godbless lema

Godbless Jonathan Lema (born 26 October 1976) is a Tanzanian Chadema politician and Member of Parliament for Arusha City constituency from 2010 to 2015. He was also a candidate for the same constituency in the 2015 general election which was conducted on 25 October 2015. However, the parliamentary election for Arusha Constituency had to be postponed following the death of Estomoh Malya who was the parliamentary candidate for the Alliance for Change and Transparency, a newly established opposition political party in Tanzania.
The by-election was scheduled for 13 December 2015 and Lema was expected to win since Arusha is one of the Chadema strongholds. In the October 2015 general election, his party won 23 out of 24 members of the Arusha City Council. Lema has been vocal and well known following his activists politics against the ruling Chama cha Mapinduzi. He led a number of political rallies and protests against the government and CCM, some of which resulted in serious injuries and deaths after fierce police confrontation. However, his leadership increased Chadema popularity in the Northern City of Arusha and for the first time, its council is led by the opposition.In 2020 he moved to Canada as a refugee, after being arrested without cause in a government crackdown on the opposition Chadema party following the 2020 Tanzanian general election.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amfungulia kesi Ndolezi Petro wa ACT, anadai Tsh. Bilion 1 kwa kuchafuliwa

    RE: NOTICE OF DEMAND FOR RETRACTION, APOLOGY & PAYMENT OF DAMAGES FOR DEFAMATION AGAINST HON. GODBLESS JONATHAN LEMA We act for Honourable Godbless Jonathan Lema (“our Client”). It has come to our Client’s attention that on or about 14th Nov 2025, you published on the social media platform...
  2. PAYE

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lema: CCM kutumia dini kutetea makosa yenu si sahihi, nchi inaweza kuingia katika mgogoro mkubwa wa kidini

    Godbless Lema ameonya kuwa “endapo vitendo vya upumbavu havitazuiwa, nchi inaweza kuingia katika mgogoro mkubwa wa uhasama wa kidini.” Kwa mujibu wa Lema, haiwezekani kuficha uovu kwa kujificha nyuma ya dini, akisisitiza kuwa CCM kutumia dini kutetea makosa ni njia isiyo sahihi na inaweza...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Godbless Lema: Viongozi wa dini Makanisa yanafungwa mko kimya, kazi yenu sio kula keki na mamlaka kazi yenu ni kusema UKWELI

    Godbless Lema, aliyewahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini na kwa sasa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, amewakosoa vikali viongozi wa dini nchini kwa ukimya wao katika kipindi ambacho taifa limejeruhiwa na mauaji ya raia wasio na hatia, akisema viongozi hao wamekuwa wakiona matukio makubwa yakitokea...
  4. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lema: Nilipokuwa lockup Osterbay, sero ya pembeni yangu kulikuwa na wasichana wengi walikuwa wanaomba na kuimba usiku kucha

    Nilipokuwa lockup Osterbay, sero ya pembeni yangu kulikuwa na wasichana wengi wadogo wa kike walikuwa wanaomba na kuimba.Nafikiri waliimba na kuomba usiku kucha na asubuhi pia. Nami nikajikuta nasema moyoni , hata kama Mungu yuko busy sana huko aliko , lakini nina uhakika kuwa haya maombi ya...
  5. Just Pray

    JamiiForums Tanzania GE2025 Godbless Lema amekamatwa leo Novemba 08, 2025 maeneo ya USA River, Arusha

    ‪Kufuatia taarifa kwa umma iliyotolewa na Jeshi la Polisi 07/11/25 na kutaja orodha ya watu 10 ambao linawasaka ili kuwakamata katika orodha hiyo akiwepo Godbless J. Lema, leo 08/11/25, Godbless Lema amekamatwa maeneo ya USA River, Arusha akiwa na dereva wake na ameingizwa kwenye gari aina ya...
  6. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Mungu hawezi kupuuza machozi ya waja wake. Atalipa kwa wakati wake, haki itatimia

    Godbless Lema anaandika kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa X, Mlisali, mkafunga na mkamwomba Mungu kwa dua na machozi. Maombi yenu yamefika mbinguni. Mnafikiri haya mauaji na mateso ya watoto wenu ndiyo majibu kutoka kwa Mungu? Hapana. Msihofu. Mungu yupo, na bado anafanya kazi yake kwa...
  7. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Godbless Lema awashauri vijana, wakimaliza kupiga kura, warudi nyumbani wakalale

  8. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema alalamika kufuatiliwa na watu wasiojulikana, aitaka Serikali Kuchukua Hatua Kulinda Usalama wa Raia

    Godbless anadai amekuwa akifuatiliwa na watu wasiojuilikana, Lema ameandika kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii ujumbe huu.... Kwa siku kadhaa sasa, nimekuwa nikifuatiliwa na watu wasiojulikana wanaotumia gari ambalo limekuwa likizunguka maeneo ninayoishi na kufuatilia mienendo yangu...
  9. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amjibu Misime Mkiwa mbele ya vyombo vya habari kuweni na nidhamu iliyobeba utu

