Ni yule dada maarufu aishiye marekani.
Kutokana na tweet zake za hivi karibuni zinanifikirisha na sio za kupuuzia.
Mara nyingi hutweet akiongea maneno meengi, ila nowadays amekua akiongea herufi chache tena kwa maandishi makubwa. Sitaki kuyasema hapa.
Aliyasema wiki iliyopita nikapuuzia, ila...