fundi

  1. Mshana Jr

    Kumbukizi: Malikia fundi magari

    Wengi wanamfahamu Malkia Elizabeth II kama kiongozi wa Kifalme aliyedumu kwa muda mrefu, lakini wachache wanajua kuwa alikuwa fundi wa magari aliyepata mafunzo rasmi. Mnamo mwaka 1945, wakati wa Vita vya Pili vya Dunia, Malkia Elizabeth, ambaye wakati huo alikuwa bado binti wa mfalme na mwenye...
  2. N

    Fundi mzuri wa Piano Dar es Salaam

    Habari ya uzima, wandugu, Nina uhitaji wa fundi mzuri wa piano , kwa yeyote ambaye anafahamu fundi mzuri wa piano popote pale Dar es salaam , tafadhali naomba nielekeze anapopatikana na kushare pia mawasiliano yake. Asante kwa ushirikiano.
  3. Kipenzi Changu

    Msingi tu iwe 13m?! Huyu fundi mbona kama anataka kuleta za kiinjinia!

    Huu mjengo ni 1.5 storey. Upande ghorofa lenye eneo la takribani 80m2. Upande mwingine ni nyumba ya chini eneo la 68m2. Upande wa ghorofa nguzo 14 na upande wa chini nguzo 4. Mzamo wa footing ni 1.8m, msingi ni 1m. Plot ni plain haina mabonde, ila udongo ni mfinyazi mweusi. Huyu ni fundi wa...
  4. Mshana Jr

    Kumbukizi: Peugeot 504.. Chuma cha pua. Chombo ya fundi

    Historia ya Peugeot nchini Tanzania, na kwa hakika Afrika, imefungamana sana na model maarufu ya 504, ambayo ilipata umaarufu mkubwa na kupata jina la utani la "Malkia wa Afrika" kutokana na kutegemewa sana nakuhimili changamoto za barabara za Kiafrika na kutumika kwenye hafla za mikutano mbali...
  5. T

    Natafuta Fundi selemala mwaminifu Na vijana wawili wa kufanyanae kazi kwenye Workshop.

    Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojielezea.Natafuta fundi mzuri na mwaminifu anaweza kutengeneza Kabati.Showcase.dressingtable nakuendelea. Pia vijana wawili ambao watakuwa kama wasaidizi wake.Ima wawe wanajua ufundi au hawajui ilimradi wawena moyo wa kujifunza. Ofisi ipo Chanika na...
  6. T

    Natafuta Fundi selemala mwaminifu Na vijana wawili wa kufanyanae kazi kwenye Workshop.

    Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Natafuta fundi mzuri na mwaminifu anaweza kutengeneza Kabati.Showcase.dressingtable nakuendelea. Pia vijana wawili ambao watakuwa kama wasaidizi wake.Ima wawe wanajua ufundi au hawajui ilimradi wawena moyo wa kujifunza. Ofisi ipo Chanika na...
  7. T

    Natafuta Fundi selemala mwaminifu Na vijana wawili wa kufanyanae kazi kwenye Workshop.

    Habari. Kama kichwa cha habari kinavyojielezea.Natafuta fundi mzuri na mwaminifu anaweza kutengeneza Kabati.Showcase.dressingtable nakuendelea. Pia vijana wawili ambao watakuwa kama wasaidizi wake.Ima wawe wanajua ufundi au hawajui ilimradi wawena moyo wa kujifunza. Ofisi ipo Chanika na...
  8. Mumlii

    Fundi rangi za majumbani

    Habari, Natamani nijifunze jinsi ya kupaka rangi za nyumba. Nipeni mwongozo naanzia wapi angalau nianze kama saidia fundi huku najifunza, msiseme veta maana sna pesa ya kujifunzia.
  9. Suip

    Fundi wa urembo wa kona,madirisha na nguzo za nyumba

    Nahitaji kufahamu fundi wa kuremba nguzo, kona za nyumba na madirisha anayepatikana Arusha na bei ya kazi hiyo kwa kila dirisha,kona na nguzo,nina kazi.
  10. K

    Tunafanya ujenzi bora wa nyumba

    🏗️🔥 KIPPAYA CONSTRUCTION – UJENZI WA KISASA, UBORA WA KUDUMU! 🔥🏗️ Unataka nyumba yako iwe ya kuvutia na ya kisasa? Tunakuletea huduma bora za ujenzi na ukamilishaji kwa viwango vya juu! 👌🏾🏠 🔨 Huduma Zetu: ✅ Finishing & Decorations – Tunamalizia kwa ustadi wa hali ya juu ✨ ✅ Plasta – Ukuta wako...
  11. Mr fantastic_

