israel

  1. Analogia Malenga

    Israel: Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aomba kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameamua kutafuta kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi yanayomkabili. Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi dhidi yake hadi uchaguzi utakapofanywa upya mwezi Machi. Mwezi Novemba, Waziri Mkuu alishitakiwa na mwanasheria mkuu kwa kutoa hongo...
  2. J

    Watalii wa Tanzania na Israel sasa kutumia ndege moja inayotumia saa 5 kutoka kutokea Kilimanjaro

    Serikali ya Tanzania na ile ya Israel zimekubaliana kubadilishana watalii ambapo sasa itatumika ndege moja tu kuwasafirisha watalii wa nchi hizi mbili. Utaratibu ni kuwa ndege itakayowaleta watalii kutoka Israel ikifika KIA itawashusha na kuwachukua mahujaji wa Tanzania wanaoelekea Israel kisha...
  3. elivina shambuni

    Watalii 450 wa Israel watembelea Tanzania

    WATALII zaidi ya 450 kutoka Israel, wamewasili nchini mwezi huu kwa ajili ya kutembelea vivutio vya kitalii vilivyoko Kaskazini mwa Tanzania. Watalii hao wamekuja nchini kwa kutumia ndege binafsi na za kawaida. Kundi la kwanza la watalii 150 liliwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
  4. J

    Makundi ya watalii kutoka Israel yaanza kuwasili nchini kwa mapumziko ya mwaka mpya, aibarikie Israel atabarikiwa!

    Mwenyekiti wa bodi ya utalii nchini Jaji mstaafu Anthony Mihayo amesema Tanzania itapokea ugeni mkubwa wa watalii kutoka nchi takatifu ya Israel wanaokuja nchini kwa mapumziko. Jaji Mihayo amesema hayo wakati akilipokea kundi la kwanza la watalii hao lililowasili jijini Arusha leo. Aibarikie...
  5. Miss Zomboko

    Mahakama ya ICC kuichunguza Israel. Marekani yawatetea, Israel nao wajibu kwa kuukaribisha uchunguzi huo

    Waziri wa Mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo amesema nchi yake inapinga vikali uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu Kivita ICC wa kufungua uchunguzi dhidi ya uhalifu unaotuhumiwa kufanywa na Israel. Pompeo amesema hatua hiyo iliyotangazwa jana na mwendesha mashtaka mkuu wa...
  6. FRANC THE GREAT

    Ujerumani yaziajiri kampuni za Rafael ya Israel pamoja na Atos ya Ufaransa ili kuunda "Uwanja wa Vita wa Kioo" ama "Glass Battlefield"

    Ujerumani yaziajiri kampuni za Rafael pamoja na Atos ili kuunda "Uwanja wa Vita wa Kioo" Kampuni ya uzalishaji wa mifumo ya kijeshi ya Rafael (Rafael Advanced Defense Systems) ya Israel imeshirikiana na kampuni ya Atos (Atos Information Technology) kwenye mradi unaohusu uundwaji wa "uwanja wa...
  7. Analogia Malenga

    Israel kufanya uchaguzi mkuu kwa mara ya tatu

    Baada ya vyama vya siasa nchini Israel kushindwa kuunda serikali hadi muda wa mwisho kumalizika Jumatano, sasa bunge limejivunja na nchi hiyo inaingia katika uchaguzi wa tatu mkuu katika kipindi cha mwaka mmoja. Hatua hii inampa matumaini Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anayepambana kuokoa...
  8. Nyendo

    Israel kufanya uchaguzi mpya Machi 2

    Uchaguzi wa Israel unatarajiwa kufanyika Machi 2 mwakani, ikiwa ni wa tatu katika kipindi cha mwaka mmoja. Muswada wa kulivunja bunge, ambao pia unatangaza tarehe ya uchaguzi, utapitisha sehemu nne za mwisho, saa chache baada ya wabunge kushindwa kuunda serikali ya muungano baada ya muda wa...
  9. F

    Netanyahu wa Israel kufungwa. Trump anaweza kupoteza urais wake. Magufuli anafanya analotaka haulizwi chochote

    Kuna taarifa leo kuwa Binyamin Netanyahu au Bibi ameshtakiwa na mwendesha mashtaka (DPP) pamoja na Mwanasheria Mkuu (Attorney General) wa serikali ya Israel kwa kosa la rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka. Kwa vyovyote vile hataweza kushinda, kama ilivyotokea kwa Ehud Olmert...
  10. Superbug

    Lijue chaguo la Samson kwenye jeshi la Israel “the Samson option”

    Hii Ni sera ya kiulinzi ya taifa la israel na jeshi lake ambayo inasisitiza na kutamka wazi kuwa ikiwa Israel itashambuliwa na aui na hapohapo marafiki zake wakubwa kama USA uk German Italy France na Canada hawatamsaidia wakiona taifa la Israel linakaribia kuangukia mikononi mwa adui huku rafiki...
  11. YEHODAYA

    Hivi inakuwaje Mji wa Nazareth Israel waislamu ni wengi lakini hawana ugomvi na Wayahudi Kama wapalestina

    Mji wa Nazareth Israel ndio Mji mkubwa ndani ya Israel wenye waarabu waislamu wengi. Waislamu katika mji huo Ni asilimia 70 ya wakazi wote wa mji huo. Misikiti ipo mingi na hawana ugomvi na Wayahudi huishi nao kwa amani na utulivu. Huwezi kuta mwarabu muislamu akimsema vibaya myahudi Wala Huwezi...
  12. Kaka Pekee

    Is Tanzania discarding Nyerere’s freedom-fighting legacy?

    Tanzania Palestine: Former Palestinian leader Yasser Arafat with Tanzania’s former President Julius Nyerere. Tanzania’s stance on Palestine suggests its history of fighting global injustice could be making way for a more pragmatic “economic diplomacy”. In November 2018, representatives of...
  13. Kaka Pekee

    Onyo la kistaarabu dhidi ya uhusiano wa Tanzania na Israel

    Inabidi tuanze kujifikirisha tena kidogo kwa fikra yakinifu dhidi ya Faida na Hasara za Uhusiano wa kidplomasia na Mataifa yenye Migogoro ili tusije kuingia kwenye kaburi ya Halaiki lililochimbwa na Reputations za Migogoro hiyo kwa kuingia Kichwa kichwa. Leo Tunashuhudia Palestina wakitupa...
  14. mwanaume suruali

    Chanzo cha Mgogoro Mashariki ya Kati. You must read this

    Tangu Disemba 27 hadi 18 Januari 2009 vyombo vya habari duniani vilitawaliwa na taarifa za mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas la Palestina. Katika vita hiyo takriban wapalestina 1300 na Waisraeli 13 walipoteza maisha. Dunia imegawanyika huku upande mmoja ukiunga mkono kundi la Hamas na...
Back
Top Bottom