Hivi gari za kutoka Mwanza kwenda Mbeya zinafika saa ngapi Mbeya

spooti

Member
Aug 11, 2018
24
27
Nauliza basi za Mwanza kwenda Mbeya zinafika huku saa ngapi na huwa zinalala njiani au ni moja kwa moja? Ikiwezekana nipatieni na mawasiliano yao hapo Mwanza.
 
Back
Top Bottom