Nimepoteza kwa round ya pili, thanks to wanaonisumbua kwa uchawi. Nipo Nairobi sasa hivi. All my secrets can be known by the people who are using majini kunisumbua. Nikipata kazi, wanayauliza majini ni wapi nilikua, wanaenda hapo wanaturn that person against me. I have a thread here nilikua...
Hello members,
I am university graduate from UDSM, studied (BAED) Linguistics and literature graduated with GPA of 3.8 natafuta any NGO nipate volunteering position ili niweze ku-advance my career.
I am expert on Ms word, powerpoint and Excel studied at (UCC-UDSM), I have ability to meet...
Hivi ni kwanini binadamu wengi wao, wakiwa hawana pesa huwa na ndoto za kila aina na zenye kuonyesha mtu huyu future yake ni sahihi na kubwa zaidi...!!
Lakini 'mfano' baada ya kuipata pesa ndoto zile hutoweka kwa kasi sana bila ya kutimizwa kama ilivyokuwa awali akifikiria?
Naombeni mnisaidie...
I'm glad to be here, I'm a new member. Very young but I will be useful in here. I'm still a student in Arusha.
I'm doing forex trading, programming (making phone and computer applications), I'm a blogger, a photographer and a graphics designer.
I hope to get good friends from here.
Thanks
Ni kijana wenu mpya katika forum naomba mnipokee ntawapa ushirikiano pale panapo hitajika na me pia naomba mnipe ushirikiano tuweze kufikia lengo na kwa kumalizia ntafata sheria na miongozo iliyowekwa na kuiongoza hii forum
Thanks🙏🙏
Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku.
Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku.
Naomba Ushauri wenu tafadhali.
Habari watumiaji wote wa Jamii Forums
Mimi ni mgeni yaani kwa muda nilikuwa natumia jamiiforums kuperuzi tu ika kuna muda nikaona kuna mada kadha wa kadha nakuwa na ile hali ya kutaka kuchangia kwa maana ya kukoment jambo ambalo nisingeweza pasipo kuwa na akaunti ndio maana nimeamua sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.