godbless lema

Godbless Jonathan Lema (born 26 October 1976) is a Tanzanian Chadema politician and Member of Parliament for Arusha City constituency from 2010 to 2015. He was also a candidate for the same constituency in the 2015 general election which was conducted on 25 October 2015. However, the parliamentary election for Arusha Constituency had to be postponed following the death of Estomoh Malya who was the parliamentary candidate for the Alliance for Change and Transparency, a newly established opposition political party in Tanzania.
The by-election was scheduled for 13 December 2015 and Lema was expected to win since Arusha is one of the Chadema strongholds. In the October 2015 general election, his party won 23 out of 24 members of the Arusha City Council. Lema has been vocal and well known following his activists politics against the ruling Chama cha Mapinduzi. He led a number of political rallies and protests against the government and CCM, some of which resulted in serious injuries and deaths after fierce police confrontation. However, his leadership increased Chadema popularity in the Northern City of Arusha and for the first time, its council is led by the opposition.In 2020 he moved to Canada as a refugee, after being arrested without cause in a government crackdown on the opposition Chadema party following the 2020 Tanzanian general election.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Godbless Lema: Jambo na Millard Ayo msiogope kutoa ushahidi wa kweli kama Jamhuri itawataka. Mpango dhidi ya Lissu ni mchafu na unaua matumaini

    Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Godbless Lema ameandika kupitia mtandao wa X (zamani Twitter) amewataka Jambo na Millard Ayo wasiwe na hofu ya kutoa ushahidi wa kweli endapo Jamhuri itawahitaji, akisisitiza kuwa ukweli ndio kinga ya kwanza ya haki na kesi zinazohusu dhamiri ya taifa haziwezi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema, kikombe unachokitengeneza utakinywea

    Siku za hivi karibuni mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini bwana Godbless Lema amejipa utukufu wa kutabiria watu kufa na wanapokufa anajitokeza hadharani kushangilia! Hii dhambi itamuhusu kama na yeye atakufa, ila kama ataishi milele hatakufa basi dhambi hii haitamuhusu. Godbless Lema...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa Godbless Lema juu ya Ndugai

  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Lema ahoji ndege iliyonunulia kwa ajili ya kunyunyizia viuatilifu mashambani kwa bilioni 6. asema pesa za umma zinatumika kama zawadi za valentine

    Waziri Husein Bashe. Serikali imenunua ndege kwa ajili ya kunyunyizia viuatilifu mashambani kwa gharama ya shilingi bilioni 6. Hii ni sawa na zaidi ya USD 2.3 milioni bei ambayo ni mara tatu hadi nne ya bei halisi ya ndege hizo sokoni. Kwa mfano, ndege maarufu kama Air Tractor au Thrush...
  5. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Godbless Lema ametangaza kustaafu siasa

    Barua inasambaa Facebook na WhatsApp.
  6. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Boniface Jacob ameandika kuwa Godbless Lema ni msaliti, amegeuza 'TONETONE' kuwa faida yake binafsi

    Kumekuwa na poster ambayo inazagaa kwenye mitandao ya kijamii ususani wa facebook akimutuhumu Godless Lema kwa kutumia fedha za TONETONE kwa manufaa Binafsi Jambo ambalo Boniphace Jacob ameona sio zuri.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amlilia Freeman Mbowe kwa waraka mzito

    WARAKA WA GODBLESS LEMA KWA MBOWE!Mhe. Godbless Lema amemuandikia waraka Mhe. Freeman Mbowe. Kwa kuwa waraka huo umebeba maudhui yenye maslahi mapana, sisi tunauweka hapa kusudi kupanua wigo wa fikra.Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!Askofu Emmaus...
  8. Smile Digital Stationery

    JamiiForums Tanzania Taja miongoni mwa kauli za Godbless Lema alizowahi kuzisema na sasa zimetokea au zinatokea

    Huyu jamaa anakuwaga kama na kautabiri flan, mimi nayoikumbuka ni ile alowahi kusema bungeni kuwaambia wabunhe wa chama tawala kuwa "SIMNAFURAHIA WAPINZANI TUNAVYOFANYIWA NA SERIKALI, WAKIMALIZA KWA UPINZANI WATAHAMIA KWENU" Nikirejea hayo maneno yake naona kama ndo kinachotokea sasa kwa Baadhi...
  9. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Godbless Lema alisema Lissu hawezi kuwa kiongozi kwa sababu hana pesa, hawezi kuendesha chama

