halotel

Viettel Tanzania Public Limited Company, trading as Halotel,is a mobile communications company, providing voice, messaging, data and communication services in Tanzania. It is owned by Viettel Global JSC which is the state-owned Investment Company from Vietnam investing in the Telecommunications market in several countries worldwide. It has invested up to $1 Billion into the Tanzania's telecommunications market. The Company was the first company in Tanzania allowed to lay its own fiber optic cable and has placed over 18,000 km of optic fibers, providing all 26 regions of Tanzania services.The Tanzanian telecom market is one of the most competitive markets in Africa and Tanzania has over 71% mobile phone penetration. The company aims to capitalize on the providing a very wide coverage as quickly as possible and the company claims to cover over 81% of the country's area soon to be the higher than any of the major providers.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    Halotel ni wezi, wakimbieni!

    Nilikuwa mtumiaji mzuri sana wa mtandao wa Vodacom. Baadae wakaja kupandisha bei za vifurushi vyao kwa kiwango kikubwa. Niliendelea kutumia Vodacom kwa matumizi yangu makubwa na kidogo laini ya Halotel. Baadae nikaja kushtuka Vodacom ukiwa mteja mzuri wanakupandishia bei, vifurushi vyako...
  2. cold water

    Halotel wekeni mtandao wenu vizuri, mtandao unasumbua sana

    Tangu Jana hali sio shwari huku mkoani,bando zipo higher na mtandao wenu wa kimagumashi mmeona zile mb 330 kwa tsh.500 tunafaidi sana? Basi tunalipa izo higher bando lakini akikisheni mtandao wenu unakuwa vizuri basi,sio ela zetu mnapenda mtandao upo slowly."Haki sawa". Mtandao...
  3. Lanlady

    Malalamiko yangu kwa mitandao ya simu, hasa Halotel na Voda!

    Baadhi ya mitandao (kama sio yote) imekuwa na utaratibu wa kukata pesa kwenye salio la muda wa maongezi pasipo sababu. Yaani mtu hujajiunga na huduma yoyote lakini unashangaa salio limekatwa. Hivi wakikata hizo mia mia au mia mbili kwa watu laki 1 si wanapata faida sana? Kwanini wanafanya...
  4. Google Diggers

    Halotel mnakwaza sana

    Kwa Sasa mnakwaza Sana. Inaelekea mmevimbilwa. Tunaomba njia tupite, MTUPISHE. Ni Muda Sasa mtandao huu kotekote unasumbua kama kuelekea kuzama. Hamtoi taarifa yyt tukakaa na tahadhari. Kila mnachojua wewe kinasimama. Nina taka kufanya Chochote kile mtandao una loading loading...
  5. beatboi

    Nataka nimfungulie kesi aliyejitambulisha kama Customer care wa Halotel kwa kunitukana bila sababu

    Habari zenu watoto wa mama (SSH) Nimejikuta wiki nzima imeharibika baada ya kupokea matusi kutoka kwa mtu ambaye amejitambulisha ni mtoa huduma kwa wateja (customer care). Nilikuwa nimepumzika zangu majira ya asubuhi ghafla nikapokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anatoka kitengo...
  6. R

    Ombi kwa makampuni ya Simu, Tigo, Vodacom, Airtell, Halotel etc: Kama mnaweza tutengenezee VIBUBU vya kwenye simu/Mtandao

    My point is this: Tumezoea kuweka hela kwenye VIBUBU vya mbao ambavyo ikifika muda uliojipangia unakibomoa. SASA, ni imani yangu kuwa you can design a programme ambayo mtu anaweza akawa anaweka pesa zake (kama tunavyoweka kwenye M-pesa, Tigo pesa etc) na kuzitoa muda aliopanga ambapo kabla ya...
  7. R

    Website ya Halotel haifunguki!!

    Habari Najaribu kufungua website ya Halotel www.halotel.co.tz haifunguki. Hii error ni kwangu tu au? Kama wahusika wamo humu fuatilieni. SSL imepitwa na muda nadhani ndiyo tatizo ila Kuna option naweza kuingia insecure lakini hapa hakuna inataka Reload lakini haisaidii chochote
  8. N

    Halotel kwisha kazi kwenye internet

    Jamaa walikuwaga poa sana kwa unafuu wa vifurushi na speed ila kwa sasa ni disaster hawafai kabisa, waepuke waepuke waepuke speed kama konokono
  9. Capital

    Naomba msaada wa kisheria kukomesha uhuni wa Halotel

    Wakuu, Niende kwenye hoja moja kwa moja. Wiki mbili zilizopita nilikosea kutoa muamala wa pesa kwa wakala wa halopesa kutoka kwenye line yangu ya halotel na dakika hiyo hiyo nikawapigia huduma kwa wateja na wakaisimamisha na kisha wakanitumia namba ya uthibitisho. Na maelezo niliyopewa ni...
  10. sky soldier

    Gharama za vifurushi vya intaneti zapandishwa tena kimya kimya. Je, ni censorship ya aina yake?

