fundi

  1. Epateletech

    JamiiForums Tanzania Fundi simu hapa uliza chochote

    Una changamoto gani kwenye simu yako nikupe solution na bei ya matengenezo Ulizq chochote notakujibu kwenye comment Whatsapp 0757937196
  2. stabilityman

    JamiiForums Tanzania faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa mbali na eneo lako hasa mkoani

    Ingawa wengi hupendelea mafundi wa karibu, kutumia fundi kutoka mbali kunaweza kuwa na faida maalum kulingana na mahitaji na mazingira ya mradi wako. Hapa kuna baadhi ya faida zake: 1. Utaalamu wa kipekee – Fundi kutoka mbali anaweza kuwa na maarifa au uzoefu wa kipekee ambao haumpati fundi wa...
  3. stabilityman

    JamiiForums Tanzania faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa jilani na eneo lako

    Habari naitwa Eng James ni mtaalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa ,Ramani za nyumba ,BOQ N.K Wewe endelea kufatilia maandiko yangu utajifunza mengi kuhusu ujenzi na kupata ubora mkubwa sambamba na kupunguza ghalama. Njoo tukujengee tukukabidhi funguo 0743257669 ofisi tupo ukonga dsm Kumtumia...
  4. Livanga

    JamiiForums Tanzania Je napotaka kuagiza gari ni sawa kupata ushauri wa Fundi? Nini kifanyike kushawishi mafundi kuongeza ujuzi zaidi?

    Kutokana na uzoefu na kwa kuzingatia changamoto tunazopitia sasa kadri muda unavyogea tutakuwa tuna uhaba mkubwa wa mafundi wajuzi wa kutatua matatizo ya magari kwa ufasaha ni kutokana na ukweli kwamba mafundi wengi hawana tabia ya kupenda kuongeza ujuzi wao na wanaamini kile wanachokijua...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Fundi wa umeme wa gari

    Naomba kuuliza fundi mzuri wa mifumo ya umeme wa gari, nina crown ambayo inanyonya battery, nimeweka battery mpya na bado imeisha charge.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Fundi nilimpa elf 10 ya mafuta, kaenda kununua ya kuchakachua kubana hela, gari haiwaki inabidi nisafishe tenki zima, Mafundi njaa zitawaua !

    Vijana wetu kuna muda mnajishusha tunawapa chance kuwaamini lakini mambo wanayofanya yanatukatisha tamaa ya kuendelea kuwaamini. Gari ilikuwa na matatizo, nikaenda mtaani kutafuta fundi aje kuliangalia. Gari iligoma kuwaka kwajili ya matengenezo tukaona mafuta hayatoshi kuliwasha. Nikampa...
  7. hassanjrtz

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, mimi ni fundi wa kuchomelea

    Habari wana Jf, mimi ni fundi wa kuchomelea (arc ray welding) pia nina uwezo wa kutumia mashine mbali mbali kama za MIG na TIG. Natafuta kazi ya kuchomelea hasa viwandani na migodini maana ndiyo sehemu ambazo nina uzoefu nazo kwa muda mrefu sasa. Kwa mawasiliano zaidi 0688607000.
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Huyu fundi umeme kaacha alama kwenye nyumba hii

    Sija jua jina la fundi ila nimeona kaacha alama ndani ya jengo.
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania My workshop: Fundi seremala

  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada Garage na Fundi mzuri wa Volkswagen Dar es Salaam

    Wanajamvi Msaada kwenye tuta Nahitaji fundi mzuri kwa ajili ya gari aina ya VW(Volkswagen) Napokea recommendation nitashukuru nikipata namba ya simu na location ya garage Natanguliza shukrani.
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ila Ujenzi wa bongo huwa ni pure comedy! Tunaanzaga kwanza na fundi MAIKO alafu akizungua ndio tuna mtafuta fundi MICHAEL 🤣

    Ujenzi wetu upo sana katika misingi ya kufinya bajeti. Siwezi kulaumu yoyote kwa maana hali ni ngumu kiukweli. Ila hali hii isitengeneze kama jadi fulani hivi sasa maana tunaishia kugharamika hata zaidi ya pesa tungeempa fundi aliehitaji pesa ndefu. (MICHAEL)
  12. Suip

    JamiiForums Tanzania Malipo ya fundi wa tile kwa skwea mita(square metre) ni sh. ngapi

    Wadau nategemea kuwekea sakafu tiles,sasa changamoto ni malipo ya fundi mweka tiles,maana kuna fundi ambaye alifanya shughuli nyingine za ujenzi ananiambia kuwa square mita ni sh. 9000. Mafundi wengi ni madalali anauza kazi kwa mwingine naye ale chake. Naomba kwa wenye uzoefu ni sh. ngapi kwa...
  13. BOFREE

    JamiiForums Tanzania natafuta fundi bati na fundi welding kwa aajili ya madilisha uwe unatokea bunju au tegeta

    habari mtaalam wa kupau na mtaalam wa kuchomelea unaitajika uwe na ofisi bunju au tegeta uwe na kazi ambazo uliishawai kufanya naitaji fundi maiko sio kampuni na pia usiwe dalali uwe fundi mwenyewe wa bei iwe rafiki
  14. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician) Mawasiliano inbox
  15. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician)

    Naomba kazi fundi mitambo (mechanical technician) Inbox mawasiliano
  16. T

    JamiiForums Tanzania Fundi wa kujenga

    Naomba muelekezo wa fundi nyumba ili nimalizie nyumba. Finishing, umeme, maki, rangi, tiles nk
  17. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kumuuliza fundi sifa zake za kitaaluma kabla hujampa kazi?

    Juzikati tulipata reference ya fundi mmoja tukamtafuta baada ya kupata mawasiliano yake akaja hadi saiti tukamwonesha kazi. Akacheki kazi anayotakiwa kuifanya akatoa mahesabu ya vifaa vyote vinavyotakiwa pale. Siku ingine tukakutana naye hardware kununua vile vifaa alivyoviandika yeye fundi...
  18. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Fundi wa gps track in Dar es salaam

    Piga 0746373222.....Je, unamiliki gari,pikipiki au bajaji(chombo cha moto)? Je,unataka kukilinda na kukifatilia chombo chako popote kinapokwenda? Je,Umechoka kupewa taarifa za uwongo na dereva wako kuhusu chombo chako cha moto? Tupigie ☎️0746373222 tukuambie namna ya Kutumia Gps tracker...
  19. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya fundi nyumba wamekuwa tatizo, wanakujengea nyumba yako na unawalipa malipo yao yote, baada ya hapo wanakusumbua kila wakuonapo wakiomba hela

    Baadhi ya fundi nyumba wamekuwa tatizo, wanakujengea nyumba yako na unawalipa malipo yao yote, baada ya hapo wanakusumbua kila wakuonapo wakiomba hela Hili tatizo linakera sana imepelekea baadhi ya wamiliki wa nyumba na majengo kutokuonekana sana uraiani na kuishi maisha ya siri baada ya kupata...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Fundi Mwerevu wa exhaust

    Hamjambo wakuu. Nisaidieni, nahitaji fundi wa exhaust ambayo anaexperince kubwa kuzikagua, rekebisha au replace exhaust. Pia kuweka ngao au kinga yoyote ya kuizuia kuharikibika tena. Gari ni Toyota Runx.
Back
Top Bottom