Lema amjibu Rose Shaboka: Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu

Lema amjibu Rose Shaboka: Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
2,114
Reaction score
3,480
Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake;

------
Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant!

Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha ndoa kana kwamba ni gereza la ndoto, wakati ukweli ni kwamba ndoa bora ni mahali ambapo ndoto za pande zote mbili hukua. Lakini juu ya ndoto zote, kuna ndoto moja kuu zaidi, kuishi kwa furaha, upendo, heshima na unyenyekevu.

Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu, kama ambavyo elimu si kipimo cha ubora wa ndoa wala thamani ya mtu. Mambo haya yanaweza kuishi pamoja bila mgongano.

Elimu haimfanyi mtu kuwa mkubwa kuliko huduma, na huduma haipunguzi hadhi ya mtu. Mtu anaweza kuwa na shahada nyingi, akaongoza na kubadilisha jamii, na bado akachagua vitendo vya upendo ndani ya ndoa. Hilo si kushushwa hadhi, ni uchaguzi wa upendo.

Tatizo huanza pale majukumu ya kifamilia yanapoonekana kama adhabu badala ya kujitoa. Ndoa si mashindano ya vyeo au vyeti, bali ni safari ya kuulizana, Leo nitakufanyia nini ili maisha yetu yawe bora zaidi ?

Ndoto za mtu mmoja mmoja zina thamani, lakini ndoa yenye afya hujengwa pale ambapo “sisi” inakuwa kubwa kuliko “mimi”. Wakati mwingine mmoja huweza kuahirisha au kubadilisha ndoto yake kwa ajili ya familia, huo si udhaifu, ni ukomavu.

Swali la msingi si nani anapaswa kufua boxer, bali ni, je, tunajenga maisha ambayo kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake huku tukilinda upendo, amani na heshima ya pamoja ?

Mwisho wa yote, ndoa haijengwi na degree wala cheo, bali na upendo, heshima, unyenyekevu na kujitoa. Hapo ndipo ndoto mbili zinapogeuka kuwa maisha bora ya pamoja. Mwanamke hapaswi kuzuiwa kukua katika elimu na maarifa, lakini pia anapaswa kuelewa kuwa ukuaji wake wa kweli huonekana zaidi pale anapolinda ndoa kwa unyenyekevu, busara na hekima kama ilivyo kwa mwanaume pia.

“Ndoto za mtu mmoja zinakuwa muhimu, lakini katika ndoa yenye hekima, ‘mimi’ hufa ili ‘sisi’ iishi kwa upendo, heshima na unyenyekevu.”

NB: Pengine My beloved Sisy Rose alikuwa na msingi mzuri kwenye hoja yake lakini pengine uwasilishaji wake tu ulipaswa kwenda mbele zaidi kwa unyenyekevu na maarifa. Maana ikieleweka juu juu ni hatari sana.

1782970862009.png
 
Ujumbe wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini @godblessjlema1 kuhusu suala la ndoa baada ya @pastor_roseshaboka kusema ana Degree 4 hivyo hawezi kuishia kupika na kufua.

"Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha ndoa kana kwamba ni gereza la ndoto, wakati ukweli ni kwamba ndoa bora ni mahali ambapo ndoto za pande zote mbili hukua. Lakini juu ya ndoto zote kuna ndoto moja kuu zaidi, kuishi kwa furaha, upendo, heshima na unyenyekevu"

"Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu, kama ambavyo elimu si kipimo cha ubora wa ndoa wala thamani ya mtu. Mambo haya yanaweza kuishi pamoja bila mgongano"

"Elimu haimfanyi mtu kuwa mkubwa kuliko huduma, na huduma haipunguzi hadhi ya mtu. Mtu anaweza kuwa na shahada nyingi, akaongoza na kubadilisha jamii, na bado akachagua vitendo vya upendo ndani ya ndoa. Hilo si kushushwa hadhi, ni uchaguzi wa upendo"

"Tatizo huanza pale majukumu ya kifamilia yanapoonekana kama adhabu badala ya kujitoa. Ndoa si mashindano ya vyeo au vyeti, bali ni safari ya kuulizana, Leo nitakufanyia nini ili maisha yetu yawe bora zaidi"

"Ndoto za mtu mmoja mmoja zina thamani, lakini ndoa yenye afya hujengwa pale ambapo “sisi” inakuwa kubwa kuliko “mimi”. Wakati mwingine mmoja huweza kuahirisha au kubadilisha ndoto yake kwa ajili ya familia, huo si udhaifu, ni ukomavu"

