hizi

Hizi Koyke (1902 – September 1991), born Koike Hisako, was a Japanese singer based in the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Hautapigwa Penalty Tena Kama Utazikumbuka Hizi Tarehe

    Wewe kama mfanya biashara mara kadhaa unaweza kuchelewa au kusahau ku file taxes zako kutokana na sababu kadha wa kadha. Lakini vipi kama nikikwambia Kuna tarehe 3 tuu ambazo ukizishika hauta Chelewa tena ku file taxes? Yes ni tarehe 7, 20 na 28 Ngoja nikuvunjie hapa chini ili ujue ni tarehe...
  2. A

    Kwa sifa hizi; Mabasi ya Shabiby Line Toleo Jipya ndiyo bora zaidi.

    Hivi karibuni, Kampuni ya Mabasi ya Shabiby Line iliingiza nchini mabasi mapya yasiyopungua 50 kwa ajili ya matumizi ya barabara za nchi nzima. Mabasi hayo ni aina ya Yutong D 14 yaliyotengenezwa nchini China yakiwa na Kilomita '0' (zero). Sifa kubwa ya mabasi ya Yutong D14 inaanzia hapa...
  3. Isenye

    Zipi zinafaa kati ya hizi

    Habari za alfajiri waungwana? Kuna mwanamke huwa nammendea leo ana birthday, toka juzi ananiambia eti anataka zawadi ya birthday (ikumbukwe ana mpenzi wake). Sasa mimi nataka nimtege kwa kumpa zawadi ya chupi nione kama atazipokea au atazirudisha. Sasa ebu niambieni, zipi kati ya hizi ni nzuri?
  4. Zirconium

    Tufanye Kitu gani kuepukana na hizi story?

    Ukiongea na wazee wengi, especially wale ambao hawako vizuri kiuchumi, utakuta kuna baadhi ya vitu vinafanana kwenye past experiences zao. Wengi walipata "bahati" sio ya kuwa matajiri, ila bahati ya kushika pesa nzuri kwenye ujana wao. Ila baada ya muda, pesa zikawakimbia. This is not a...
  5. PLOII

    Wana ccm ni muda wa kuamka kupambania chama hizi surprise za watu kupewa nafasi out of nowhere big no

    Hello wana Jamii, Niende kwenye Mada/ Kero. Nauliza maswali Kwa hawa viongozi wetu wa Chama hivi Wana- CCM mnawachukuliaje ? Kuna watu wanakula Upinzani wakiona hakuna Maisha wanakimbilia CCM na inaonekana wana bahati Sana kuliko Wana CCM wenyewe maana wakifika wanapewa vyeo na nafasi za...
  6. Quavohucho

    Ukisoma threads hizi mbili! Utajua maisha yamechange Sana!!

    Zote mbili Ni kushare sex fantasy! Thread 1:ya Kwanza iliandikwa 2014, Je, Fantasy yako katika mapenzi ni ipi? Replies zake zipo clean kabsa fantasy nyingi Ni normal sex Mf; sex na other race, kupata mwenza wa maisha etc 2; Thread ya pili ilikua 2022...
  7. bahati93

    Wafanyabiashara wa hizi bidhaa mjitafakari

    Habari wanajamii Kuna utitiri wa maduka mengi sana hapa bongo, mbaya zaidi mengi ya haya maduka yanauza bidhaa nyingi ambazo hazina manufaa kwa taifa! Kinachoniumiza ni kuona kutokuwepo wa Ubinadamu kila nikilinganisha thamani ya kinachouzwa na uzuri wa duka. Hii kwa wale wanauza Pombe kali...
  8. Muimba SINGELI

    Wakuu hizi baiskeli zinapatikana huko mjini Dar es salaam?

    Naomba kufahamu kama baiskeli aina hii zinapatikana hapa Tanzania, hii picha nimeitoa Alibaba. Poor Brain dosho12 Harmful Mama Ndege secretarybird
  9. P

    Natamani mtu mmoja ajiuzulu

    Kusema tu ukweli nahisi mtu mmoja ajiuzulu tupone. Weka jina la unayetamani ajiuzulu hata leo.
  10. Idugunde

    Kamatakamata na kesi za kubumba haziwezi kuidhoofisha CHADEMA. Hata Makaburu walitumia hizi mbinu lakini ukombozi ukapatikana

    Angalia kesi kama hii iliyosimamisha shughuli za CHADEMA. Uhuni wa kisiasa mtupu. Kesi za kubumba ili kudhoofisha wapinzani wenye nia njema na nchi yao. Kesi ya Shujaa Lissu? Haitadhoofisha Watanzania wanaopenda mabadiliko Mmesahau hata Kaburu Peter Botha alitumia mbinu kama hizi!
  11. ndege JOHN

    Military bus zilinunuliwa kwa lengo gani? Nazipenda Sana zikipita 🤣

    Naziona ziko nyingi ila kuna nyingine hata hazitumiki zilinunuliwa nyingi na bado ziko bandarini cha ajabu sometimes wanaazima bus za binafsi ila me nazipenda Sana hizi bus aisee 🤣🤣 wakuu hii mada ni nimeanzisha Tu baada ya kuziona zinasafiri empty nazipenda Sana hizi bus 🥰
  12. Now and then

    Je serikali ilipigaje hizi hesabu , wanafunzi ambao wapo darasa la nne wataingia secondary mwaka 2028 na ambao wapo darasa la tano wataingia 2028.

