haji manara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    Haji Manara anashikiliwa na Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam

    wakuu ====== Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara anashikiliwa Kituo cha Polisi Central. Manara muda huu anahojiwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma mbalimbali za udhalilishaji mtandaoni na nyinginezo.
  2. Mohamed Said

    Mohamed Said na Haji Manara Wamwadhimisha Mzee Mustafa Songambele (1925 - 2025)

    https://youtu.be/SpcfyUh1_Uc?si=lLkRMbYFSCzyoOWS
  3. Just Pray

    PreGE2025 Heche: CCM wametulazimisha tuende kwenye uchaguzi watuibie sisi tumekataa, Inawezekanaje Haji Manara awe refa mechi ya Simba na Yanga?

    "Inawezekanaje mechi inachezwa kati ya Simba na Yanga alafu refa ni Haji Manara? Yaani mtu atachezewa faulo katikati yeye atapeleka kwenye penati wakati hata hakuchezewa kwenye box. Au mshika kibendera ni Ahmed Ally, offside zote atasema ni magoli. CCM wametulazimisha tuende kwenye uchaguzi...
  4. GENTAMYCINE

    Haji Manara rudi kwa Watu wote uliowakosea tena hasa hasa narudia tena hasa hasa Mo Dewji kwani LAANA yake inakumaliza na unaelekea kubaya sana

    Nimeandika sana Threads zako hapa JamiiForums na Kukushauri mengi ila una Kiburi, Ushamba na Upumbavu mwingi. Haji Manara hivi kuna Mtu ambaye hajui na nakumbuka hata Baba yako alishakuambia kuwa Wakosee wote ila siyo Mo Dewji kwa Mema ambayo Tajiri wa Watu alikufanyia (hasa Kukufungulia Dunia)...
  5. Erythrocyte

    Kwahiyo Manara ataoa tena na atataka tumchangie? Safari hii hatutachanga, kama ni biashara basi itamdodea

    Haiwezekani mtu mmoja anaoa na kuacha kila kukicha, halafu haogopi maradhi yaliyozagaa kila mahali?
  6. Miss Natafuta

    Kupata mwanaume wa kukupokea bila hata Nida ni ngumu sana. Manara ana moyo

    Wanaume kama manara ni wachache mno siku hizi Mimi siku nipate mwanaume atakaenipokea bila hata Nida hakii ningeshukuru Wengi ni materialist.huna kitu anakuchezea Tu. Mungu atamlipia Manara Ngoja niongee nae mtu mzima mie Kwanza Nida ninayo.
  7. GENTAMYCINE

    Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said mbona humsaidii Haji Manara na linalomkumba sasa wakati Yeye alikusaidia katika Suala la Kutocheza na Simba SC?

    Hebu nawe msaidie Rafiki yako wa wasiwasi kwani ANAUMBUKA tu sasa Mitandaoni japo huwa Unamtumia kama Condom. hasa katika Kukufanikishia mambo yako ya Yanga SC na akishayatimiza kwa 100% na Wewe kuona Ufanisi wake huwa Unamtupa na hata Kumpiga Majungu na Rafiki yangu mwana Yanga SC lia lia...
  8. Cute Wife

    PreGE2025 Lissu amekamatwa huku Zay Lissa na Manara wametrend ghafla! Focus Watanzania, Focus!

    Wakuu, Wanatumia mbinu zile zile, kila jambo kubwa (lenye maana) likitokea lazima kizuke kitu, Makala alipotoa boko la kutishia usalama wa taifa na Ebola huku la Siglada likazuka, likapelekwa hadi muda wa ripoti ya CAG. Jana Lissu amekamatwa chaaaap saga la Manara na twiga wake likawa...
  9. chiembe

    Aziz Ki, baada ya Haji Manara kumalizwa na kausha damu, na wewe jipange, huna muda

    Ni dhahiri kwamba kwa sasa Haji Manara fedha imekata. Keller zoote,lakini msingi wake hela hakuna. Ally Kamwe na yeye amekaba balaa, aisee wapare wana unga wa miti na makopera. Tutamaliza makafara ya mbuzi na kondoo za Dar kwa ajili ya huyu dogo. Ni mkavu kama mwili wake. Dogo hachimbwi dawa...
  10. mdukuzi

    Tangu tukiwa wadogo Haji Manara wanawake hawakumpenda

    Tukiwa watoto pale Mnazi Mmoja Primary School enzi za Headteacher Mzee Chalila. Tulipata mwanafunzi mgeni tukaambiwa ametoka Bunge Primary School . Mimi somo la Hisabati lilinipiga chenga ila masomo yote yakujieleza pamoja na English nilikuwa vizuri sana,huyu mgeni yeye alizijua hesabu kwa kiasi...
  11. GENTAMYCINE

    Wanaume JamiiForums nadhani tumeshapata Somo Kubwa na la kutosha kupitia yaliyokuwa Mahusiono ya 'Ki - Ndumilakuwili' ya Haji Manara na Zaylisa

