Hata mimi nimeanza kuumia kwa baadhi ya mambo yanavyoenda. Niliamini tumepata relief na kufungua ukurasa mpya (ndiyo maana nikajibrand kama New Page). Mambo yanavyoenda kwa kweli hamna chema ambacho umekifanya sasa.
Juzi niliongelea nyongeza ya mishahara na kweli imeongezwa pungufu ya elfu tatu. Hili ni umivu kubwa kwa wafanyakazi. Kuna mengi umeacha yafanyike hovyo hovyo kwa vile yalianzishwa na JPM na wewe umeshindwa kuyatupilia mbali.
Huwezi kufanya ya JPM na wewe ukafanya ya kukupa chati wewe binafsi ili kujiimarisha kwa siku za usoni! Utakwama tu!
Kwa sasa wananchi wote wanaanza kukusema vibaya - na kwako wewe itakuwa mbaya Zaidi kwa sababu watu wanakuwa wamechokea kwako! Walifikiri wamepata relief lakini kumbe mambo ni hovyo tu - hebu achana na UJPM wewe ni Samia. Usiwe JPM ndani ya Samia.
Hasira zinazojengeka kwa jamii yetu ni kubwa na mbaya zaidi na itakuwa ni kuliko wakati wa JPM. Tafadhali chukua hatua - jisimamie wewe achana na UJPM ndani mwako!
Juzi niliongelea nyongeza ya mishahara na kweli imeongezwa pungufu ya elfu tatu. Hili ni umivu kubwa kwa wafanyakazi. Kuna mengi umeacha yafanyike hovyo hovyo kwa vile yalianzishwa na JPM na wewe umeshindwa kuyatupilia mbali.
Huwezi kufanya ya JPM na wewe ukafanya ya kukupa chati wewe binafsi ili kujiimarisha kwa siku za usoni! Utakwama tu!
Kwa sasa wananchi wote wanaanza kukusema vibaya - na kwako wewe itakuwa mbaya Zaidi kwa sababu watu wanakuwa wamechokea kwako! Walifikiri wamepata relief lakini kumbe mambo ni hovyo tu - hebu achana na UJPM wewe ni Samia. Usiwe JPM ndani ya Samia.
Hasira zinazojengeka kwa jamii yetu ni kubwa na mbaya zaidi na itakuwa ni kuliko wakati wa JPM. Tafadhali chukua hatua - jisimamie wewe achana na UJPM ndani mwako!