Naona kuna dalili za kuyahepesha madai ya katiba mpya na haswa tume huru ya uchaguzi, kuna harakati zimeibuka kutoka kusiko julikana na ni nyingi na zinakuwa kama moto wa nyasi kavu.
Lengo likupinsha muelekeo ulioanza kubaleghe kwa maana uoga umeanza kuondoka juu ya kupiga makelele ya kudai tume huru na katiba mpya.
Chenga wanazotaka kupiga ving'ang'anizi ni kuwaondoa wanancho kwenye mstari.
1) Kesi ya Mbowe
2)Tozo sijui za miamala
3) Utalii wa Rais
Yote hayo yameonekana kufeli sasa wameongezea
4) Msajili wa vyama kuungana na Mkuu wa polisi Mheshimiwa Siro.
Hili la nne hili ni hatarishi lengo sio majadiliano sijui ya makongamano lengo wanalo na nalihisi ni kuataka kuruhusu lakini katika kuruhusu huko iwe ni mwiko na upawa kuzungumzia madai ya Katiba mpya na madai ya tume huru. Hili nimeliota kuwa ndio lengo kuu na ujumbe unaotaka kuvitia Magufuli vyama vya siasa haswa vile vyenye msimamo mkali wa kisiasa,yaani mruhusiwe kufanya mikutano lakini msiwashawishi watu kudai ume huru wala Katiba mpya.
Huu ni wakati wa kampeni kuwainganisha waTanzania wengi juu ya madai ya Tume huru na Katiba mpya, bora muvunje vyama kama hamuwezi kuwashawishi wananchi katika jambo na wananchi wakawasikiliza makamanda mnashindwaje kuwatongoza wananchi na kujenga msimamo kitaifa juu ya madai ya Tume huru na Katiba Mpya? Mnawapa nafasi waliomadarakani kutanua ni lazima muwe mstari wa mbele msiwape nafasi ya kutanua, ni lazima muwakeep bize na mambo makuu hayo wataharuki kuwa sasa kweli nchi inahitaji mabadiliko.
Tuseme ukweli hali ya mwananchi wa kawaida sasa ni mbaya sana, wananchi hawana hela kazi hakuna na wanachokipata kiguru anakiwinda, Raisi anakula bata mguu juu, mtalii.
wananchi wanalia kweli wanashida ngumu sana,angalieni vipindi rushwa kwenye tv za youtube angalieni maximumTv uone shida, serikali inashindwa kutibu raia zake walio katika hali ngumu, hata kwa magonjwa yale yalio hatari na yanatibika,lakini kwa umasikini wa raia hana uwezo. Serikali kwanini haiwavuti pembeni wagonjwa hawa na kuwapa tiba bure.
Katiba mpya na tume huru ndio kila kitu .
Lengo likupinsha muelekeo ulioanza kubaleghe kwa maana uoga umeanza kuondoka juu ya kupiga makelele ya kudai tume huru na katiba mpya.
Chenga wanazotaka kupiga ving'ang'anizi ni kuwaondoa wanancho kwenye mstari.
1) Kesi ya Mbowe
2)Tozo sijui za miamala
3) Utalii wa Rais
Yote hayo yameonekana kufeli sasa wameongezea
4) Msajili wa vyama kuungana na Mkuu wa polisi Mheshimiwa Siro.
Hili la nne hili ni hatarishi lengo sio majadiliano sijui ya makongamano lengo wanalo na nalihisi ni kuataka kuruhusu lakini katika kuruhusu huko iwe ni mwiko na upawa kuzungumzia madai ya Katiba mpya na madai ya tume huru. Hili nimeliota kuwa ndio lengo kuu na ujumbe unaotaka kuvitia Magufuli vyama vya siasa haswa vile vyenye msimamo mkali wa kisiasa,yaani mruhusiwe kufanya mikutano lakini msiwashawishi watu kudai ume huru wala Katiba mpya.
Huu ni wakati wa kampeni kuwainganisha waTanzania wengi juu ya madai ya Tume huru na Katiba mpya, bora muvunje vyama kama hamuwezi kuwashawishi wananchi katika jambo na wananchi wakawasikiliza makamanda mnashindwaje kuwatongoza wananchi na kujenga msimamo kitaifa juu ya madai ya Tume huru na Katiba Mpya? Mnawapa nafasi waliomadarakani kutanua ni lazima muwe mstari wa mbele msiwape nafasi ya kutanua, ni lazima muwakeep bize na mambo makuu hayo wataharuki kuwa sasa kweli nchi inahitaji mabadiliko.
Tuseme ukweli hali ya mwananchi wa kawaida sasa ni mbaya sana, wananchi hawana hela kazi hakuna na wanachokipata kiguru anakiwinda, Raisi anakula bata mguu juu, mtalii.
wananchi wanalia kweli wanashida ngumu sana,angalieni vipindi rushwa kwenye tv za youtube angalieni maximumTv uone shida, serikali inashindwa kutibu raia zake walio katika hali ngumu, hata kwa magonjwa yale yalio hatari na yanatibika,lakini kwa umasikini wa raia hana uwezo. Serikali kwanini haiwavuti pembeni wagonjwa hawa na kuwapa tiba bure.
Katiba mpya na tume huru ndio kila kitu .