida mbele,Israel...
  2. M

    Tuko tayari kwenda Israel kuilinda Iwapo tutahitajika

    Inakuwaje wanajamvi, Iwapo Taifa teule takatifu la Mungu pekee wa Kweli ikituhitaji tuko tayari. Nikiwakilisha watetea wayahudi upande wa Afrika Mashariki natuma ujumbe wa wazi kwa Netanyahu asisite endapo atahitaji msaada wetu. Tutakuja kwa uwingi wetu na tutalizunguka taifa teule kama human...
  3. 2019

    Historia fupi: Israel haiwezi kuimaliza Palestina sababu walishashindwa toka mwanzo wakiwa taifa la Mungu

    Kwa msaada wa biblia na vitabu mbalimbali. Huwa nawashangaa sana watu wanaiona Israel kama taifa teule kwa Mungu kumbe wanajidanganya tu. Historia inasema hapo mashariki ya kati wakaazi asilia ni Wafilisti(Wapalestina) na makabila madogo kama Wahivi,Wagirigashi n.k. toka Taifa la Israel likiwa...
  4. Sam Gidori

    Wapalestina 36 wauawa katika mashambulio ya roketi ya Israel

    Mamlaka katika eneo la Gaza zimesema takriban Wapalestina 36, wakiwamo watoto 10 wamefariki kutokana na mashambulio ya maroketi kutoka Israel, huku wengine 250 wakijeruhiwa siku ya Jumatano. Mashambulizi haya ni ya hivi karibuni zaidi yanayoongeza mvutano ulioanza baada ya Hamas kuvitaka...
  5. Jackal

    Kumekucha: Israel yashambulia maeneo nyeti ya Hamas na Islamic Jihad

    Israeli Air Force struck Hamas and Islamic Jihad terror infrastructure, military bases, weapon warehouses and other terror targets in Gaza. 👏
  6. J

    Hivi Waislamu " original" wako Israel ( Palestina) au Saudi Arabia?

    Nauliza tu kwa wanazuoni na wabobezi wa maswala haya ya imani za kuabudu na kumtumikia Mungu. Kwa mfano hapa Tanzania hizi dini tuliletewa tu kutoka huko zilikoanzia, ndio maana nauliza Uislam wa " ukweli " ni ule wa Palestina, Saudi Arabia au Iran? Kuuliza siyo ujinga. Ramadhan kareem!
  7. Webabu

    Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

    Kwa mara nyengine tena Israel imekiri kuzidiwa nguvu na idadi ya vikombora vinavyorushwa na wanamgambo wa makundi tofauti kutoka Gaza. Taarifa hizo zimekuja katikati ya muendelezo wa machafuko makubwa yanayoendelea eneo la Jerusalem tangu kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Katika mapigano...
  8. Miss Zomboko

    Ayatollah: Israel sio taifa, ni ngome ya magaidi

    Kiongozi wa juu kabisa nchini Iran Ayatollah Ali Khamenei ameiita Israel kuwa sio taifa, bali ni ngome ya kigaidi huku akiyataka mataifa ya Kiislamu kupambana nayo, katika wakati wanapoadhimisha siku ya maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina. Ayatollah Khamenei ametoa matamshi hayo wakati...
  9. Jackal

    Kumekucha: Israel yachukua hatua zaidi kujiandaa na mashambulizi ya Iran

    The Air Force deployed multiple aircraft during the latest drill, including F-15 and F-16 fighter jets, tankers, and spy planes. The key objectives for Israeli pilots included training in an unfamiliar landscape and enhancing long-distance flight skills, a senior officer said. The war scenarios...
  10. Mwita Mtu Mrefu

    Israel ni taifa linalopenda vita na visasi. Inakuwaje liwe taifa takatifu? Taifa Teule?

