Waziri Jerry Silaa: Tumeanza kuuza Internet nje ya nchi

Waziri Jerry Silaa: Tumeanza kuuza Internet nje ya nchi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,243
Reaction score
18,072
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema Tanzania imeanza kuuza intaneti nje ya nchi baada ya mkongo wa taifa kuongezewa uwezo.

 
Wakati huku nyumbani TTCL inapumilia mashine.Toka waliposema wanaleta inyernet za unlimited naona wanaofungia ni wale wenye mamlaka peke yake
 
Pumbavu kabisa.

Hii mijitu inatuona sisi maboya kabisa.

Utasikia mwingine anasema tuna uchumi mkubwa kuliko marekani.

Yakishiba tu pesa za wizi, yanabwatuka kama ushuzi.
 
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amesema Tanzania imeanza kuuza intaneti nje ya nchi baada ya mkongo wa taifa kuongezewa uwezo.

View attachment 3380603

Kuwa na mkongo wa taifa NICTBB kuunganisha DRC (kupitia Kigoma), Malawi (kupitia Kasumulo), Rwanda (kupitia Rusumo) nadhani na Kenya (kupitia Namanga) haina maana tunauza intaneti nje kwa sababu intaneti si kama bidhaa ya kiwandani na mwenye nayo ni Marekani na mataifa machache kama China na UK...

Sisi tuna mkongo ambao ni kama pipeline tu, kinachofanyika ni kutoza service charge/tozo ya uchukuzi...(kama tu itavyokuwa kwa bomba la Eacop la mafuta ghafi)

ISPs kwa bongo ni kama Seacom, WIOCC, 2Africa (hawa ndio wana intaneti na marine cables toka ng'ambo) na mkongo wa NICTBB umeungwa kutokea kwa hao ISPs kwa ajili ya matumizi ya ndani na nje ya nchi...
 

Attachments

  • IMG_20211029_105959.jpg
    IMG_20211029_105959.jpg
    15.5 KB · Views: 34
Back
Top Bottom