Hivi halotel ukikosea kuingiza vocha mara ngapi wanafungia laini

Hivi halotel ukikosea kuingiza vocha mara ngapi wanafungia laini

Davives

Senior Member
Joined
Feb 2, 2024
Posts
110
Reaction score
131
Samahani wakuu hivi halotel ukikosea kuingiza vocha mara ngapi wanafungia laini?
 
Sidhani kama wanafungia, ukikosea mara3 wanazuia usiweke vocha kwa saa1, kisha wanaruhusu.
 
Unakoseaje mkuu, kama una smartphone tumia vocha master app au app yeyote ya kujazia vocha kwa camera
 
Back
Top Bottom