Kumbe Mzena Hospital iko pia Zanzibar

Kumbe Mzena Hospital iko pia Zanzibar

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,494
Reaction score
10,391
Leo ndio nimejua kuwa Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena iko pia visiwani Zanzibar.

Nimejua hayo kupitia taarifa ya Makamu wa Rais, akitangaza kifo cha Mume wa Rais Samia leo.

Ikumbukwe, hiyo ni hospital maalum kwajili ya viongozi waandamizi wa Serikali na ile iliyozoeleka huwa ipo hapa Dar.
 
Leo ndio nimejua kuwa Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena iko pia visiwani Zanzibar.

Nimejua hayo kupitia taarifa ya Makamu wa Rais, akitangaza kifo cha Mume wa Rais Samia leo.

Ikumbukwe, hiyo ni hospital maalum kwajili ya viongozi waandamizi wa Serikali na ile iliyozoeleka huwa ipo hapa Dar.
Nimecheka sana Mkuu. Hapana kuna Mzena Hospital moja tu. Msamehe Mgeni kwa Kukosea huko na hata waliomuandikia.
 
Leo ndio nimejua kuwa Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena iko pia visiwani Zanzibar.

Nimejua hayo kupitia taarifa ya Makamu wa Rais, akitangaza kifo cha Mume wa Rais Samia leo.

Ikumbukwe, hiyo ni hospital maalum kwajili ya viongozi waandamizi wa Serikali na ile iliyozoeleka huwa ipo hapa Dar.
Hata songea ipo
 
Unaweza kuta wanaficha mtu kafia Dubai au Hambugh, so wanajisahau uongo kazi sana wandugu na una gharama kubwa, kumbuka huyu jamaa anaandaliwa speech na wataalam hatumii nguvu kufanya any research kwa nini afanye kosa kubwa namna hiyo la kiufundi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom