hasira

Rabbi Yaakov Abuhatzeira, also known as the Abir Yaakov and Abu Hasira (1806–1880), was a leading Moroccan-Jewish rabbi of the 19th century, son of the patriarch of the Abu Hasira/Abuhatzeira family, R. Samuel.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CCM onyesheni hasira zenu kwa mwenyekiti wenu kwa nini ateue waliofata teuzi na maslahi awaacheni nyinyi

    Nyie vijana wa CCM, mimi nawaelewa kabisa hasira yenu. Nyie mmepambana kukitetea chama, wakati hawa akina Lijualikali, Nassari, Mashinji wakipambana kuwatoa madarakani. Waliwaita majina yote yakiwemo "vijana wasiojielewa", "waimba mapambio", na majina kibao ya kejeli. Lakini leo hii wanahama...
  2. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Kati ya njia hizi za wanawake kuonesha hasira ungempenda mwanamke yupi?

    Wakina mama wana Njia tatu ta kuonesha Hasira. 1. Silence 2. Crying 3. shouting. Ni yupi kati ya hawa ungependa awe mwenzi wako?
  3. single father

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina hamu ya kuendelea na mchakato wa ndoa tena

    Za jioni wakuu, Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na...
  4. To yeye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukighadhibishwa unafanyaje kupunguza hasira yako?

    Kwa mfano nikikerwa suluhu yangu ni kujifungia ndani na kujumlisha changamoto na magumu yote niliyopitia katika maisha yangu niliee weee mpaka moyo usuzike baada ya hapo nitakavyoanza kucheka na kufurahi na mwenzangu ni kama si yeye aliyenikwaza,ila kama sijafanya ivo ujue siku hiyo nimeamua...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

    Mamlaka za hali ya hewa zimeendelea kutaka wananchi wachukue tahadhari dhidi ya kimbunga JOBO ambacho kwa sasa kipo umbali usiozidi km 400 kutoka mwambao wa Bahari ya Hindi. Kamisheni ya Maafa Zanzibar imetoa tahadhari kwa wavuvi na wamiliki wa vyombo vya usafiri baharini kutokana na uwepo wa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

    1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa 2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee 3. Mishahara Kupandishwa Maradufu 4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee 5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa 6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu 7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu Nasisitiza hapa hapa kuwa...
  7. Mbobo

    JamiiForums Tanzania Unafanyaga nini kupunguza hasira zako?

    Binafsi Kama sina hela nasubirigi tu ziishe ila nikiwa na hela nanunua msosi mzuri nakula nashiba( ile shibe hadi ya kulala).
Back
Top Bottom