    Kupitia ukurasa wake wa Instagram Godbless amemjibu Msemaji wa jeshi la Polisi baada ya kuambiwa kuwa anazua taharuki.... Pengine huna TAARIFA, Bwana Msemaji. Nilifika Polisi jana usiku kutoa taarifa na niliwaomba waniweke ndani kama njia muhimu zaidi ya usalama wangu. Lakini hawakutaka kunipa...
  10. Ubaya Ubwela

    JamiiForums Tanzania Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche, Lema na Boniface Jacob kuwakilisha Chama kwenye mazishi ya Odinga

    Hao ndo wanachama na Viongozi wa CHADEMA watakaoenda Kukiwakilisha Chama Kwenye Mazishi ya Raila Odinga yatakayofanyika hapo Jumapili. NB: Usishangae Kusikia awamezuiwa Airport na Mamlaka wakati huo huo Kikwete na Mpango wakipepea hewani kwenda kwenye Mazishi hayo
  11. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Ninampongeza sana Godbless Lema kwa kuweka maslahi ya familia yake mbele na kuyakwepa maandamano haramu kijanja.

    "Niko tayari kuwekwa mahabusu kwa hiari yangu hadi kipindi cha uchaguzi kipite, kwa sababu naamini kufanya hivyo kutaleta utulivu kwa wazazi wangu, mke wangu Neema, na watoto wangu. Najua watahisi angalau faraja kwamba niko salama". Hii ni kauli ya kijanja na kuweka kwanza maslahi ya familia...
  12. JF Summary

    JamiiForums Tanzania "My life is in great danger" Lema fears for his life, requests custody for safety until elections end

    Godbless Lema, a CHADEMA member and former Member of Parliament for Arusha Urban (2010–2020), who also served as the party’s Shadow Minister for Home Affairs and currently sits on the Central Committee, has written a powerful message to President Samia through his social media pages, expressing...
  13. Mhaya

    JamiiForums Tanzania GE2025 Godbless Lema aomba kuwekwa mahabusu kwa hiari mpaka kipindi cha uchaguzi kiishe akihofia maisha yake

    Anaandika Godbless Lema kwenye mtandao wa Instagram hivi leo Mheshimiwa Rais, Maisha yangu yako katika hatari kubwa. Tafadhali, naomba kwa unyenyekevu mkubwa unisikilize. Ningependa kuishi ili niweze kuwaona watoto wangu wakikua, kuoa na kuolewa mbele ya macho yangu, na ikiwezekana, niweze...
  14. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Lema: Wenje hafai kuwa mwanachama wa CHADEMA, Hatimaye yametimia

    Kada wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Godbless Lema aliwahi kusema " Mimi ningekuwa na mamlaka ya kichama Wenje hakutakiwa kuwa mwanachamaa wa CHADEMA leo".
  15. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Godbless Lema atoa orodha ya waliotekwa/kupotezwa kwenye kanda za kichama tangu kuanza kwa kampeni Agosti 28, 2025

    Anaandika mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa X 1. Kanda ya Nyasa aliyetekwa ni mmoja Jina: Abedinego Sanga Cheo: Mwenyekiti BAVICHA Jimbo la Lupembe, Mkoa wa Njombe Umri: Kati ya miaka 28-30. Mahali alipotekwa Kijiji cha Matembwe akiwa kwenye duka lake la...
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Godbless Lema akivutana na polisi, yani nusu azichape!

    Nimekutana na hii video ikimuonyesha Godbless Lema akishikana mashati na askari polisi katika maeneo tofauti. Sasa Juzi wakati Wakili Wakili Deogratius Mahinyila anakamatwa pale Mahakamani kihuni, niliona maoni ya watu wengi wakimlaumu sana Lema. Inawezekana alizingua kiasi lakini Godbless...
  17. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Video clips: Godbless Lema mwoga dhidi ya Elizabeth Mambosho jasiri

    Wakati Adv Mahinyila akipambana na Polisi, Godbless Lema akajifanya busy anakwenda kwa Msajili wa Mahakama Kuu. Angalia clip hapa:- Wakati huohuo Elizabeth Mambosho mwanamama mjumbe wa mkutano mkuu CDM aliweza kumuokoa mwananchi kwenye kundi la askari 30. Angalia clip hapa:- Chuma hiki hapa;-
  18. Heparin

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema aibukia Mahakama kuu kesi ya Lissu ikianza kuunguruma leo Septemba 8, 2025

    Mjumbe wa Kamati Kuu Mhe. Godbless Lema na Mwenyekiti wa Kanda ya Unguja Mhe. Hashim Juma wakiwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mhe. Tundu Lissu ambapo leo itaanza kusikilozwa.
  19. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Godbless Lema, anaiunga mkono CCM uchaguzi mkuu

  20. USSR

    JamiiForums Tanzania Namfatilia polepole naona anarudia yale yale tu .VPN X Kwa Godbless lema

    Jamaa hana jipya wala hakua la maana ni michosho tu na kelele za kutaka ccm irudie mchakato wa uteuzi USSR
Back
Top Bottom