hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Hii picha imenirudisha miaka mingi baada ya Uhuru

    Mfano wa nyumba hizi zilizojengwa na Wajerumani ziko Amani, Tanga. Hiki kijumba kidogo ni jiko, kwa wakati ule wengi walipikia kuni. Hili jiko lilikua na sehemu ya kuhifadhi meter moja ya kuni. Walijenga hydroelectric power kutumia maporomoko ya mito kule Amani na kulikua na umeme. Waliweza...
  2. luangalila

    JamiiForums Tanzania Nyie Utopolo mbwembwe nyingiii ila mtaanzia hatua za mwanzo huko

    Utopolo hawakwishi vituko na vimbwanga ... Wanatambulisha wachezaji saa za usiku kama majizi, mara wametuletea akina Joyce ila bado wanapaswa kujua wanaanzia prelimimary stage huko kuna rivers UTD, Jowaning Galaxy, Plateau UTD watawababua mtafukuzana msimu huu
  3. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

    Kwema wakuu? Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe. "Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu" Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
  4. Amaizing Mimi

    JamiiForums Tanzania Hii sarafu ya mjerumani ina thamani gani?

    Bila shaka mu wazima wa afya. Naombeni kujua aina hii ya sarafu ilitumika nchi gani na je thamani yake ikoje kwa sasa?
  5. Melancholic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekubali yaishe, kumtongoza tu kaomba laki

    Wakuu habari za muda. Kuna hii kitu imenichanganya sana ni hivi, Kuna single mother mmoja tunaishi sehemu moja alikuwa ananiletea shobo kibao nikaona sasa hii kero. Kanifata fata sana mpaka nikaona sasa hii itakuwa dharau na ukizingatia ni limaza flani lina mzigo wa haja nikaona ngoja nilitupie...
  6. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya simu za viganjani hii haijakaa sawa

    Inakuwaje mtu umechukua line ya mtandao fulani ukawa unatumia lakini kuna uwezekano kibinadamu kuna sababu mbalimbali kiuchumi hali ngumu au ukaugua muda mrefu kiasi kwamba huwezi hata kutumia simu kwa maana ya kununua hata vocha. Sasa baada ya siku au miezi kadhaa unaambiwa namba yako amepewa...
  7. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi na Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya wilaya Uyui-Tabora, Makinikeni hii sio sawa

    Idara ya utumishi na Tsc Kuna watumishi mliwahamisha vituo vya kazi tangu mwezi July mwaka jana Hadi leo hamjawalipa stahiki zao za uhamisho na BADO wapo vituo mama wakisubiri fedha zao Hadi leo na hawafanyi kazi KWA takribani mwaka mzima. Watumishi hao wanalipwa mishahara bila kufanya kazi...
  8. aise

    JamiiForums Tanzania Waislamu wametufanyia uhuni mtaani kwetu kwenye hii sikukuu yao

    Inakuwaje taasisi kubwa ya kidini kama hii, watangaze kuwa watagawa nyama bure kwenye sikukuu yao ya kuchinja, halafu mwisho wa siku wagawane waislamu wenyewe huku wasiokuwa waislamu wakinyimwa? Kulikuwa na ulazima gani wao kusema kuwa watagawa nyama kwa watu wote bure? Huo si uhuni?
  9. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania Swali fikirishi: Utafanyeje ukijikuta kwenye hii hali?

    S
  10. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania Swali fikirishi: Utafanyeje ukijikuta kwenye hii hali?

    Simple kabisa... Unaamka asubuhi unakuta nje HAKUPO
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia hii picha ya Samia akiwa na Magufuli unaelewa nini?

    Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
  12. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Hii jeuri ya Kagame huko Congo Mashariki inatoka wapi?

    Nimesikiliza interview ya General Kagame akiongelea jinsi anavyoliona tatizo la huko Congo Mashariki. Kiufupi anasema bila kumung'unya maneno kuwa wasipopatana anajitayarisha kwa vita na kwa lolote litakalojitokeza. Tunakumbuka aisema hivyo kuwa atamshughulikia Kikwete mnamo miaka ya nyuma...
  13. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Mnaikumbuka hii kitu balaa la kihindi KUBER? Hainaga baunsa hii 😂😂

    Aisee hii kitu nilikuwa naionaga tu enzi hizo nikachukulia poa. Siku ya kwanza niliila nikameza mate nilijisikia kufa, nilibanwa na haja ndogo na kubwa wakati mmoja. Tangu siku hiyo nilikoma. Kwanza ukinusa wahisi kuzunguzungu. Hadi sasa nikimuona mtu anakula mwili unanisisimka. Hata ukiwa...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Nani anaikumbuka hii movie?

    Nani anaikumbuka hii movie, nadhani ni ya miaka ya 80s au 70s, plot ni kwamba, wanajeshi wa kizungu wana kwenda mkomboa, jamaa mmoja, huyo jamaa ni Mwafrika nadhani ni alikua politician, walipo mkomboa waka mkimbiza kwenye ndege ya kijeshi na wakati wana jaribu kuruka, mmoja wa hao macomando...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

    Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyeji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyang'anya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua Weka na wewe cha...
  16. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Tazama video: Kumbe Country Boy ndio mshamba namna hii?

    Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused. Country boy ana mnyanyasa mtoto wake. The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx. Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Rwanda husifiwa kuwa mji mzuri hapo Kigali ila hii sehemu hata siku moja hawatangazi

    Kwa mtu ambaye Rwanda hujafika na jinsi inavyotangazwa unaweza kusema haina kasoro. Kila sehemu duniani kuna kasoro mfano Nairobi-Kibera, Dar-Mwananyamala na n.k Sasa huko Rwanda Kigali
  18. T

    JamiiForums Tanzania Kinana anashangaa Watanzania kutonufaika na Kiswahili

    Nimeona kwenye kichwa cha habari kwenye gazeti la leo likisema kwamba eti Makamu Mwenyekiti CCM bara anashangaa watanzania kutonufaika na Kiswahili. Huyu akishangaa sijui anamaanisha nini wakati yeye amekuwa kiongozi mkubwa kabisa mwenye kushawishi sera na mipango ya serikali eti Leo na yeye...
  19. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Nimeota hivi ndoto hii ina maana gani

    Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba. Ila kama hainitoshi, inadondoka. Naitafuta naipata navaa tena. Nikijisahau inavulika inadondoka. Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
  20. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Wanawake chukueni hii

    Sehemu pekee ambayo unaweza ukamtembelea mwanaume wako na ukatoka salama bila kuguswa popote Ni hospitalini akiwa mgonjwa. Tofauti na hapo, aisee hutotoka mzima mzima😂 Uzi tayari.
Back
Top Bottom