Chezea vitu vyooote, ila usichezee haki ya kikatiba ya kuabudu. kama padre mmoja amefanya kosa, ashughulikiwe yeye, lisishughulikiwe katholic lote na makanisa yake nchi nzima, kama TAG au lutheran kuna mchungaji au hata mkuu wao amekosea, mshughulikieni yeye, waumini wake hawana kosa kwa sababu...