Wakuu,
Msaada wenu naomba kujua hotel nzuri yenye view Kali, yenye kila kitu naweza nipate namba za Simu jina na maelezo ya ziada nahitaji kwenda kuanzia Dec 15 mpk 20 kabla ya kwenda kuhesabiwa
Asante.
Wakuu nitakuwa na safari ya kwenda Dodoma, naomba wanajua maeneo hayo au kama uliwahi kufikia maeneo ya UDOM wa nisaidie majina ya hotel na ukijua bei zao utakuwa imenisaidia sana.
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika...
Njoo upate eneo la biashara lenye magorofa ya kutosha, haina udalali mmiliki ni mimi mwenyewe.
Hati ipo
Unaweza kwenda jiji ukamchukua surveyor mwenyewe mkaenda nae hata bila kuniambia ukiridhika nipigie namba 0753477905 tufanye biashara.
Napakana na bustan jafo waziri(inapita katikat ya...
Maafisa wa Usalama wamesema takriban watu 12 wameuawa baada ya kundi la Al-Shabaab lenye uhusiano na wanamgambo wa Al Qaeda kuzingira na kushambulia Hoteli ya Hayat iliyopo Mji Mkuu wa Mogadishu.
Imeelezwa kuwa Al Shabaab imekuwa ikipigania kuiangusha serikali ya Somalia kwa zaidi ya miaka 10...
TABORA HOTEL MAHALI ALIPOHOJIWA SHEIKH BILAL REHANI WAIKELA BAADA YA "MGOGORO" WA EAMWS 1969
''Kilichobakia baada ya kuvunjika kwa EAMWS ilikuwa ni kujaribu kuiweka BAKWATA katika mikoa kama jumuiya inayowakilisha Waislam wote wa Tanzania Bara.
Mwaka mzima wa 1969 Adam Nasibu na kamati ya watu...
Kwa ufupi kila nikisikia ile nyimbo ya kijana Diamond aliyoimba na Zuchu, mbo..00 inasimama ghafla.
Vijana tafuteni pesa ili uzeeni mfurahie maisha, ni wewe kuchagua leo uwe na amina, mke wa khalfani n.K
Mbeya is a city in southwest Tanzania. It sits at the base of soaring Loleza Peak, between the Mbeya and Poroto mountain ranges. On the town's outskirts is Lake Ngozi, a huge crater lake surrounded by dense forest rich in birdlife. Kitulo Plateau National Park, southeast of the city, is known...
Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii.
----
Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya
Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari...
Zanzibar’s Commission for Tourism has come out to respond to an explosive account of assault shared online by a Nigerian woman on her experience at a ritzy hotel on the island last year.
Zainab Oladehinde, through her Twitter account on Saturday, narrated her 23rd birthday celebration at Warere...
Katika pitapita zangu za leo nimekutana na tweet hii ya binti kutoka Nigeria,aliyekuja Tanzania kwenye matembezi na kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa .
Ameeleza namna ambavyo alikuwa amelala Warere beach hotel na usiku wa manane akashangaa kuna mwanaume kitandani anampapasa papasa na...
An artistic impression of JW Marriott Masai Mara Lodge’s junior suite tent bedroom. PHOTO | COURTESY | MARIOTT INTERNATIONAL
Global hotel chain Marriott International has signed an agreement with Baraka Lodges Limited to open its first luxury safari lodge in Masai Mara, Narok County.
The JW...
Naitwa Salma Hussein Chuku
Nina miaka27 Elimu yangu mpaka form four nimesomea Hotel Management ila si kubahatik kupat ajira popote uzoefu wng ni biashara
Msaada wenu waungwana nipate kazi
0684 05 76 98
Hello thinkers
Salaam wakuu!
Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata
TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION.
Hizi ni uambatanisho wakupata viza/Visa ya kusafiria kwa mda.
Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
Hello, thinkers
Salaam wakuu!
Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata
TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION.
Hizi ni uambatanisho wakupata
viza/Visa ya kusafiria kwa mda.
Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
Receptionist at KCU Lake Hotel
KCU – Lake Hotel is the among of KCU (1990) LTD hotels operating in Bukoba Municipal council in Kagera region. Our hotel offers different services such as Accommodation, Bar and Restaurant, Kitchen and Hall for ceremonies and seminars. Has the following job...
Chefs at KCU Lake Hotel
KCU – Lake Hotel is the among of KCU (1990) LTD hotels operating in Bukoba Municipal council in Kagera region. Our hotel offers different services such as Accommodation, Bar and Restaurant, Kitchen and Hall for ceremonies and seminars. Has the following job...
Waiter at KCU Lake Hotel
KCU – Lake Hotel is the among of KCU (1990) LTD hotels operating in Bukoba Municipal council in Kagera region. Our hotel offers different services such as Accommodation, Bar and Restaurant, Kitchen and Hall for ceremonies and seminars. Has the following job...
Bartender at KCU Lake Hotel
KCU – Lake Hotel is the among of KCU (1990) LTD hotels operating in Bukoba Municipal council in Kagera region. Our hotel offers different services such as Accommodation, Bar and Restaurant, Kitchen and Hall for ceremonies and seminars. Has the following job...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.