"Mwisho wa yote, ndoa haijengwi na degree wala cheo, bali na upendo, heshima, unyenyekevu na kujitoa. Hapo ndipo ndoto mbili zinapogeuka kuwa maisha bora ya pamoja. Mwanamke hapaswi kuzuiwa kukua katika elimu na maarifa, lakini pia anapaswa kuelewa kuwa ukuaji wake wa kweli huonekana zaidi pale anapolinda ndoa kwa unyenyekevu, busara na hekima kama ilivyo kwa mwanaume pia"

“Ndoto za mtu mmoja zinakuwa muhimu, lakini katika ndoa yenye hekima, ‘mimi’ hufa ili ‘sisi’ iishi kwa upendo, heshima na unyenyekevu.”

NB: Pengine My beloved Sisy Rose alikuwa na msingi mzuri kwenye hoja yake lakini pengine uwasilishaji wake tu ulipaswa kwenda mbele zaidi kwa unyenyekevu na maarifa. Maana ikieleweka juu juu ni hatari sana.

#EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha
 
Lema huwa yuko vizuri sana kwenye mambo ya familia. Kwa hili namkubali sana. Ndo maana sio mpuuzi kama nyumbu za CHADEMA kwa kuamua kuwaweka mbali mke na wanaye mbali na siasa za ufipa. Ninamsifu sana kwa kujali familia kwanza chama baadae.
 
Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake;

------
Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant!

Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha ndoa kana kwamba ni gereza la ndoto, wakati ukweli ni kwamba ndoa bora ni mahali ambapo ndoto za pande zote mbili hukua. Lakini juu ya ndoto zote, kuna ndoto moja kuu zaidi, kuishi kwa furaha, upendo, heshima na unyenyekevu.

Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu, kama ambavyo elimu si kipimo cha ubora wa ndoa wala thamani ya mtu. Mambo haya yanaweza kuishi pamoja bila mgongano.

Elimu haimfanyi mtu kuwa mkubwa kuliko huduma, na huduma haipunguzi hadhi ya mtu. Mtu anaweza kuwa na shahada nyingi, akaongoza na kubadilisha jamii, na bado akachagua vitendo vya upendo ndani ya ndoa. Hilo si kushushwa hadhi, ni uchaguzi wa upendo.

Tatizo huanza pale majukumu ya kifamilia yanapoonekana kama adhabu badala ya kujitoa. Ndoa si mashindano ya vyeo au vyeti, bali ni safari ya kuulizana, Leo nitakufanyia nini ili maisha yetu yawe bora zaidi ?

Ndoto za mtu mmoja mmoja zina thamani, lakini ndoa yenye afya hujengwa pale ambapo “sisi” inakuwa kubwa kuliko “mimi”. Wakati mwingine mmoja huweza kuahirisha au kubadilisha ndoto yake kwa ajili ya familia, huo si udhaifu, ni ukomavu.

Swali la msingi si nani anapaswa kufua boxer, bali ni, je, tunajenga maisha ambayo kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake huku tukilinda upendo, amani na heshima ya pamoja ?

Mwisho wa yote, ndoa haijengwi na degree wala cheo, bali na upendo, heshima, unyenyekevu na kujitoa. Hapo ndipo ndoto mbili zinapogeuka kuwa maisha bora ya pamoja. Mwanamke hapaswi kuzuiwa kukua katika elimu na maarifa, lakini pia anapaswa kuelewa kuwa ukuaji wake wa kweli huonekana zaidi pale anapolinda ndoa kwa unyenyekevu, busara na hekima kama ilivyo kwa mwanaume pia.

“Ndoto za mtu mmoja zinakuwa muhimu, lakini katika ndoa yenye hekima, ‘mimi’ hufa ili ‘sisi’ iishi kwa upendo, heshima na unyenyekevu.”

NB: Pengine My beloved Sisy Rose alikuwa na msingi mzuri kwenye hoja yake lakini pengine uwasilishaji wake tu ulipaswa kwenda mbele zaidi kwa unyenyekevu na maarifa. Maana ikieleweka juu juu ni hatari sana.
Kwa mara ya kwanza Lema kaongea kiutuuzima bila mihemko. Ndiyo maana mkwe wangu huwa nampenda jinsi alivyo mama akiwa nyumbani na Boss akiwa ofisini.
 
Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake;

------
Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant!

Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha ndoa kana kwamba ni gereza la ndoto, wakati ukweli ni kwamba ndoa bora ni mahali ambapo ndoto za pande zote mbili hukua. Lakini juu ya ndoto zote, kuna ndoto moja kuu zaidi, kuishi kwa furaha, upendo, heshima na unyenyekevu.

Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu, kama ambavyo elimu si kipimo cha ubora wa ndoa wala thamani ya mtu. Mambo haya yanaweza kuishi pamoja bila mgongano.

Elimu haimfanyi mtu kuwa mkubwa kuliko huduma, na huduma haipunguzi hadhi ya mtu. Mtu anaweza kuwa na shahada nyingi, akaongoza na kubadilisha jamii, na bado akachagua vitendo vya upendo ndani ya ndoa. Hilo si kushushwa hadhi, ni uchaguzi wa upendo.

Tatizo huanza pale majukumu ya kifamilia yanapoonekana kama adhabu badala ya kujitoa. Ndoa si mashindano ya vyeo au vyeti, bali ni safari ya kuulizana, Leo nitakufanyia nini ili maisha yetu yawe bora zaidi ?

Ndoto za mtu mmoja mmoja zina thamani, lakini ndoa yenye afya hujengwa pale ambapo “sisi” inakuwa kubwa kuliko “mimi”. Wakati mwingine mmoja huweza kuahirisha au kubadilisha ndoto yake kwa ajili ya familia, huo si udhaifu, ni ukomavu.

Swali la msingi si nani anapaswa kufua boxer, bali ni, je, tunajenga maisha ambayo kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake huku tukilinda upendo, amani na heshima ya pamoja ?

Mwisho wa yote, ndoa haijengwi na degree wala cheo, bali na upendo, heshima, unyenyekevu na kujitoa. Hapo ndipo ndoto mbili zinapogeuka kuwa maisha bora ya pamoja. Mwanamke hapaswi kuzuiwa kukua katika elimu na maarifa, lakini pia anapaswa kuelewa kuwa ukuaji wake wa kweli huonekana zaidi pale anapolinda ndoa kwa unyenyekevu, busara na hekima kama ilivyo kwa mwanaume pia.

“Ndoto za mtu mmoja zinakuwa muhimu, lakini katika ndoa yenye hekima, ‘mimi’ hufa ili ‘sisi’ iishi kwa upendo, heshima na unyenyekevu.”

NB: Pengine My beloved Sisy Rose alikuwa na msingi mzuri kwenye hoja yake lakini pengine uwasilishaji wake tu ulipaswa kwenda mbele zaidi kwa unyenyekevu na maarifa. Maana ikieleweka juu juu ni hatari sana.
Hekima kubwa sana
 
Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake;

------
Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant!

Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha ndoa kana kwamba ni gereza la ndoto, wakati ukweli ni kwamba ndoa bora ni mahali ambapo ndoto za pande zote mbili hukua. Lakini juu ya ndoto zote, kuna ndoto moja kuu zaidi, kuishi kwa furaha, upendo, heshima na unyenyekevu.

Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu, kama ambavyo elimu si kipimo cha ubora wa ndoa wala thamani ya mtu. Mambo haya yanaweza kuishi pamoja bila mgongano.

Elimu haimfanyi mtu kuwa mkubwa kuliko huduma, na huduma haipunguzi hadhi ya mtu. Mtu anaweza kuwa na shahada nyingi, akaongoza na kubadilisha jamii, na bado akachagua vitendo vya upendo ndani ya ndoa. Hilo si kushushwa hadhi, ni uchaguzi wa upendo.

Tatizo huanza pale majukumu ya kifamilia yanapoonekana kama adhabu badala ya kujitoa. Ndoa si mashindano ya vyeo au vyeti, bali ni safari ya kuulizana, Leo nitakufanyia nini ili maisha yetu yawe bora zaidi ?

Ndoto za mtu mmoja mmoja zina thamani, lakini ndoa yenye afya hujengwa pale ambapo “sisi” inakuwa kubwa kuliko “mimi”. Wakati mwingine mmoja huweza kuahirisha au kubadilisha ndoto yake kwa ajili ya familia, huo si udhaifu, ni ukomavu.

Swali la msingi si nani anapaswa kufua boxer, bali ni, je, tunajenga maisha ambayo kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake huku tukilinda upendo, amani na heshima ya pamoja ?

