hello

  1. Jeska Isaga

    Naomba kufahamishwa kazi ya Katibu Msaidizi wa Bunge Sosholojia

    Habari samahani naomba mnisaidie kujua zaidi kuhusu kazi ya katibu msaidizi wa Bunge sosholojia.
  2. Dallas green

    Kwa wenye uelewa zaidi na mambo ya NSSF naomba msaada

    Wakuu, nilirequest mtonyo wangu uko NSSF ten days ago ambapo nilisubmit all recquirments. Jana nimeangalia kwa account nimeandikiwa paid lakin nikaenda bank sijaona mtonyo, kwakua leo ni jumapili nmefail kuwafata ofisini hivyo naomba mwenye uelewa na haya mambo anieleweshe nini tatizo hapo...
  3. Unique Flower

    Hello JF nzima??

    Leo ni weekend ndio inaisha kesho ni kazi na mtu kuja nyumbani nyang'anyang'a nani Leo unamtakia wiki njema yenye baraka?? Mie ni JamiiForums wote na Lovelovie Nakadori To yeye Kalpana
  4. Capten Jang Bogo

    Hello

    Am Capten Jang Bogo from Josean Empire
  5. J

    Hello

    Hello JF members.
  6. Magodoro delivering ulipo

    INAUZWA Karibu ujipatie godoro lako

    Ni muuza magodoro hapa. Nimefurahi kukutana nanyi jukwaani.. Nashukuru sana. Karibu ujipatie godoro lako. Tupo kariakoo dar es salaam 0712082915 Whatsapp 0684943062 KARIBUNI SANA
  7. Upekuzi101

    Business as usual

  8. Blue-ish

    Msaada: Sehemu zinazofundisha lugha ya kijerumani, kichina na kituruki, Dsm

    Hello guys, ninaomba msaada wa kujua centers zinazofundisha lugha ya Kijerumani,Kichina na kituruki Tanzania, Dsm. Thanks
  9. Unique Flower

    Hello wana jf

    Jameni wana JF Wazima?? Naomba muongozo kwa watu wanaouza mapochi ya jumla sio reja reja nitawapataje kama upo serious unataka kunisaidia kuniunganisha nao please ni inbox mie sitaki za mitumba nataka mzigo ambao ni pochi mpya . Asanteni
  10. A

    Degree ya Procurement na mitihani ya bodi

    Mwenye degree ya procurement anaanzia level gani kwenye mitihani ya bodi?
  11. B

    Hello. A little help here

    Nimepoteza kwa round ya pili, thanks to wanaonisumbua kwa uchawi. Nipo Nairobi sasa hivi. All my secrets can be known by the people who are using majini kunisumbua. Nikipata kazi, wanayauliza majini ni wapi nilikua, wanaenda hapo wanaturn that person against me. I have a thread here nilikua...
  12. Peter_John

    Hello JF members

    Habari za wakati huu wamachama wote wa JF , new member apa kwa jina Peter John
  13. D

    Natafuta any volunteering position at any related NGO

    Hello members, I am university graduate from UDSM, studied (BAED) Linguistics and literature graduated with GPA of 3.8 natafuta any NGO nipate volunteering position ili niweze ku-advance my career. I am expert on Ms word, powerpoint and Excel studied at (UCC-UDSM), I have ability to meet...
  14. Sam11

    Habari, mimi mgeni humu

    Hello!
  15. MagwayaNdani

    Shabiki Mgeni

    Hello wanajamii, nimejiunga na forum, nikae wapi?
  16. Rachelo

    Hello JF family!

    I'm glad to be here
  17. Fantastic boy

    Kwanini mtu akiwa hana hela anakuwa na mipango mingi mikubwa lakini akipata hela mipango huyeyuka ghafla?

    Hivi ni kwanini binadamu wengi wao, wakiwa hawana pesa huwa na ndoto za kila aina na zenye kuonyesha mtu huyu future yake ni sahihi na kubwa zaidi...!! Lakini 'mfano' baada ya kuipata pesa ndoto zile hutoweka kwa kasi sana bila ya kutimizwa kama ilivyokuwa awali akifikiria? Naombeni mnisaidie...
  18. Mr Pangai

    Hello everyone from JF

    I'm glad to be here, I'm a new member. Very young but I will be useful in here. I'm still a student in Arusha. I'm doing forex trading, programming (making phone and computer applications), I'm a blogger, a photographer and a graphics designer. I hope to get good friends from here. Thanks
  19. Deja vu27

    Hodi wana JF

    Ni kijana wenu mpya katika forum naomba mnipokee ntawapa ushirikiano pale panapo hitajika na me pia naomba mnipe ushirikiano tuweze kufikia lengo na kwa kumalizia ntafata sheria na miongozo iliyowekwa na kuiongoza hii forum Thanks🙏🙏
  20. P

    Mgeni

    Hello here! Hodi hapa JF!
Back
Top Bottom