peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,828
- 21,461
Uuzaji na ubinafsishaji wa mali za wananchi watua huko Kilimanjaro. Kuna kila dalili hali ikawa mbaya kwa wananchi waliojenga mahotel ya Kitalii arusha mjini kwani:
1. Watalii watashuka uwanjani watalala hapo hapo uwanjani na asubuhi wataondokea hapo kwenda National Park.
2. Wakitoka National park watalala hapo hapo uwanjani na kurukia ndege hapo hapo uwanjani.
3. Waarabu wa Loliondo watafurahi kulala airport na kurusha wanyama kwao mwisho wa siku hawatarudi mbugani kuangalia wanyama tena .
4. Hotel hiyo itajengwa eneo la KIA au Rais Samia ametenga eneo lake ili hotel iwe yake.
5. Mkataba ni wa miaka mingapi na hotel itakuwa mali ya nani?
6. Ni kweli watu wa kanda ya kaskazini wameshindwa kuendeleza uwanja huo kwa kujenga eneo la nyota tano na maduka?
7. Ni kigezo gani kimetumika kuwapa watu wa oman uwanja huo?
8. Mbunge wa Jimbo la Hai, ameuza uwanja na amesimamia uwanja kuondoka anatarajia kurudi Jimboni kuomba kura 2025?
9. Eneo la Kilimanjaro airport lilikuwa na mgogoro na wamasai na mbunge akawahakikishia kuwa eneo lso liko salama na watarejeshewa? Sasa limetolewa kwa Waarabu?
10. Je kuuzwa kwa Kilimanjaro airport Ngorongoro ipo salama haijauzwa?
11. Maswali ni mengi kuliko majibu ila kiuhalisia Saa100 kwa miaka 2 ameuza kila kitu.
1. Watalii watashuka uwanjani watalala hapo hapo uwanjani na asubuhi wataondokea hapo kwenda National Park.
2. Wakitoka National park watalala hapo hapo uwanjani na kurukia ndege hapo hapo uwanjani.
3. Waarabu wa Loliondo watafurahi kulala airport na kurusha wanyama kwao mwisho wa siku hawatarudi mbugani kuangalia wanyama tena .
4. Hotel hiyo itajengwa eneo la KIA au Rais Samia ametenga eneo lake ili hotel iwe yake.
5. Mkataba ni wa miaka mingapi na hotel itakuwa mali ya nani?
6. Ni kweli watu wa kanda ya kaskazini wameshindwa kuendeleza uwanja huo kwa kujenga eneo la nyota tano na maduka?
7. Ni kigezo gani kimetumika kuwapa watu wa oman uwanja huo?
8. Mbunge wa Jimbo la Hai, ameuza uwanja na amesimamia uwanja kuondoka anatarajia kurudi Jimboni kuomba kura 2025?
9. Eneo la Kilimanjaro airport lilikuwa na mgogoro na wamasai na mbunge akawahakikishia kuwa eneo lso liko salama na watarejeshewa? Sasa limetolewa kwa Waarabu?
10. Je kuuzwa kwa Kilimanjaro airport Ngorongoro ipo salama haijauzwa?
11. Maswali ni mengi kuliko majibu ila kiuhalisia Saa100 kwa miaka 2 ameuza kila kitu.