The Chronicle of Huru (Romanian: Cronica lui Huru) was a forged narrative, first published in 1856–1857; it claimed to be an official chronicle of the medieval Moldavian court and to shed light on Romanian presence in Moldavia from Roman Dacia and up to the 13th century, thus offering an explanation of problematic issues relating to the origin of the Romanians and Romanian history in the Dark Ages. Publicized and endorsed by the Romantic nationalist intellectuals Gheorghe Asachi (who edited the published version) and Ion Heliade Rădulescu, it was argued to have been the work of Paharnic Constantin Sion (or another member of his family) or that of Gheorghe Săulescu, Asachi's friend and lifelong collaborator.
Mh Rais mashitaka dhidi ya Mbowe na wenzake yanashitusha sana watu wengi na hata wale ambao kwa vyovyote si mashabiki wa Mbowe au CHADEMA na ni mashitaka ya juu sana mtu kutuhumiwa nayo hasa mtu wa karba ya Mbowe kwa hiyo matarajio yetu ni kuwa serikali na DPP walishajipanga kumpeleka Mh Mbowe...
WALIOACHIWA KWA UPANDE WA MWANZA NI:-
(1). John Heche.
(2). Zakaria Obard.
(3). Stephen Odipo.
(4). Daud Zephaniah.
(5). Seti Benda.
(6). David Nyakimwe.
(7). Frank Novarth.
(8). Mbutosyo Mwakihaba.
Ila Mhe. John Heche yuko Hospital, Mwanza.
Zaidi, soma:
- Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA...
Vyombo vya habari vimekuwepo kwa karne na karne tangu kuanza kugunduliwa kwa teknolojia ya habari na mawasiliano, vikiwa na kazi kubwa ya kuhabarisha umma, na kuimulika jamii kiujumla. hata hivyo kufikia sasa Vyombo vingi vya habari hasa katika nchi za kiafikra vinashindwa kutimiza majukumu...
Mahakama imewaachia huru wanachama watatu wa CHADEMA miongoni mwao akiwemo Meya wa zamani wa Manispaa ya Bukoba na aliyekuwa Mgombea Ubunge wa Bukoba Mjini,Chief Kalumuna waliokuwa wanakabiliwa na tuhuma ya kufanya fujo na kuharibu mali siku ya Uchaguzi Mkuu mwaka Jana.
Pia soma
Uchaguzi 2020...
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka selo alikohifadhiwa , alikamatwa kwa maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga ambaye bado ana akili za Mwendazake za kuficha taarifa za CORONA , ilikuwa asafirishwe usiku huu kupelekwa Shinyanga kuhojiwa kwa andishi lake kuhusu corona Shinyanga.
Pia soma > Kiongozi...
Huku Diallo, kule Mtaka.
Hawa ndio wana CCM huru / wana CCM asili.
Na kama ikiwezekana, baada ya Mama Samia then it could be Antony Mtaka. Anaijua Tanzania, anawajua watanzania.
Hebu Pascal Mayalla naomba uje upandishe nyuzi zako zile, japo nyakati hizi umeonekana kuyumba mno. Usisahau pia...
Karibuni wenzangu tulongeya moyoni.
Nyerere na wenzake walipigania UHURU WA BENDERA, tukaupata. Akasema bado uhuru KAMILI.
Je, Tumeshaupata?
Kama uhuru kamili bado, ni kwa nini?
Nimewasikiliza viongozi wa CHADEMA, wamefungua battle mbili katika madai yao, Battle ya kwanza ni tume huru ya uchaguzi, na battle ya pili ni katiba mpya.
Kisha wamegawana majukumu, Baraza la Wanawake wamewapa jukumu la kupigania Tume huru ya uchaguzi, Baraza la vijana wamewapa jukumu la...
Hukumu ya mahakama iliyomweka Mdude huru imewaumiza watu wasio na roho ya kibinadamu wanaoamini kwenye kukandamiza wenzao.
Mashambulizi yao mitandaoni yanadhirisha kwamba walitamani aendelee kuozea ndani kitu ambacho siyo sahihi. Wapo waliojinasibu kumchangia kumbe hakuna mchango wamewahi kutoa...
