Oil pressure light kwenye dashboard ya gari

tamsana

JF-Expert Member
Jan 13, 2012
3,221
7,080
Wadau amani iwe kwenu.

Nina swali dogo tu ningependa kupata ufafanuzi ili kuongeza uelewa. Ni kwanini Oil Pressure Light inakuwa on kwa dakika 2 hadi 3 wakati wa kuwasha gari hasa gari inapokuwa imezimwa kwa zaidi ya masaa matatu na kuendelea?

Vile vile napenda kufahamu athari zinazoweza kujitokeza endapo nitaanza kuendesha gari kabla ya taa hiyo kuzima.

Natanguliza shukurani kwa michango yenu.

cc: Boeing 747
 
Gari gani? Iyo taa ni rangi gani? Oil pressure au kitaa cha kibirika cha oil? Maana kile kina maana nyingi sana sko pressure tu.

Kwanza me nadhani cheki oil level. Kama iko poa, nikumbushe service yako ya mwisho ilikua lini?

Ishawahi nitokea nilizidisha sana interval ya oil change, sasa nilipobadirisha gari ilichange sana performance na taa ya oil ikawa inawaka, nikaendesha zaidi km 50 hivi check engine ikawaka nayo.

Ikaenda kwa fundi, akakuta sample (sampo,) chujio imeziba kwasababu vyuma vilisagika so chenga chenga zimeziba chujio zikasababisha pressure iwe ndogo oil inashindwa kuzurura njia zake.

Ikasafishwa, ikawekwa oil mpya.
 
Wadau amani iwe kwenu.

Nina swali dogo tu ningependa kupata ufafanuzi ili kuongeza uelewa. Ni kwanini Oil Pressure Light inakuwa on kwa dakika 2 hadi 3 wakati wa kuwasha gari hasa gari inapokuwa imezimwa kwa zaidi ya masaa matatu na kuendelea?...


Kutoka kwenye maelezo yako mwenyewe inaonesha kwamba oil iliyopo ni nzito kuflow na inakuwa nzito zaidi engine ikiwa ya baridi. Inaweza kusababishwa na:

1. Oil inaweza kuwa imechoka kama hujafanya service muda mrefu.

2. Ulifanya service ukawekewa oil nzito kuliko uwezo wa engine yako. Yale mambo kama ya Extrovert au Boeing 747 ya hapo weka SAE40😁😁😁
 
Gari gani? Iyo taa ni rangi gani? Oil pressure au kitaa cha kibirika cha oil? Maana kile kina maana nyingi sana sko pressure tu.

Kwanza me nadhani cheki oil level. Kama iko poa, nikumbushe service yako ya mwisho ilikua lini?...
Mimi siomtaalam wa magari ila taa inayowaka ni ya blue kwenye lialama kama kibirika. Na oil ninayotumia ni Castrol 5W30.
Pengine nimekosea kueleza suala husika.
 
Kutoka kwenye maelezo yako mwenyewe inaonesha kwamba oil iliyopo ni nzito kuflow na inakuwa nzito zaidi engine ikiwa ya baridi. Inaweza kusababishwa na:

1. Oil inaweza kuwa imechoka kama hujafanya service muda mrefu...
Mimi sio mtaalam wa magari ila taa inayowaka ni ya blue kwenye lialama kama kibirika. Na oil ninayotumia ni Castrol 5W30.
Pengine nimekosea kueleza suala husika.
 
Mimi sio mtaalam wa magari ila taa inayowaka ni ya blue kwenye lialama kama kibirika. Na oil ninayotumia ni Castrol 5W30.
Pengine nimekosea kueleza suala husika.

Aiseee taa ya blue kwenye alama ya oil hiyo ni ngeni kwangu. Najuaga inakuwa njano, Orange au nyekundu.
 
Aiseee taa ya blue kwenye alama ya oil hiyo ni ngeni kwangu. Najuaga inakuwa njano, Orange au nyekundu.
Taa hiyo mkuu
16011134536971901585402.jpg
 
Taa ya temprecha inawaka injini ikiwa imepoa mfano asubuhi ukiwasha gari inawaka kwa mda then inazima haina shida hyo. Kisanga iwake nyekundu
Asante sana mkuu.
Ningependa kufahamu kama kuna athari zozote kama ukianza kuendesha kabla ya kuzima. Japo sijawahi kufanya hivyo.
 
Taa hiyo mkuu
Aisee ina maana mpaka Leo hujui taa za Kwenye gari yako zinawakilisha kitu gani...hiyo ni hatari Sana kwasabb kama alama ya taa ya temperature na oil huzijui basi hiyo ni shida na pengine sijui umeanza lini kuendesha Magari Ila Kwa mtu yeyote makini hata kama gari ina shida Fulani atagundua mapema.

Ni aibu Sana kama mpaka Leo hujui temperature ikipanda au ikishuka usijue kitu
 
Kutoka kwenye maelezo yako mwenyewe inaonesha kwamba oil iliyopo ni nzito kuflow na inakuwa nzito zaidi engine ikiwa ya baridi. Inaweza kusababishwa na:

1. Oil inaweza kuwa imechoka kama hujafanya service muda mrefu.

2. Ulifanya service ukawekewa oil nzito kuliko uwezo wa engine yako. Yale mambo kama ya Extrovert au Boeing 747 ya hapo weka SAE40
aisee...
Wazee wa SAE 40 kujeni hapa..

Mimi ni muumini wa 5w30, na ninajaribu kuwaelekeza watu sana juu ya 5w30.
 
Aisee ina maana mpaka Leo hujui taa za Kwenye gari yako zinawakilisha kitu gani...hiyo ni hatari Sana kwasabb kama alama ya taa ya temperature na oil huzijui basi hiyo ni shida na pengine sijui umeanza lini kuendesha Magari Ila Kwa mtu yeyote makini hata kama gari ina shida Fulani atagundua mapema.

Ni aibu Sana kama mpaka Leo hujui temperature ikipanda au ikishuka usijue kitu
Kutokujua sio shida mkuu.
 
Back
Top Bottom