single father
Member
- Oct 22, 2019
- 77
- 117
Za jioni wakuu,
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila hajanikosea kitu.
Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia siku nzima. Akinisemesha najibu mbovu tu, kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao.
NB mahusiano yana almost 2yrs
Bila kupoteza muda kama kijana nilipata demu tukaenda sawa na process zote za ndoa ziko tayari bado mwezi mmoja tu ila cha ajabu kila nikimuona saa hivi naona hanivutii kabisa kila siku namtafutia sababu lakini anapangua maskini dada wa watu analia kila Siku sijui nimepatwa na nini wandugu sometimes sitamani hata kumuona ila hajanikosea kitu.
Naweza nisipende tu alivyo vaa nikachukia siku nzima. Akinisemesha najibu mbovu tu, kuna muda nahisi nimekosea kumchagua japo sioni udhaifu mkubwa wakutisha kwani nimehack sim yake sioni SMS mbovu wala maongezi mabaya ila ni hali tu imekuja ghafla tena mbaya zaidi baada ya kujitambulisha kwao.
NB mahusiano yana almost 2yrs