hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. Wachawi wa nchi hii naombeni msaada wenu

    Kila nikiwaza hatima yangu na ya taifa langu naona njia nyingi haziwezi kutuletea suruhu Mfano njia za Kisayansi/teknolojia Sisi kama taifa bado tupo nyuma sana hatuna mbinu Bora za kisayansi za kutuwezesha kutatua changamoto zinazotukabiri, Kisiasa/kidemokrasia Kwenye siasa naona...
  2. Hii vita mpya mitandao inatuchanganyia na AI

    Nafuatilia kwa karibu sana mitandaoni hii vita vya Iran marekanani na Israel.. Ni wazi sasa propaganda imehamia kwenye AI kwa asilimia 100 Video zinazorushwa kina AI nyingi sana mpaka kuna baadhi unashindwa kutofautisha halisi na feki Lakini pia ni mwanzo wa vita ijayo itakuwa ni laser war tupu...
  3. Umewahi kukutana na Hali kama hii

    Kuna Ile umemtembelea mgonjwa halafu baada ya muda kidogo anakwambia nifatie maji ya kunywa Ile unatoka tu kurudi unakuta mtu hauko nae Tena Je umewahi kukutana na Hali ya namna hiyo ni machungu kiasi gan ulipitia Na je ulichukua hatua gani
  4. Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    Why ukisha mvua nguo tu mwanamke ukitoka njee ya kile chumba una kua una mdharau una mchukulia ni mtu wa kawaida sana ata kama uli angaika kumpata? Hii ni kwangu tu au
  5. Week hii imechangamka ghafla sana. Huku Israel na Irani wanadundana, ukiangalia kule Pakistan na Afghanistan napo pamoto.

    Warmongers msiishiwe mabando tu ila kazi kwenuπŸ˜‚πŸ˜‚
  6. Swali kwa Wataalam wa Mabasi. Hii ni Happy nation au New Force?

    Swali kwa Wataalam wa Mabasi. Hii ni Happy nation au New Force?
  7. Hii ni Pendeza Booking App, Je itafeli au Itafaulu?

    Habari Wajamii, Mod ukifuta uzi litakukuta jambo... Leo nataka tuzungumze kuhusu kitu kipya ambacho kimezinduliwa hapa Tanzania β€” Pendeza Booking App β€” app inayolenga kubadilisha jinsi tunavyohifadhi na kupata huduma za uzuri (salons, barbershops, spas, na zaidi). πŸ“± App hii ni nini hasa...
  8. O

    KPLC: Same Token, Fewer Units? Hii Ndiyo Sababu! Je tunakubaliana kweli?

    Kenya Power has explained why some customers are now getting fewer electricity units for the same token amount. If you buy tokens worth Ksh 3,000, up to 20% (about Ksh 600) may be automatically deducted to clear arrears, leaving less money to buy units. Also, tariffs depend on your average...
  9. Kitaalamu hii inaitwaje?

    Week end njema .πŸ€―πŸ€―πŸ€―πŸ€―πŸ€―πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
  10. Jana nimeangalia marudio ya hotuba ya Trump katika bunge la US. Nimegundua uongozi ni karama, uongozi ni zali kwa wengi ila kuongoza ni born-gift

    Hapa tunazugumzia bilionea alietengeneza empire yake kwa kuwa master wa man-magement, corporate na negotiations. Mwamba wa miaka 79, kasimama lisaa limoja na nusu, bila makaratasi bila maneno ya siasa bali akiwa na confidence na facts za mambo aliyoyafanya. Mwamba amesimama muda wote...
  11. Je, hii ndio Rap Song of All Time kwa Bongo?

    https://youtu.be/UiIa2i29PZ4?si=2FBzIVDQBmQWwV81 Sikiliza mistari, mstari kwa mstari Sikiliza beat, sijui nani aliwatengenezea Sikiliza Father Nelly(RIP) anavyonata na hilo beat Sikiliza ujumbe mzito, ujumbe relevant mpaka leo Ninazijua nyimbo zote za Rap toka 2010s kushuka chini. Nawajua...
  12. hii itunze

    https://tanzaniamassacre.org/?sortBy=last_name&sortDir=ASC&pg=3 https://tanzaniamassacre.org/?sortBy=last_name&sortDir=ASC&pg=3
  13. M

    Wanangu wa kubet chukuweni Neema hii hapa

    Wanangu wa kubeti chukuweni notis hii hapa najua itakuwa ngumu sana kuaminika kwasababu wengi wenu wanaamini ni impossible na wengine wataniuliza kwanini mimi sijabeti hivo πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„ ila any way huu ndo ukweli wa matokeo kama nitadanganya nitukaneni vyovyote mtakavyojua au kama mtabisha subirini...
  14. Kidiplomasia imekaaje, eti unaenda nchi nyingine kuteka watu, hii ni kama STATE OF WAR....unatangaza vita

    Kuna mambo mengine ya kipumbavu sana. Nimekua nasoma habari za mmoja wa wanaharakati wa Tanzania kunusurika kutekwa huko nchini Nairobi, na mmoja wa watekaji amekimbia na wengine wamekamatwa. Nimekua najiuliza hii kidiplomasia imekaaje? Je sio ni kama kitendo Cha uvamizi kwenye nchi husika...
  15. M

    Hii ndio siku nilipogundua rafiki yangu ni nyoka, wewe ulijuaje rafiki yako ni msalaliti ?

    Nilipata dili safi, nikamtafuta huyu ninayemwita β€œrafiki” twende tukapige kazi tugawane 50/50 kama wanaume. Kumbe mwenzangu ana roho ya korosho. Bila kuniambia neno, akaenda kwa boss aliyenipa kazi nyuma ya mgongo wangu. Kufika huko akauliza nimemchaji sh ngapi. Akaambiwa ile ile bei...
  16. L

    Hii Ndiyo Picha Ya Siku Ya Rais Samia Katikati ya Ulinzi Mkali wa Kijeshi Na TISS Iliyoteka Hisia Za Watu Duniani Kwote.

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Tanzania Tupo level za juu sana, tupo mbali sana ,tunacheza katika anga letu linapokuja suala la mikakati na mipango. Sisi ni Taifa kubwa ,sisi ni Taifa La Mungu ,Sisi Ni Taifa Barikiwa,Sisi Ni Mpango wa Mungu. Napata raha sana ,napata furaha sana ,nakoshwa...
  17. Vijana watakaoleta suluhu ya foleni kupewa Milioni 10

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema wanafunzi wa uhandisi watakaoleta suluhu ya changamoto zinazokabili nchi ikiwemo ujenzi na marekebisho ya barabara, pamoja na tatizo la foleni watazawadiwa milioni 10.
  18. M

    Kuna mwanaume wa aina hii mwenye afya na uhuru ?

    Hanywi pombe Havuti sigara / bangi Hahongi wala kununua wanawake Hachezi kamali
  19. A

    DOKEZO Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi Mjini inanuka rushwa, ichunguzwe!

    Napoandika hii post leo, na siku za karibuni waziri mkuu amekuwa ziarani Mkoa wa Kilimanjaro, naomba na kumsihi Waziri Mkuu aifanyie uchunguzi ofisi ya Mkurugenzi wa manispaa ya Moshi mjini, mipango miji na TARURA kwa kula rushwa nakuuza maneno ya wazi au kuwezesha maneno ya wazi kuuzwa kwa watu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…