Mimi sio mwanasiasa ila kumekua na mvutano wa kimaneno kwa wanasiasa ila naona Wengi Neno Haki Hawalizungumzi, nawaomba Wenye Mamlaka Tazameni Haki, Palipo na Haki Amani Utamalaki.
Pia Punguzeni kufanya mambo kwa Maslai ya Tumbo, pia kutazama Maslai ya watu Fulani( Kikundi Cha watu)
Neno Amani...