hello

  1. A

    Degree ya Procurement na mitihani ya bodi

    Mwenye degree ya procurement anaanzia level gani kwenye mitihani ya bodi?
  2. B

    Hello. A little help here

    Nimepoteza kwa round ya pili, thanks to wanaonisumbua kwa uchawi. Nipo Nairobi sasa hivi. All my secrets can be known by the people who are using majini kunisumbua. Nikipata kazi, wanayauliza majini ni wapi nilikua, wanaenda hapo wanaturn that person against me. I have a thread here nilikua...
  3. Peter_John

    Hello JF members

    Habari za wakati huu wamachama wote wa JF , new member apa kwa jina Peter John
  4. D

    Natafuta any volunteering position at any related NGO

    Hello members, I am university graduate from UDSM, studied (BAED) Linguistics and literature graduated with GPA of 3.8 natafuta any NGO nipate volunteering position ili niweze ku-advance my career. I am expert on Ms word, powerpoint and Excel studied at (UCC-UDSM), I have ability to meet...
  5. MagwayaNdani

    Shabiki Mgeni

    Hello wanajamii, nimejiunga na forum, nikae wapi?
  6. Rachelo

    Hello JF family!

    I'm glad to be here
  7. Fantastic boy

    Kwanini mtu akiwa hana hela anakuwa na mipango mingi mikubwa lakini akipata hela mipango huyeyuka ghafla?

    Hivi ni kwanini binadamu wengi wao, wakiwa hawana pesa huwa na ndoto za kila aina na zenye kuonyesha mtu huyu future yake ni sahihi na kubwa zaidi...!! Lakini 'mfano' baada ya kuipata pesa ndoto zile hutoweka kwa kasi sana bila ya kutimizwa kama ilivyokuwa awali akifikiria? Naombeni mnisaidie...
  8. Mr Pangai

    Hello everyone from JF

    I'm glad to be here, I'm a new member. Very young but I will be useful in here. I'm still a student in Arusha. I'm doing forex trading, programming (making phone and computer applications), I'm a blogger, a photographer and a graphics designer. I hope to get good friends from here. Thanks
  9. Deja vu27

    Hodi wana JF

    Ni kijana wenu mpya katika forum naomba mnipokee ntawapa ushirikiano pale panapo hitajika na me pia naomba mnipe ushirikiano tuweze kufikia lengo na kwa kumalizia ntafata sheria na miongozo iliyowekwa na kuiongoza hii forum Thanks🙏🙏
  10. P

    Mgeni

    Hello here! Hodi hapa JF!
  11. J

    Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

    Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku. Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku. Naomba Ushauri wenu tafadhali.
  12. Mkorinto10

    Hello JF

    Naitwa Ben member mpya hapa JF, naamini tutakuwa pamoja kwenye mijadala mbalimbali Ahsanteni.
  13. Imalamawazo

    Hello JF

    Cha mgeni huliwa na mwenyeji.
  14. P

    Hi JF!

    Habari watumiaji wote wa Jamii Forums Mimi ni mgeni yaani kwa muda nilikuwa natumia jamiiforums kuperuzi tu ika kuna muda nikaona kuna mada kadha wa kadha nakuwa na ile hali ya kutaka kuchangia kwa maana ya kukoment jambo ambalo nisingeweza pasipo kuwa na akaunti ndio maana nimeamua sasa...
  15. Ashraph Mushi

    Hello Wana JF

    Mimi ni mgeni naomben kampan yenu ❤❤
  16. PromiseLand

    Hello JamiiForums

    Napenda kuwasalimia wana JamiiForums wote kama member mpya.
  17. Budeg e

    HELLO wana JF

    Bila kuchelewa. Hodi humu ndani wakulu naomba ushilikiano wenu kunipokea,naomba kuwasilisha
  18. wilsonemmanueln

    Hello JF

    Hodi humu ndani
Back
Top Bottom