    Naomba kibarua chochote hata saidia fundi nipo Mwanza

    Wakuu Mimi ni kijana mwenye miaka 25 naomba kazi hata ya saidia fundi nipo mkuyuni jijini mwanza Natanguliza shukrani.
  12. N

    VIBARUA VYA SAIDIA FUNDI

    Habari zenu Wana jamiiforum,nilikua ninashida kama kunafundi anaweza akanishika mkoni kama saidia fundi au kama Kuna mtu anaweza akanielekeza sehemu ya kupata vibarua hivyo kwa mkoa wa dar es salaam,Nina uzoefu kidogo wa kuskim,kupiga rangi na kujenga tofali
  13. Mwanza CCTV CAMERA

    FUNDI CCTV CAMERA MWANZA , ELECTRIC FENCE, REMOTE GATE, ALARM SYSTEM MWANZA 0747274532

    Tunafunga CCTV camera, alarm systm, Electric Fence, Remote gates nk Tunafunga camera za ulinzi majumbani, maofisini, mashuleni, hospitali, migodini, mashambani nk. Tunaunga mifumo yote kwenye sjmu ya mkononi hivyo utaweza kuona matukio yote kwenye simu yako ukiwa popote pale. Tunafunga fensi...
  14. otimbiotimbi

    Fundi /programmer wa volvo V40

    Habari ndugu zangu,naomba tupeane connection hapa za fundi/programmer mzuri wa volvo v40 T4 ya 1600cc petrol 2014 model Anatakiwa fundi mzuri sio wa kubahatisha ,yaani anayeijua hiyo gari vizuri.
  15. mossTV

    FUNDI TV NA VIFAA VYA UMEME

    BWANA FUNDI NIPO HAPA.. KAMA TV YAKO INA CHANGAMOTO YOYOTE INATIBIKA BILA SHIDA NA TUNAFANYA MPAKA HOME SERVICE PIA.. KAMA SHIDA NI MOTHERBOARD TCON POWER SUPPLY BACKLIGHT KIO0 SHIDA YOYOTE TV IMEZIMA GHAFLA TUNAWASHA, SAUTI, MWANGA NA MATATIZO YOTE WE PIGA SIM 0744680670 0618199522 TUNAKUFIKIA...
  16. The unpaid Seller

    Msaada: Ni hatua gani kisheria naweza kumchukulia fundi msumbufu.

    Umuofia kwenu, Aise kuna fundi nilimpa kazi na malipo 85% kazi ilikua ya makubaliano ya kukamilika kwa wiki Moja, lakini sasa yapata mwezi na mwelekeo wa kukamilika haupo. Mbaya zaidi hana dharula yoyote yupo na anaendelea na kazi za wateja wengine nikimuhimiza kua ananikwamisha analeta...
  17. Petro E. Mselewa

    Fundi na gharama za kuondoa mistari kwenye Smart TV

    Waungwana nawasalimu, Nina TV yangu ya Smart ya Inchi 50 ambayo imechora mistari mbalimbali ya mlalo (horizontal lines) inayopelekea picha na maandishi kutoonekana vyema. Naomba msaada wa kujua wapi naweza kumpata fundi wa tatizo hili na gharama zake
  18. Dalali wa Mjini

    Mzee wangu ni fundi wa ujenzi

    Habari ya wakati huu ndugu zangu wa Jua na Ac. Kama kawadi hapa dalali wa mjini nipo live. Jirani yangu ni fundi ujezi wa nyumba ambaye taaluma Yake alisomea chuo cha ufundi veta miaka mingi iliyopita. Ushahidi ni mimi mwenyewe kunijengea nyumba yangu.Kwahiyo yupo vizuri kwenye professional...
  19. stabilityman

    Fundi wa kujenga chemba za kisasa

    Habari naitwa James Ni fundi wa kujenga chemba za kisasa za kuvutia karibu 0743257669 Tupo banana ukonga
  20. stabilityman

    Fundi kupaua mapaa ya kisasa nipo hapa 0743257669

    Hii ni nyumba ya ya vyumba 3 vya kulala Mbao za 2/2 mbao 130 Mbao za 2/4 mbao 150 Misumali kg 45 ya inch 4 Mbao za fisherboard 18 Rangi sado 1 Kofia 26 Valley 18 Misumali ya bati pakt 30. Bati 140 Nipigie au nichek Whatsapp 0743257669 tufanye kazi Tunapatikana ukonga dsm
Back
Top Bottom