Tume huru ndio kila kitu.
Itajenga Tanzania imara na itakayo ogopeka na kila mtu.
Tanzania itarudi mikononi mwa wananchi.
Uchaguzi ufanywe tume huru ndio iwe inaamua, kura itakua adhabu kwa viongozi wanaofanya Tanzania ni mali yao. Wabunge wasio na sifa wote wataenguliwa kwenye sanduku.
CCM ina makundi ya wanachama wa aina kadhaa lakini, haya makundi ndio 'prominent'.
CCM kindakindaki yaani hawa ni kama CCM lialia. Hawa wapo wengi kiasi na ni wazee wazee Kwa wingi wao. Hawana maslahi yoyote na chama, wengi wao wamepigika mno ki maisha. Hata hawajui kwa nini wanaipenda chama...
Nianze Kwanza kwa Kuwapongeza baadhi ya JF Members ambao nakumbuka walisema tena hapa hapa JF kuwa aliyekuwa DC wa Hai Ole Sabaya atakutwa hana Hatia na kuwa Huru.
Binafsi kiumakini kabisa nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa hii Kesi na kwa yanayoendelea huko Mahakamani nami naungana na wale JF...
Kama ambavyo
Mashehe wa uamsho walivyotolewa.
Babu seya kulamba msamaha(anzi za magu).
Mdude kuachiwa(kushinda kesi).
Mbowe na wenzake mahakama kuamuru warejeshewe mamilioni.
Singasinga.
Bila shaka yoyote wewe kama mwanamchi wa kawaida jiandae kisaikolojia ya kwamba Aliye kuwa mkuu wa...
Ni suala la muda tu na kujipa subira kidogo tutajionea kwa macho yetu Mungu akitupa uzima.
Jana tulishuhudia mh. Mbowe akitamka kauli tata zenye vitisho na amri dhidi ya Rais wa nchi.
Swali jiulize kama Rais wa nchi anatamkiwa maneno kama yale hadharani je vipi kuhusu mkuu wa wilaya tena pale...
Supreme Court wamefuta makosa ya Cosby ,makosa yake ya likuwa political motivated .Me too movement .God is good
===
Media captionWatch: The moment Bill Cosby leaves prison
US comedian Bill Cosby has left prison hours after his sexual assault conviction was overturned by Pennsylvania's Supreme...
29 June 2021
Dar es Salaam, Tanzania
Eneo la soko huru kupitia mkataba wa AfCFTA yafikia nchi 38, tanzania kufaidika
Tanzania imeridhia na pia kufikia hatua za mwisho kuingia katika soko kubwa la biashara kupitia eneo la soko huru barani Afrika AfCFTA litalokuwa na idadi ya zaidi ya watu...
Leo Juni 28, 2021 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imemuachia huru Mdude Nyagali baada ya kutomkuta na hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kusafirisha madawa ya kulevya.
Mpaluka Mdude Nyagali alikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin gramu 23.4 mwaka 2020.
Mdude...
Mh Rais tuundie TUME HURU itakayochunguza uhalali wa nyaraka za baadhi ya wabunge.
Kodi zetu zinawalipa wa bunge feki,kama vipi basi turudishe kodi ya kuku na mbwa ili kupanua wigo wa kodi zakuwalipa wa bunge feki.
IFIKAPO 2060; ASILIMIA 60 WATAKUWA WACHAWI, 90% WATAKUWA WASHIRIKINA TZ
Na, Robert Heriel
Hobby yangu ni udadisi, uchunguzi, utafiti na mambo yote yahusuyo upelelezi. Kwa namna hiyo kwangu kujua mambo mbalimbali ni ishu ya kawaida Sana.
Hobby yangu hiyo Inategemea zaidi Kusoma vitabu...
Waswahili walisema ndo ndo ndo si chururuu. Wala Lila na Fila havikupata kutengamana.
Hii ikiwa ni kwa maana halisi ya kuwa awamu ya sita si awamu ile ambayo mahabusu walikuwa wakipigiwa mahesabu kuwa chanzo cha nguvu kazi. Eti kuwa asiyefanya kazi na asile.
- DPP amewafutia kesi waliodaiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.