    Binafsi sioni kama Israel ni taifa kioo kwa Mataifa Mengine. Sawa Israel imebarikiwa kulingana na Biblia Takatifu, lakini Je, inapaswa kuendelea kuitwa taifa teule na kuendelea kuhubiriwa makanisani kama mfano kama taifa takatifu? Utakatifu wake uko wapi wakati inamwaga damu kila siku? Israel...
  11. A

    Iran kashambulia Israel

    A powerful explosion took place on Tuesday at a sensitive defense factory during a test in central Israel. There are so far no reports of casualties. The explosion occurred during a 'routine test' by the Tomer factory for advanced weapons, which develops rocket engines, the Ofek satellite...
  12. Jackal

    Kumekucha: Israel yashambulia kinu cha Nyuklia cha Iran

    https://www.google.com/amp/s/www.forbes.com/sites/carlieporterfield/2021/04/11/israel-is-behind-blackout-at-iran-nuclear-facility-israeli-media-reports/amp/ Picha hazihusiani na matukio: Photos of Israeli AH-64 Apache attack Helicopters delivered precision guided missiles during combat...
  13. Geza Ulole

    After vaccination back home, 140 tourists from Israel to jet into Tanzania in May

    140 tourists from Israel to jet into Tanzania in May THURSDAY APRIL 08 2021 ADVERTISEMENT By Zephania Ubwani More by this Author Arusha. In a renewed bid to woo back visitors after the devastating impact of Covid-19, 140 tourists from Israel will jet into the country next month. The...
  14. Jackal

    Israel yatengeneza dawa ya kupuliza puani inayoua Virus kwa asilimia 99.9

    Israeli company 'SaNOtize' invented a life-saving nasal spray that protects and prevents viral infections. Israel is at the forefront of finding medical solutions that are blessing humanity. --- A nasal spray that will be marketed as capable of killing 99.9 percent of virus particles has started...
  15. Mwita Mtu Mrefu

    Hivi ni kwanini Israel imeshindikana kufutika kwenye ramani ya dunia?

    Habari JF.. Hizi habari za israel kufutwa kwenye ramani ya dunia na maadui zake nimezisikia toka zamani sana. Hivi wanakwama wapi hawa wanaotaka kuifuta israel kwenye ramani ya dunia? Israel kazungukwa na maadui pande zote lakini bado anadunda. Je, wanakwama wapi?
  16. K

    Taifa la Israel halina uhalali wa kumiliki Gaza

    Israel haina mamlaka juu ya Gaza wala Jerusalem wala West bank. Israel ilivamia tu maeneo hayo ya Palestine toka miaka ya 1960s. Palestine ilikuwepo na kihistoria ilitawaliwa na Uingereza. Je, Taifa la Israel lilitawaliwa na nani? Maana ijulikanavyo kuna jamii ya wana wa israel ila hakuna na...
  17. Tripo9

    UFC 259: Israel Adesanya Vs Jan Błachowicz ni ya kukata na shoka, si ya kukosa

    Balaa la UFC 259 ni zito. Light heavy weight Jumapili tarehe 7th March 2021 Ikumbukwe Israel Adesanya kijana ambae ni mzaliwa wa Nigeria lakini anaishi NewZealand amepanda weight class na kuingia light heavyweight na hili ni pambano lake la Kwanza tangu apande na anakutana na bingwa huyu mahiri...
  18. Sam Gidori

    Utafiti Uingereza: Chanjo inasaidia kupunguza kuenea kwa virusi vya corona kwa asilimia 85

    Takwimu kutoka nchini Uingereza zinaonesha kuwa chanjo dhidi ya virusi vya corona inasaidia kupunguza uwezekano wa kuenea kwa maambukizi kwa hadi asilimia 85. Utafiti uliochapishwa na taasisi ya Public Health England (PHE) unaonesha kuwa chanjo ya Pfizer-BioNTech inapunguza uwezekano wa kupata...
  19. FRANC THE GREAT

    Israel na Marekani zazindua mpango wa uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Arrow-4

    Habari! Israel imetangaza Alhamisi kuwa inashirikiana na Marekani katika mpango wa uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi wa anga dhidi ya makombora ya balistiki unaojulikana kama Arrow-4 ambao unajumuisha kizazi kijacho cha vizuizi (interceptors) ambao utachukua nafasi ya mfumo uliopo wa Arrow-2 kwa...
  20. FRANC THE GREAT

    Ripoti: Mwanasayansi wa nyuklia wa Iran aliuawa kwa bunduki ya otomatiki

    Habari! Mwanasayansi wa nyuklia wa Iran aliyeuawa karibu na mji mkuu Tehran mwezi Novemba mwaka 2020, aliuawa kwa bunduki ya otomatiki iliyoingizwa nchini humo na shirika la ujasusi la Israel Mossad ikiwa katika vipande maalumu, kwa mujibu wa ripoti. Ripoti ya The Jewish Chronicle kutoka...
Back
Top Bottom