Fantastic boy
Member
- May 10, 2022
- 15
- 15
Hivi ni kwanini binadamu wengi wao, wakiwa hawana pesa huwa na ndoto za kila aina na zenye kuonyesha mtu huyu future yake ni sahihi na kubwa zaidi...!!
Lakini 'mfano' baada ya kuipata pesa ndoto zile hutoweka kwa kasi sana bila ya kutimizwa kama ilivyokuwa awali akifikiria?
Naombeni mnisaidie wanafamilia
#i'm fantastic boy
Lakini 'mfano' baada ya kuipata pesa ndoto zile hutoweka kwa kasi sana bila ya kutimizwa kama ilivyokuwa awali akifikiria?
Naombeni mnisaidie wanafamilia
#i'm fantastic boy