Hatua gani za kuchukua unapoagiza gari ukakuta kimeo baada ya kufika nchini?

Zungumza na kampuni waliyokuuzia gari kutoka Nje juu ya ubora wa gari lao. Ingawa nahisi utakuwa nje ya muda, mfano kampuni ya Beforward huwa wanakupa warranty ya siku 7 toka ulivyopokea gari, unawataarifu kuhusu ubovu wa gari na wao ndio watashughulikia matengenezo. Huwa wanajiamini sababu kabla ya kusafirishwa gari huwa linafanyiwa ukaguzi na hali ya gari huwekwa kwenye ripoti.

Sasa hili la kwako vile umeshaanza kulichokonoa, na uliagiza kupitia ajenti, huenda ushauri wa kwanza usifanikiwe - komaa na ajenti wako, agharamie matengenezo au la aongee na waliomuuzia. Ikibidi akuagizie gari jingine litalokua zima.
 
Zungumza na kampuni waliyokuuzia gari kutoka Nje juu ya ubora wa gari lao. Ingawa nahisi utakuwa nje ya muda, mfano kampuni ya Beforward huwa wanakupa warranty ya siku 7 toka ulivyopokea gari, unawataarifu kuhusu ubovu wa gari na wao ndio watashughulikia matengenezo. Huwa wanajiamini sababu kabla ya kusafirishwa gari huwa linafanyiwa ukaguzi na hali ya gari huwekwa kwenye ripoti.

Sasa hili la kwako vile umeshaanza kulichokonoa, na uliagiza kupitia ajenti, huenda ushauri wa kwanza usifanikiwe - komaa na ajenti wako, agharamie matengenezo au la aongee na waliomuuzia. Ikibidi akuagizie gari jingine litalokua zima.
Ikiwa umelichagua mwenyewe kwenye mtandao na befoward wakakuagizia, bado watawajibika kujua ubora wake?
 
Wajuzi tafadhali. Nimeagiza Gari but tangu limefika limeweka kiota cha kudumu gereji. Kwa Hali hii naweza fanyeje ili nipate haki yangu hasa kwa agent aliyeniagizia
Waweza kuepuka hilo kwa kutumia kampuni zenye hadhi kama Autorec.
Mkuu, uliagiza kwa kutumia kampuni ipi?
 
Wanaongoza kuingiza magari mikweche.
Zungumza na kampuni waliyokuuzia gari kutoka Nje juu ya ubora wa gari lao. Ingawa nahisi utakuwa nje ya muda, mfano kampuni ya Beforward huwa wanakupa warranty ya siku 7 toka ulivyopokea gari, unawataarifu kuhusu ubovu wa gari na wao ndio watashughulikia matengenezo. Huwa wanajiamini sababu kabla ya kusafirishwa gari huwa linafanyiwa ukaguzi na hali ya gari huwekwa kwenye ripoti.

Sasa hili la kwako vile umeshaanza kulichokonoa, na uliagiza kupitia ajenti, huenda ushauri wa kwanza usifanikiwe - komaa na ajenti wako, agharamie matengenezo au la aongee na waliomuuzia. Ikibidi akuagizie gari jingine litalokua zima.
 
Zungumza na kampuni waliyokuuzia gari kutoka Nje juu ya ubora wa gari lao. Ingawa nahisi utakuwa nje ya muda, mfano kampuni ya Beforward huwa wanakupa warranty ya siku 7 toka ulivyopokea gari, unawataarifu kuhusu ubovu wa gari na wao ndio watashughulikia matengenezo. Huwa wanajiamini sababu kabla ya kusafirishwa gari huwa linafanyiwa ukaguzi na hali ya gari huwekwa kwenye ripoti.

Sasa hili la kwako vile umeshaanza kulichokonoa, na uliagiza kupitia ajenti, huenda ushauri wa kwanza usifanikiwe - komaa na ajenti wako, agharamie matengenezo au la aongee na waliomuuzia. Ikibidi akuagizie gari jingine litalokua zima.
Sikuzote kama unataka Usalama na uhakika wa gari Bora Fanya biashara na be forward na SBT na cardealpage.
 
I
Usisahau umenunua used car.... probably over 10yrs old!
Ingawa ndiyo tunatumia Magari yaliyotumika zaidi ya miaka 10 lakini sikuhizi kuna agent kazi Yao ni kumshawishi mteja achague garus
Subaru Forester hizi new model kwa bongo
Subaru forester third generation zimeanzia 2008 nakuendelea,
Kwangu Mimi naona toleo la 2004-07 ni Bora zaidi kuliko hizo
 
Ikiwa umelichagua mwenyewe kwenye mtandao na befoward wakakuagizia, bado watawajibika kujua ubora wake?
Beforward ni wauzaji, kwa hiyo unapochagua gari wao wanakuuzia na sio kuwa maajenti wako. Bado watawajibika kwa ubovu wa gari lako, maana wanapaswa kukuuzia gari lililo zima au kama ni bovu uwe umeridhia mwenyewe.

Hata hivyo kisheria ni lazima gari ikaguliwe na wakala wa ukaguzi kuhakikisha ubora wa gari.
 
Subaru Forester hizi new model kwa bongo
Kama hii
Screenshot_20191212-111824~2.jpeg
 
Beforward ni wauzaji, kwa hiyo unapochagua gari wao wanakuuzia na sio kuwa maajenti wako. Bado watawajibika kwa ubovu wa gari lako, maana wanapaswa kukuuzia gari lililo zima au kama ni bovu uwe umeridhia mwenyewe.

Hata hivyo kisheria ni lazima gari ikaguliwe na wakala wa ukaguzi kuhakikisha ubora wa gari.
Nafikiri huwa wanagonga sticker tu..ukaguzi sidhani
 
Back
Top Bottom