Kwanini vita ya Ufisadi inapiganiwa na Kassimu Majaliwa na sio Rais Samia au Makamu wake wala TAKUKURU awamu hii?

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Huu ni uzi wenye msingi wA swali nini kinawatishia Raisi Samia Suluhu Hassani, Makamu wake na wadhibiti wa rushwa Tanzania kupigana vita ya Ufisadi?

Je, wanaogopa kufa kifo kama kilichomuua Mwendazake? Vitendo vya wizi wa mali za umma vinazid kuongezeka kila kukicha, watumishi wa umma wamegeuka michwa.

Tozo zinazolipwa na watanzania wa hali ya chini zinapigwa kama njugu. Je, nini chanzo wakuu? Kassimu Majaliwa amekuwa mtu pekee anayepinga vitendo hivyo, wale walioshirikiana na Mzee Magu kupigana vita hii sasa wako kimya.

Je, Magufuli alikuwa na wezi wa mali za umma?
 
Huu ni uzi wenye msingi wA swali nini kinawatishia Raisi Samia Suluhu Hassani, Makamu wake na wadhibiti wa rushwa Tanzania kupigana vita ya Ufisadi?

Je, wanaogopa kufa kifo kama kilichomuua Mwendazake? Vitendo vya wizi wa mali za umma vinazid kuongezeka kila kukicha, watumishi wa umma wamegeuka michwa.

Tozo zinazolipwa na watanzania wa hali ya chini zinapigwa kama njugu. Je, nini chanzo wakuu? Kassimu Majaliwa amekuwa mtu pekee anayepinga vitendo hivyo, wale walioshirikiana na Mzee Magu kupigana vita hii sasa wako kimya.

Je, Magufuli alikuwa na wezi wa mali za umma?
Kwa kuwa hao vigogo wa CCM, wanajua kuwa kauli mbiu yao ni mtu atakula kutokana na urefu wa kamba yake!

Wewe hushangai, hata huyo Waziri Mkuu unayemsifu, hatukuwahi kumsikia hata kidogo, enzi zile, CAG alipotoka na ripoti yake kuwa Shs trillion 1.5 "zimechotwa" toka hazina ya nchi yetu?🥺
 
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake

IMG_20220908_084718.jpg
 
Huu ni uzi wenye msingi wA swali nini kinawatishia Raisi Samia Suluhu Hassani, Makamu wake na wadhibiti wa rushwa Tanzania kupigana vita ya Ufisadi?

Je, wanaogopa kufa kifo kama kilichomuua Mwendazake? Vitendo vya wizi wa mali za umma vinazid kuongezeka kila kukicha, watumishi wa umma wamegeuka michwa.

Tozo zinazolipwa na watanzania wa hali ya chini zinapigwa kama njugu. Je, nini chanzo wakuu? Kassimu Majaliwa amekuwa mtu pekee anayepinga vitendo hivyo, wale walioshirikiana na Mzee Magu kupigana vita hii sasa wako kimya.

Je, Magufuli alikuwa na wezi wa mali za umma?
Kwa sababu Kassim ni muongo sana sana, au umesahau?
 
Kama yupo serious awachukulie hatua waliotajwa ripoti ya CAG walipiga matilioni na sio waganga njaa hao hela ya bia.
 
Hawa vigogo wa ccm vituko Sana upenda kutafuta kiki kwa wapigaji njaa hawa wa chini.
Eti unakuta mtumishi kala laki moja anafutwa Kazi au jela lakini fisadi kapiga bilioni 40 analipa faidi milioni mia.
 
Hakuna anayepigana vita dhidi ya ufisadi huko CCM, kama bosi wao yupo kimya, huyo waziri mkuu hicho kiburi cha kuipigana hiyo vita atakitoa wapi?

Usidanganyike na ile nyumba ya mlinzi ya milioni 11, mimi naona yupo anayepiga zaidi ya hiyo na kila siku wanakaa nae kwenye vikao vyao vya baraza la mawaziri.
 
Huu ni uzi wenye msingi wA swali nini kinawatishia Raisi Samia Suluhu Hassani, Makamu wake na wadhibiti wa rushwa Tanzania kupigana vita ya Ufisadi?

Je, wanaogopa kufa kifo kama kilichomuua Mwendazake? Vitendo vya wizi wa mali za umma vinazid kuongezeka kila kukicha, watumishi wa umma wamegeuka michwa.

Tozo zinazolipwa na watanzania wa hali ya chini zinapigwa kama njugu. Je, nini chanzo wakuu? Kassimu Majaliwa amekuwa mtu pekee anayepinga vitendo hivyo, wale walioshirikiana na Mzee Magu kupigana vita hii sasa wako kimya.

Je, Magufuli alikuwa na wezi wa mali za umma?
Kwani zile Tilioni 2 zilipigwa awamu ipi.
Jiwe alikuwa mpigaji konki aliyejifichia kwenye ukali na utiisho
 
Sema anafanya sarakasi furahisha genge upigaji wa ripoti ya CAG ajauona?
 
Huu ni uzi wenye msingi wA swali nini kinawatishia Raisi Samia Suluhu Hassani, Makamu wake na wadhibiti wa rushwa Tanzania kupigana vita ya Ufisadi?

Je, wanaogopa kufa kifo kama kilichomuua Mwendazake? Vitendo vya wizi wa mali za umma vinazid kuongezeka kila kukicha, watumishi wa umma wamegeuka michwa.

Tozo zinazolipwa na watanzania wa hali ya chini zinapigwa kama njugu. Je, nini chanzo wakuu? Kassimu Majaliwa amekuwa mtu pekee anayepinga vitendo hivyo, wale walioshirikiana na Mzee Magu kupigana vita hii sasa wako kimya.

Je, Magufuli alikuwa na wezi wa mali za umma?
Alifanya hivyo Magufuli mkalalama ni One Man's show. Mama amekasimu maadaraka nayo ni kero🥺🥺
 
Diblo Dibala miyeyusho sana,watumishi wa Jiji Dar walipiga hela za parking,akawapa myda eti warudishe alafu leo anashangaa kibanda Cha mlinzi cha 11 milioni.
 
Huu ni uzi wenye msingi wA swali nini kinawatishia Raisi Samia Suluhu Hassani, Makamu wake na wadhibiti wa rushwa Tanzania kupigana vita ya Ufisadi?

Je, wanaogopa kufa kifo kama kilichomuua Mwendazake? Vitendo vya wizi wa mali za umma vinazid kuongezeka kila kukicha, watumishi wa umma wamegeuka michwa.

Tozo zinazolipwa na watanzania wa hali ya chini zinapigwa kama njugu. Je, nini chanzo wakuu? Kassimu Majaliwa amekuwa mtu pekee anayepinga vitendo hivyo, wale walioshirikiana na Mzee Magu kupigana vita hii sasa wako kimya.

Je, Magufuli alikuwa na wezi wa mali za umma?
Ufisadi umekuwa Kwa Kasi sana ,Hadi mafisadi wmeota funza kilichobakia ni wao kufa Kwa kuliwana funza wa ufisadi🤔
 
Back
Top Bottom