Mafundi na wenye magari naomba kueleweshwa tatizo la gari langu. Asubuhi nimeamka kwa ajili ya kwenda Kanisani, baada ya kushusha handbrakes na kuanza kuondoka, tairi la upande wa kulia nyumba likagoma kuzunguka. Nikilazimisha linaslide tu.
Kwa kweli sijajua tatizo mpaka sasa. Mwenye utaalamu naomba anifafanulie kuhusu hilo tatizo.
Kwa kweli sijajua tatizo mpaka sasa. Mwenye utaalamu naomba anifafanulie kuhusu hilo tatizo.