Mwisho wa yote, ndoa haijengwi na degree wala cheo, bali na upendo, heshima, unyenyekevu na kujitoa. Hapo ndipo ndoto mbili zinapogeuka kuwa maisha bora ya pamoja. Mwanamke hapaswi kuzuiwa kukua katika elimu na maarifa, lakini pia anapaswa kuelewa kuwa ukuaji wake wa kweli huonekana zaidi pale anapolinda ndoa kwa unyenyekevu, busara na hekima kama ilivyo kwa mwanaume pia.

“Ndoto za mtu mmoja zinakuwa muhimu, lakini katika ndoa yenye hekima, ‘mimi’ hufa ili ‘sisi’ iishi kwa upendo, heshima na unyenyekevu.”

NB: Pengine My beloved Sisy Rose alikuwa na msingi mzuri kwenye hoja yake lakini pengine uwasilishaji wake tu ulipaswa kwenda mbele zaidi kwa unyenyekevu na maarifa. Maana ikieleweka juu juu ni hatari sana.
Huwezi kuwa na mtoto ukiyemsomesha akaishia kuwa housewife Kwa kisingizio Cha ndoa ,ni matumizi mabaya ya Rasilimali fedha na watu.
 
Kufuatia Mjadala uliosambaa Mitandaoni baada ya kauli ya Mtumishi Rose Shaboka kuongelea kuhusu uwa na Elimu 'Degreee' na kuishia kuwa Mke wa kufua boxer na Kupika, basi Godbless Lema amesema yake;

------
Naandika kwa ajili ya binti yangu Brilliant!

Tatizo la zama hizi ni kwamba tunawasilisha ndoa kana kwamba ni gereza la ndoto, wakati ukweli ni kwamba ndoa bora ni mahali ambapo ndoto za pande zote mbili hukua. Lakini juu ya ndoto zote, kuna ndoto moja kuu zaidi, kuishi kwa furaha, upendo, heshima na unyenyekevu.

Kufua boxer au kupika ukiwa na degree nne si udhaifu, kama ambavyo elimu si kipimo cha ubora wa ndoa wala thamani ya mtu. Mambo haya yanaweza kuishi pamoja bila mgongano.

Elimu haimfanyi mtu kuwa mkubwa kuliko huduma, na huduma haipunguzi hadhi ya mtu. Mtu anaweza kuwa na shahada nyingi, akaongoza na kubadilisha jamii, na bado akachagua vitendo vya upendo ndani ya ndoa. Hilo si kushushwa hadhi, ni uchaguzi wa upendo.

Tatizo huanza pale majukumu ya kifamilia yanapoonekana kama adhabu badala ya kujitoa. Ndoa si mashindano ya vyeo au vyeti, bali ni safari ya kuulizana, Leo nitakufanyia nini ili maisha yetu yawe bora zaidi ?

Ndoto za mtu mmoja mmoja zina thamani, lakini ndoa yenye afya hujengwa pale ambapo “sisi” inakuwa kubwa kuliko “mimi”. Wakati mwingine mmoja huweza kuahirisha au kubadilisha ndoto yake kwa ajili ya familia, huo si udhaifu, ni ukomavu.

Swali la msingi si nani anapaswa kufua boxer, bali ni, je, tunajenga maisha ambayo kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake huku tukilinda upendo, amani na heshima ya pamoja ?

Mwisho wa yote, ndoa haijengwi na degree wala cheo, bali na upendo, heshima, unyenyekevu na kujitoa. Hapo ndipo ndoto mbili zinapogeuka kuwa maisha bora ya pamoja. Mwanamke hapaswi kuzuiwa kukua katika elimu na maarifa, lakini pia anapaswa kuelewa kuwa ukuaji wake wa kweli huonekana zaidi pale anapolinda ndoa kwa unyenyekevu, busara na hekima kama ilivyo kwa mwanaume pia.

“Ndoto za mtu mmoja zinakuwa muhimu, lakini katika ndoa yenye hekima, ‘mimi’ hufa ili ‘sisi’ iishi kwa upendo, heshima na unyenyekevu.”

NB: Pengine My beloved Sisy Rose alikuwa na msingi mzuri kwenye hoja yake lakini pengine uwasilishaji wake tu ulipaswa kwenda mbele zaidi kwa unyenyekevu na maarifa. Maana ikieleweka juu juu ni hatari sana.
bwana lema naye amekuwa a jack of all trades, ajikite kwenye mambo yenye tija kwa jamii badala ya kuanza kuchambana na hao watu walio kwangua nyusi zao zote kisha kupaka wanja kama vichaa
 
Back
Top Bottom