hospital

  1. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania CCM jengeni Chuo kikuu Mwanza na Hospital kubwa yenye hadhi ya nyota tano muziite CCM MEDICAL UNIVERSITY and Teaching Hospitali

    Haya mabilioni ya shilingi zenu njoeni muwekeze Mwanza mjenge Hospital ya hadhi ya nyota tano hafu mjenge chuo kikuu kikubwa Sana
  2. R

    JamiiForums Tanzania Dialysis hospitali za serikali almost 1,000,000 Tsh. Wanyonge wa Magufuli tukimbilie wapi?

    Nimeshuhudia mwenyewe initial costs nearing 900,000 Tsh. Bado vikoromboizo vingine. Kweli "wanyonge" wa magufuli wataweza? Main bussiness ni kukaa madarakani na Tupo Mlimani city kutakatisha fedha! johnthebaptist naomba maoni yako!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tiba ya Mshipa kwa Mzee wa Umri miaka65 hospital Gani nzuri kufanya operation

    Habar wadau msaada wenu,Mzee wangu Umri miaka65 Leo umemkamata Mshipa wakorodani moja kuuma na nyonga kuachia,ikabid awahishwe hospital akapatiwa sindano Mshipa ukapoa, Sasa nauliza tiba yake huwa ni nin,naje hospital Gani nzuri kufanya matibabu
  4. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Registered hospital for sale,located at Tandika, Temeke Dar es salaam Tanzania,price tsh 1billion

    #hospitalforsale REGISTERED HOSPITAL FOR SALE LOCATED AT TANDIKA, TEMEKE DARESALAAM. Complete x ray room, no x ray modality. ULTRASOUND MACHINE -four probes -curved probe - linear probe -echo probe -TVS probe Dressing room 1, Theater changing room 1, Autoclave room 1, OPERATING THEATER...
  5. D

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Hospitali ya JKCI-Dar Group mnaihujumu Serikali kwa Kukiuka makubaliano ya Serikali na wafanyakazi mliowakuta

    Takriban mwaka miaka 3 tangu Serikali JMT kutangaza kuchukua umiliki wa hospitali ya Dar Group kupitia Waziri wa afya wa wakati huo Ummy Mwalimu siku ya makabidhiano na kuiweka chini ya umiliki wa Taasisi ya moyo JKCI , pia ilichukua rasilimali zote ikiwemo majengo, vifaa tiba , pesa na...
  6. Ramuz_store

    JamiiForums Tanzania KERO Hospital za serikali kunashida gani kila siku hakuna Dawa, mnaagaza wagonjwa wakanunue Kwenye maduka ya Dawa ya nje

    Nimesikitika sana leo nimeona nije ku share kidogo JF, Wazazi nimewakatia Bima NHIF Standard, shida kila wakienda kutibiwa naambiwa wamekosa dawa wakanunue dawa Pharmacy za nje, nawatumia hela, Sasa leo nimewaambia wanitumie picha ya hizo dawa nilichoona hadi nikaishiwa pozi, hospitali ya...
  7. Bueno

    JamiiForums Tanzania Ukiumwa nenda Hospital acha kujifanya Daktari Mwanafunzi

    Wakuu, juzi kati hapa nilipatwa na kahoma nikawa sielewi elewi mwili wangu huu vipi. Basi mimi na JF Doctaz Jukwaa la Afya ni sehemu yangu ya kupokea maarifa mawili mawili matatu kuhusu magonjwa mbalimbali na Afya zetu, nikajikusanya nikaingia JF nikaanza kuandika dalili kwenye search box pale...
  8. mindchaser

    JamiiForums Tanzania Jipatie vifaa vya maabara, Reagent za maabara, kemikali za viwandani, Vifaa vya kutibu maji (Water treatment consumables) Kwa bei rafiki

    Kama unamiliki taasisi ya afya, maabara, kiwanda, chuo kikuu, au unahusika na huduma za matibabu ya maji(water treatment)— Alphacia Limited ni chaguo sahihi kwako Tunahusika na usambazaji wa: 🧪 Reagents za Maabara (Lab Reagents) 🔬 Vifaa vya Maabara (Lab Equipment & Instruments) ⚗️ Kemikali za...
  9. D

    JamiiForums Tanzania Msaada kufika hospital ya KIBAHA ya serikali

    Habari za Asubuhi Naomba anayefahamu namna ya kufika KIBAHA hospital. Ni hospital ya serikali na kwa maelezo machache pia Ina madaktari wazuri wa macho. Binafsi natokea Tabata Kinyerezi na mpaka muda huu nimeshaanza safari now nipo Malamba Mawili so Maelekezo yaanzie Mbezi Stand Naomba...
  10. Tony Yeyo