    Ni kwamba...... 1. Hata siku moja usije Kumuamini 100% kiumbe kiitwacho Mwanamke 2. Hata siku moja usipende Kujimaliza 100% kwa Mwanamke / Mkeo . Hata siku moja ukiwa katika Public usipende sana kumtambia Mkeo wa Watu kwani hawa Hawatabiriki 4. Hata siku moja usiyaamini maneno matamu matamu...
  12. GENTAMYCINE

    Haji Manara nakuonya Kaa Kimya na usishindane na Mwanamke, kwani Bibie sasa anataka kupiga Bomu lako la mwisho ambalo litakumaliza na kukuumiza mno tu

    Bibie sasa anataka kuweka Hadharani Jambo lako na yule Tajiri wa Dubai (sasa Marehemu) na Tajiri wako wa sasa Dar es Salaam. Haji Manara kwa bahati mbaya Wanahabari wengi (hasa wa Michezo) wanajua hilo tatizo lako na nakumbuka hata baadhi wa Watu wa Simba SC walitaka Kukupiga nalo likumalize...
  13. S

    Ndoa ya Manara na Zaiylisa yapumulia mashine. Zaiylissa amshambulia Manara kwa kutongoza watoto wadogo

    Leo imekua siku chungu kwa Manara, wakati Simba akivuka robo fainali kwenda Nusu Fainali Mke wake nae kavuka kutoka ndani ya nyumba mpaka mtaaani
  14. Kipenzi Changu

    Manara aliitukana timu nzima bado mkamwajiri sembuse kucheza derby?

    Hili ni somo kwa mashabiki. Muwe na akiba ya maneno kuunga mkono kila kitu. Hivi kweli viongozi wenu wanaweza kukaza mpaka mwisho? Kama sio kuja kula matapishi yenu ni nini? Hao viongozi sio watu wa kuwaamini sana. Fikiria kuna mtu aliitukana Yanga mzima matusi ya nguoni kwamba hamna akili...
  15. GENTAMYCINE

    Haji Manara ni nani Tanzania hii na ndani ya Yanga SC hadi anaapia kabisa kuwa Yanga SC hata iweje haitocheza tena Mechi na Simba SC?

    Rais wa Yanga SC Injinia Hersi na wana Yanga SC wote Tanzania NAWAONYENI kuwa kuweni makini mno na Haji Manara sawa?
  16. M

    Haji Manara ametoa rasmi cinema aliyosema Rais Karia

    Ile cinema aliyosema Rais wa TFF kuhusu Yanga hatimaye leo ijumaa imetoka na angalieni kwenye Manara TV, asante
  17. mdukuzi

    Haji Manara abubujikwa machozi akimuelezea aliyemtweza sababu ya rangi ya ngozi yake,asema anamuachia Mungu

    Alianza press yake kwa mbwembwe sana,akimnanga rais wa TFF na TFF yake,ghafla akaulizwa swali na mwandishi kuhusu X wake aliyemkashifu,alijibu kwa kinyonge na kumaliza press. Wakati wa kutoka nje alionekana akibubujikwa machozi na kusema anamuachia Mungu Hii ni mara ya pili Haji Manara...
  18. GENTAMYCINE

    Haji Manara nani kakudanganya kuwa Karia kusema Yanga SC "wakaendelee na Sinema zao" ni Kudhalilishwa au wana Filamu nchini / duniani wametukanwa?

    Kwa tuliosoma vyema Lugha na Mbinu za Lugha kwa hakika tumekushangaa sana kwa jinsi Haji Manara ulivyoishupalia hii Kauli ya Rais wa TFF Wallace Karia aliposema kuwa Yanga SC wakaendelee na Sinema zao kama wamechoka Kucheza Mpira. Na najua wapo wana Yanga SC Wapumbavu nao watakuwa wamekuunga...
  19. GENTAMYCINE

    Haji Manara kuingiza masuala ya mpira wakati anazindua taasisi yake ya Haji Manara Foundation si kitendo cha kiungwana

    Kama ulikuwa unataka Kumsema Rais wa TFF Wallace Karia kutokana na Chuki zako Binafsi basi ungetafuta right platform ya Kumsema lakini siyo wakati wa Uzinduzi wa Mfuko wako wa Haji Manara Foundation unaacha kutuambia Malengo yako na unatumia muda mwingi Kumzungumzia Karia na TFF.
  20. GENTAMYCINE

    Nawaonya Yanga SC msiingie katika Mtego mbaya ambao Haji Manara anataka Kuwaingizeni kwa Chuki zake na Karia na kutafuta Sifa na Uungwaji mkono Wenu

    Kwanza mtambue kuwa Haji Manara hajawahi kuwa mwana Yanga SC kutoka Moyoni bali ni mwana Simba SC lia lia aliye Yanga SC kwasababu tu za Maslahi mapana ya Kiuchumi. Pili alichokifanya Haji Manara ni kutafuta tu Uungwaji mkono wake wa Taasisi yake aliyoizindua kutoka kwa wana Yanga SC na hasa...
Back
Top Bottom