Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,932
- 31,178
Heshima sana,
Jana nilikuwa natokea Dar kwenda Arusha.Muda wa saa 2 asubuhi tukapitia hotel ya Kilimanjaro Bus pale Korogwe.
Nikaagiza mtori na sambusa tatu na mwenzangu naye akaagiza kama mimi.Baada ya kumaliza tukaletewa bill kibakuli cha Mtori tsh 5,000 sambusa moja 2,000.
Nikawauliza huu mtori wa ndizi mbili tatu na nyama mbili sh 5,000 na sambusa 2,000 nikaambiwa ndio duh nikalipa bill kwa mshangao.
Nikaondoka kuendelea na safari mbele kidogo ipo hotel nyingine parking imejaa kweli kweli tofauti na Kilimanjaro.Kwakuwa muda wa saa 2 asubuhi magari mengi yalikuwa binafsi nikagundua wadau wa usafiri njia ya Dar to Arusha wameistukia hotel ya Kilimanjaro inauza vyakula bei za kiukraine.
Nilichojifunza wasafiri wanaotumia mabus ya Kilimanjaro wanauziwa vyakula bei kubwa na hawana option labda turejee zama zile za kusafiri na vyakula.
Jana nilikuwa natokea Dar kwenda Arusha.Muda wa saa 2 asubuhi tukapitia hotel ya Kilimanjaro Bus pale Korogwe.
Nikaagiza mtori na sambusa tatu na mwenzangu naye akaagiza kama mimi.Baada ya kumaliza tukaletewa bill kibakuli cha Mtori tsh 5,000 sambusa moja 2,000.
Nikawauliza huu mtori wa ndizi mbili tatu na nyama mbili sh 5,000 na sambusa 2,000 nikaambiwa ndio duh nikalipa bill kwa mshangao.
Nikaondoka kuendelea na safari mbele kidogo ipo hotel nyingine parking imejaa kweli kweli tofauti na Kilimanjaro.Kwakuwa muda wa saa 2 asubuhi magari mengi yalikuwa binafsi nikagundua wadau wa usafiri njia ya Dar to Arusha wameistukia hotel ya Kilimanjaro inauza vyakula bei za kiukraine.
Nilichojifunza wasafiri wanaotumia mabus ya Kilimanjaro wanauziwa vyakula bei kubwa na hawana option labda turejee zama zile za kusafiri na vyakula.