    Je serikali ilipigaje hizi hesabu , wanafunzi ambao wapo darasa la nne wataingia secondary mwaka 2028 na ambao wapo darasa la tano wataingia 2028. Je ikiwa tutautekeleza huu mtaala Mpya , maana yake wanafunzi ambao wapo darasa la nne mwaka huu wataingia form one 2028 na ambao wapo darasa la...
  13. Mwachiluwi

    Mwanaume perfume hizi ni mzuri sana kwako

    Helll Mwanaume mwenzangu ambaye bado ujajua perfume nzuri zitakazo kufanya uonekane mtanashat na kunukia vizuri wakati wote mimi natumia hizi mbili Hii natumia kama sehemu ninako enda hakuna kusanyiko kubwa la watu wengi sana hii ndio natumia au safari za kawaida bei 50000 Hii ya pili...
  14. The Burning Spear

    GE2025 Hizi hapa dhambi za uchaguzi ziepuke, utakufa vibaya

    GT. Uchaguzi uliojaa hila ni haramu jiepushe nao..
  15. BLACK MOVEMENT

    Hakuna hata Jimbo moja lenye maendeleo, labda liwe na katiba yake na sera yake zake, ila sio kwa sera hizi. Wajinga tunahadaiwa sana

    Nionyeshe Jimbo hata moja lenye maendeleo maana yake kuwa na maendeleo lina sera mbalimbali bora kabisa hapo jimboni. 1. Huduma bora za afya 2. Sera nzuri ya ajira, hakuna tati la ajira. 3. Sera nzuri za kufanya biashara. 4. Elimu bora na yenye viwango. 5. Sera nzuri za hifadhi ya jamii. 6...
  16. didy muhenga

    Ni harufu ya kawaida au matatizo mengi siku hizi

    Wakuu nimejitahid sana kupiga mali hasa za chuo kutokana nipo kweny mradi kweny chuo kimoja dsm ila harufu nazokutana nazo ni hatari au ni kwamba ile K lazima iwe na harufu? Nipen experience yenu mlioa jmn yaan nikiichap harufu ni jau hadi nataman badilisha mashuka
  17. Youbettersleep

    Ukiona hizi dalili jua umeshaachwa unasubiriwa wewe kujitangaza tu

    Dalili za kuachwa au kwamba uhusiano unaelekea kuisha mara nyingi huanza kwa mabadiliko madogo ambayo huongezeka polepole. Hizi hapa ni dalili za kawaida zinazoashiria kuwa huenda mwenzi wako anapanga kukuacha au tayari amepunguza mapenzi katika uhusiano: 1. Mawasiliano Kupungua Sana Hataki...
  18. K

    Yanga Tunakwama Wapi Kwenye hizi Ranking Za CAF.?

    Ni Kweli Ligi NBC ni Mabingwa.. Ni Kweli FA ya CRDB ni Bingwa... Pale CAF zile ranking zinaeleweka ? Tujionee wenyewe, Mnyama Yuko juu Hata ya Pyramids....! Mnazielewa hizo ranking.? 1. Al Ahly 2. Mamelod Sundown 3. Esperance de Tunis 4. Rs Berkane 5. Simba 6. Pyramids 7. Zamalek 8. Wydad...
  19. PLOII

    Vijana muwe makini na wanaharakati wa msimu na wanasiasa maslahi mtaacha generation yenu katika hali mbaya, taifa litakufa play safe

    Salute to you all hustlers ..... Direct to the topic, Niongee na mtu ambaye kwao hamna DED, RCO, RC, NAIBU WAZIRI, WAZIRI , VICE - PRESIDENT n.k. Nimeanza Kwa kusema hivyo Kwa sababu wanaotoka kwenye familia hizo kiuhalisia hawawezi kunielewa ni sawa na wajumbe wa Chama cha Mapinduzi hawawezi...
  20. Idugunde

    CCM mbona wanahangaika sana! Propaganda za kipuuzi kama, haziwezi kuimaliza nguvu CHADEMA ya Lissu labda angekuwa Mbowe

    Lissu anakubalika kama shujaa na mkombozi wa kweli acheni siasa za kiduanzi 👇
Back
Top Bottom