  10. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Godbless Lema amechapisha kwenye mtandao wa X kuwa CHAUMMA inakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani

  11. kidonto

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema fungua Kesi ya kudai Fidia, kuna Bilioni 3 za wazi

    Kuna Video ya kutengeneza nimeiona Facebook, Watu wenye Nia mbaya wamechukua Video clip Yako, na kuunganisha Sauti zako Toka kwenye matukio tofauti. Video Ile Ina nembo ya Jambo tv, na Kuna page imepost Facebook inakwenda Kwa jina la Macdee Mackeja Shilinde. Nadhani utakua umeiona Wafungulie...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema, hospitali zote hizi nchini lakini unaenda Kenya ukaangaliwe bega, una hofu gani?

    Imeripotiwa kuwa ndugu Lema alizuiwa mpakani Namanga akidai kuwa alikuwa akienda kwa akina Martha Karua kuangaliwa afya ya bega lake na shida nyingine ambayo hakuitaja. Ukweli hii ilinifikirisha sana kama mtanzania kama kweli tumefika hapo. Ni kweli Tanzania hakuna hospital na wataalam ambao...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji: Godbless Lema ametakiwa kuripoti katika ofisi ya Uhamiaji Makao Makuu kwa ajili ya mahojiano zaidi

    Idara ya Uhamiaji inapenda kuujulisha umma kuwa leo tarehe 6 Juni, 2025 katika kituo cha uhamiaji cha mpaka wa Namanga Mkoani Arusha, ndugu Godbless Jonathan Lema alizuiliwa kutoka nchini na pasipoti yake ya kusafiria kushikiliwa. Sambamba na zuio hilo, ndugu Lema ametakiwa kuripoti katika ofisi...
  14. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jenerali Ulimwengu na Godbless Lema wamwaga machozi mahakamani baada ya kumuona Lissu akisimama kizimbani

    Wakuu, Leo wakiwa mahakamani, Jenerali Ulimwengu na Godbless Lema wamemwaga machozi baada ya kumuona Lissu kwa mara ya kwanza kwenye inayomkabili Soma pia: Yanayojiri Kesi ya Lissu: Mahakama imeahirisha shauri hilo kwa siku 14 hadi 02/06/2025 na mtuhumiwa amerejeshwa rumande
  15. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Millard Ayo amechapisha taarifa inayosema 'Lema matatani kwa kupanga njama za kumuua Mrema'

  16. Mzalendo2015

    JamiiForums Tanzania Sikiliza Nondo za Godbless Lema akiwa Bariadi Simiyu

    https://youtu.be/Um8sc9LW6bs?si=YZuMeOBmA6cRHtUj
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lema: Nyie wananchi ndiyo chanzo cha maisha kuwa magumu

    Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Taifa Godbless Lema akiongea na wananchi wa Bukoba mjini katika ziara yao ya No reforms No Election. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na...
  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Hii Hapa ni Nukuu ya Godbless Lema aliyoitoa huko Bukoba Mjini, Hakika huyu jamaa ni Mtu wa Mungu

    Hebu soma haya madini aliyoyatoa jukwaani.
  19. J

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Maria Sarungi ameandika kwenye ukurasa wake wa x kuwa Godbless Lema apokea bilioni 4 kuisambaratisha Chadema

    MARIA SARUNGI AMEANDIKA KWENYE UKURASA WAKE WA X KUWA GODBLESS LEMA APOKEA BILIONI 4 KUISAMBARATISHA CHADEMA. "🚨‼️Kaka yangu GODBLESS LEMA ametuchoma wapigania Haki.🚨‼️ Wakati tunalilia haki, tunapambana kwa ajili ya Mdude, yeye anapokea bilioni 4 kwa ajili ya kuizamisha CHADEMA polepole...
  20. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 The Chanzo na ITV wamechapisha kuwa Lema, Maria wapanga maandamano na kuwatumia GenZ kuchoma moto vituo vya polisi

Back
Top Bottom