Wewe unataka kulala au kusafiri.
Linafika kesho asubuh saa nneNataka kufika moja kwa moja.. linaingia saa ngpi
Samahani mkuu, hivi unazijua 2500km kweli?? Au unamtania mtoa mada?
Hahaha kachanganya madesaSamahani mkuu, hivi unazijua 2500km kweli?? Au unamtania mtoa mada?
2500km!!!!!!!!!
So nikianza Safar kesho uhakika kufika kabla ya jumatatu asubuhoBaada ya utaratibu wa kuwalaza Makambako kutenguliwa, siku hizi wanatoboa. Ila ndo ujiandae kufika kuanzia saa 7, 8 au 9 usiku.
Gari za kwenda mbeya zinapita wapi mkuu ?Mwanza-Mbeya Km 920
Mwanza-dar km 1145
dodge
Km 2500? Mmmh hiyo itakuwa Dsm-Harare-Zimbabwe japo nayo ni 2285 hivi kwa barabara
Nauli elfu 55, ukiondoka Mwanza saa 12 asubuhi Mbeya unafika kuanzia saa 7 usiku hapo dereva amekimbia sanaa, ukipanda basi bovu jua mbeya utafika saa 10 alfajiriNauliza basi za Mwanza kwenda Mbeya zinafika huku saa ngapi na huwa zinalala njiani au ni moja kwa moja? Ikiwezekana nipatieni na mawasiliano yao hapo Mwanza.
Km 920 ni sawa na Dar - tundumaMwanza-Mbeya Km 920
Mwanza-dar km 1145
dodge
Mkuu hapo kwenye umbali wa Mbeya-Tunduma natumai ulimaanisha Dar-Tunduma.Km 920 ni sawa na mbeya - tunduma
Mwanza mbeya ni kipande kirefu km 1300+
Sent using Jamii Forums mobile app