    JamiiForums Tanzania KERO Agha Khan Hospital Iringa huduma zenu ni mbovu sana

    Ninapenda kutoa malalamiko kuhusu huduma duni niliyoshuhudia katika Hospitali ya Aga Khan Iringa. Nilimpeleka mke wangu siku ya Jumamosi majira ya saa 10:30 jioni. Tulipofika, tulikuta dada wa mapokezi akiondoka bila kutoa maelezo yoyote kwa wagonjwa waliokuwa wakisubiri. Cha kushangaza...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mawasiliano ya Bugando hospitali

    Ndugu zangu napiga namba +255282500513 ambazo zipo kwenye website ya Bugando Hospital sipati msaada haipokelei. Lengo niende kutibiwa wiki ijayo. Sasa nataka kujua siku ambayo unafika na kumuona daktari wa ugonjwa nilionao Kwenda bila mawasiliano unaweza kuchoma nauli kisha unafika unaambiwa...
  12. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kutajengwa Hospital kubwa mpya za kisasa

    Nikiwa Rais kutajengwa hospitali kubwa za kisasa zisizopungua nane (8) Zitakuwa na sifa zifuatazo;- 7t (7 tesla) MRI machine @4 kwa kila hospital kwa kuanzia na baadae zitaongezeka kulingana na mahitaki Ct scan number @12 na zitaongezeka kulingana mahitaji ya hospotali Radiotherapy facilities...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Iranian Foreign Ministry spokesman Esmaeil Baghaei says Israeli strike hit hospital in Kermanshah, calls it a war crime

    21 minutes ago Iran says Israeli strike hit hospital in Kermanshah, calls it a war crime Iranian Foreign Ministry spokesman Esmaeil Baghaei said Monday that Israeli forces targeted Farabi Hospital in the western city of Kermanshah, calling the attack a “grave violation of international law” and...
  14. Y

    JamiiForums Tanzania KERO Kina mama waliojifungua Hospitali ya Jitimai Zanzibar kitanda kimoja wanalala watatu, tatizo ni nini wakati kila wilaya ina hospitali?

    Jana nilipoenda Hospitali ya Jitimai Zanzibar kumuangalia mjamzito nimekutana na changamoto wanayoikumba wakina Wamama baada ya kujifungua. Kitanda kimoja wanalala Wazazi watatu na watoto wao sasa tatizo sijui ni nini licha ya kuwa kila wilaya sasa hivi Zanzibar wana hospitali yao.
  15. H

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TO wa Hospitali ya Rufaa mkoa wa Rukwa anatoza mafuta lita 120 kwa ambulance kwenda Mbeya Zonal Hospital

    TO na uongozi wa hospitali hiyo wanatoza lita 120 na chakula na posho kwa kila mgonjwa kwa mgonjwa kutumia ambulance kwenda mbeya na badae kuwasilisha receipt za mafuta na kuchukua fedha hizo serikalini.
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema, hospitali zote hizi nchini lakini unaenda Kenya ukaangaliwe bega, una hofu gani?

    Imeripotiwa kuwa ndugu Lema alizuiwa mpakani Namanga akidai kuwa alikuwa akienda kwa akina Martha Karua kuangaliwa afya ya bega lake na shida nyingine ambayo hakuitaja. Ukweli hii ilinifikirisha sana kama mtanzania kama kweli tumefika hapo. Ni kweli Tanzania hakuna hospital na wataalam ambao...
  17. DodomaTZ

    JamiiForums Tanzania Nafasi za ajira kwa Wataalam wa Afya katika Eli Hospital Arusha

  18. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuzielewa hospital za Tanzania

    Hii imekaaje wakuu. Niko hapa hospital moja ubungo, makuburi kuna jamaa alikuja kupata huduma. Nilifanya kumsindikiza. Ila ninachokiona hapa halinivutii wala kunipa picha nzuri. Reception tu huyu daktari/mhudumu amekaa na wenzake wawili yaani sio watu wa hospital ni wauza chakula/ mama ntilie...
  19. Doctor MD

    JamiiForums Tanzania Kama una jengo lenye sifa za kuwa kituo cha afya au hospital karibu tufanye biashara

    Nawasalimu kwa jina la jamhuri Mimi ni daktari nafanya kazi katika moja ya taasisi hapa nchini Nina uhitaji wa kufungua kituo Cha afya au hospital endapo nitafanikisha kupata jengo lenye sifa zifuatazo 1. Jengo liwe limezungukwa na idadi ya watu wengi 2. Jengo liwe na vyumba vya kutosha walau...
  20. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Je Mohamed Sinwar kaingia mtegoni? kuna uwezekano keshadedishwa akiwa Hospital

    IDF imejaribu kumuua kiongozi wa Hamas Mohammed Sinwar katika hospitali ya Gaza, duru zinaiambia Shirika la habari la 'Post' Maafisa wa usalama wameamini kwa muda mrefu kuwa Mohammed Sinwar angechukua nafasi ya kaka yake, Yahya Sinwar, kama kiongozi mpya wa Hamas. IDF mnamo Jumanne 5th May 2025...
Back
Top Bottom