Vyama vya upinzani nchini Tanzania kwa kipindi kirefu vimekuwa na madai mbalimbali yanayousiana na suala zima la chaguzi za kisiasa , madai haya yamekuwa yakibadilika badilika kulingana na serikali iliyopo madarakani.
Hapo awali kulikuwa na vuguvugu kubwa la kudai tume huru ya uchaguzi, vuguvugu hili limedumu kwa kipindi kirefu bila mafanikio.
Hivi karibuni kumeibuka tena harakati za madai ya Katiba Mpya, kwasasa kila kona ya jamii yenye kufuatilia mambo ya kisiasa inadai katiba mpya sasa niulize kati ya Tume Huru au Katiba Mpya kipi kianze?
Hapo awali kulikuwa na vuguvugu kubwa la kudai tume huru ya uchaguzi, vuguvugu hili limedumu kwa kipindi kirefu bila mafanikio.
Hivi karibuni kumeibuka tena harakati za madai ya Katiba Mpya, kwasasa kila kona ya jamii yenye kufuatilia mambo ya kisiasa inadai katiba mpya sasa niulize kati ya Tume Huru au Katiba Mpya kipi kianze?