Miaka ya 2005 kuja 2010 enzi hizo Jamiiforum siyo maarufu, kulikuwana na blogspots nyingi sana zilizokua hot. Mimi nazikumbuka hizi.
1. Mbeya yetu blog, Morogoro yetu, Iringa yetu, habari za maendeleo ya mikoa
2. Dinahicious blog mambo ya malavidavi na mahaba ili kua chimbo balaa sana
3...