    Ni mwendo ule ule, umafia wa kimya kimya, kwa Voda na Tigo wameanza kutesti mitambo kwa kkupunguza GB za vifurushi vya mwezi. Kuanzia sasa tutegemee lolote, hii ni trailer tu, bado muvi kamili ya machinjo yatayofanyika kimya kimya gizani usiku wa manane, nadhani tunaweza kuamka asubuhi...
  11. John Gregory

    Serikali iingilie kati wizi unaofanywa na Halotel

    Niende moja kwa moja kwenye mada. Halotel katika menu ya weekly mega bundle ambayo ulikuwa ukipatiwa dakika 30 mitandao yote dakika 30 halotel na mb 1000 waliamua kukipunguza mpaka kufikia mb 600 kwa wiki. Kama hiyo haitoshi jana jioni waliamua kudanganya watumiaji wake kwa kuandika kwamba kwa...
  12. KAGAMEE

    Naomba ushauri: Nahisi kuibiwa na wahudumu wa Halotel

    Bila shaka mnaendelea na maandalizi ya sikukuu!Mida ya saa nne leo asubuhi kuna mtu kaniomba vocha nikaona isiwe kesi nikaingia kwenye Mobile App yangu ya NMB ili nimnununue mda wa maongezi mhusika. Nimeingia nikamtumia elfu 10 kama mda wa maongezi ili ajiunge mwenyewe,Nmb wakanipa taarifa hela...
  13. C

    Maumivu makubwa: Halotel pia wametoa huduma hii muhimu

    Kikawaida halotel lets say umeweka gb 1 ya week uka top up tena in 3 days inajazia kifurushi cha kwanza kama kilikuwa hakijaisha na siku ya ku expire inasogea mbele, jamaa wamekitoa. Hivi hizi vurugu zote ni kodi au kukomoa watu watoke online?
  14. C

    HALOTEL WAMEUA NYOKA LEO NIMEWEKA BANDO LA MWISHO, ITS OVER GODDAMN IT

    Jamani nimekandika bando via halopesa nashangaa napata bando njiwa napitia hapa viwango inasikitisha jamani lile bando pendwa la usiku la 1500 liililokuwaga 10gb likashuka hadi 5gb tukavumilia kwa sasa ni mb 1160 Nimenyoosha mikono, iam done
  15. Teko Modise

    Tushaurini sisi wateja wa Halotel tuhamie mtandao gani?

    Huku Halotel tayari kumeshachafuka, hakufai tena. Vifurushi havishikiki, tushaurini tuhamie mtandao gani wakuu?
  16. Christopher Wallace

    Mnawezaje kutumia Internet ya halotel?

    Yaani mtandao utopolo haswa, nimeunga GB 3 za wiki yaani internet iko slow sana mwendo wa kobe. Hivi wenzangu mnawezaje kutumia mtandao huu? Narudi zangu Zantel
  17. D

    Halotel anzisheni special thread

    Halotel anzisheni special thread tuweze kuwafikia na kutoa malalamiko yetu dhidi ya huduma zenu mbaya. Mfano. Ukipiga simu huduma kwa wateja haipokelewi. Unaweza kununua bando ikachukua muda mrefu kabla huduma haijarejeshwa. Kumbukeni wengi tulihamia halotel baada ya kampuni kubwa kujisahau...
  18. The Eric

    Halotel huduma kwa wateja wana huduma mbovu mno

    Halo, Na niseme kwamba wahudumu wa mtandao wa simu halotel kitengo cha kupokea simu 100 huduma kwa wateja huwa wana huduma zisizo ridhisha na mbovu kuwahi kutokea. Sijui wamewaokota wapi hawa wahudumu wao wabovu namna hii, Kwanza wanatujibu vibaya wateja na wanafoka na mteja hata awe...
  19. Gulio Tanzania

    Serikali wafuatilie huduma za mitandao nyingi ni utapeli

    Kipindi cha nyuma kidogo nilijiunga huduma yao ya halo quiz mtandao wa halotel bila kuijui vizuri baada ya muda mrefu jan nikaweka salio ili nijiunge kifurushi natumiwa sms salio limekatwa basi nikaona hii huduma ngoj nijitoe Sasa kilichonileta hapa mpaka naandika uzi huu jana niliingia menu ya...
  20. Sam Drive

    Halotel, huu ni utapeli? Sielewi kinachoendelea

    Siku ya tarehe 17.7.2021 nilitoa pesa kimakosa kwa kukosea namba ya wakala. Nikapiga simu wakasema wanashughulikia irudi. Nisubri masaa 72. Baada ya masaa hayo message ikaingia kwamba pesa imerudishwa kwa wakala. Sasa baada ya hapo nimeendelea kupiga simu majibu yanayotoka ni 1. Kusubiri...
Back
Top Bottom