Habari wadau,
Tunatoa huduma za ufundi umeme na solar,
. wirring aina zote
. maintenance ya wirring zote
. security system (CCTV)
.water pump
. Street light
N.k
Tunapatikana Iringa Mjini
Call: 0678019417
Pia tunatoa huduma ya kufunga submiter zinazokata umeme kwa bei poa kbsa
Msaada wadau natafuta fundi Mzuri nasisitiza mzuri maana mafundi wa electronics "wengine" wabahatishaji.
Hivyo kama unafaham fundi anae jua kutengeneza hizi external hard drive Naomba anisaidie.
External nilizonazo zinawaka ukiziconnet ila hazisomi sio kwenye computer au kwenye TV.
Wakuu kwema nyote, naomba nianze tatizo hili kuna jamaa kanunua flat screen na vile vichuma wakampa vya kuvungia ukutani, maana akisema aweke ikae kwenye meza anahofia watoto watasukuma.
Sasa anatafuta fundi au jinsi ya kuifunga ukutani afanyeje?
Natanguliza shukrani 🙏.
Tunahusika na ujenzi wa:
1. Pavement blocks za maua mbalimbali (kufyatua na kupanga)
2. Kujenga kegbstone(bouder blocks) na kudesgn garden🌺🌱
3. Tunafanya renovation (paving zilizotitia) na kuzipaka rangi (painting)🖌️
4. Tunajenga paving za kisasa kwa kutumia mold za plastic (zinaokoa...
Fundi simu anahitajika kama kichwa ya habari inavyosema hapo juu,fundi ninae muhitaji ni fundi makini,anaejua kazi,anaejua majukumu ya kazi yake Maeneo yote mawili software na hardware.
Japo matatizo ya software sio mengi lakini fundi mwenye anajua basic tips za kuondoa FRP,FLASHING TOOLS,nk na...
Yani haka kagari huwa natamani sana nikachukue kama back up huko sababu ya space ila tatizo lake huu mlango wa kuburuza siupendi kabisaaa mtaalamu wa bodi anibadilishie ufunguke kama milango mingine usiwe wa kuburuza kama ulivyo sasa inawezekana?
Kuna mafundi nguo wazuri na wazinguzi. Kila mmoja huenda ana jambo lake linalomfanya kamwe asimsahau fundi nguo fulani labda kwa uzuri au ubaya.
Share with us kilichojiri kwenye comments...
Habari!
Kalibun kwa huduma za ufundi umeme na solar, tunafany design za taa mbali mbali za umeme. Tv show case na wirring zote kwa ujumla, tunafunga submitter aina zote. Tuna design taa mbali mbali za solar kam stree light, home lighting system, stand alone system na hudum nyingne za umeme na...
Simba tumekosea sana kumuachia kiungo mkata umeme hata akiwa benchi,
Nimeumia sana maana hata bin kazumari alisemaga kuwa mnyama hapa hajapigwa kwa sawadogo why aachwe?
Sawa sawa na tumemuacha maestro Andrea piro .
Nimeumia sanaa natamani ninywe sumu
Leo nikiwa zangu ofisini kwangu jua la mchana hivi nikiwa napiga tu miayo kwa njaa ya pesa,
Akaja mdada mmoja akiwa na simu ya batani imevujia kioo, sasa kwa bahati mbaya nikawa sina kioo cha aina hiyo, kwa haraka haraka nikapiga hesabu kuna simu moja ya mteja nilimtengenezeaga spika akawa...
Habari wanajamii,
Mimi ni kijana mwenye shahada ya uhandisi mitambo (Bsc in Mechanical Engineering) naishi Dsm. Jinsia ME,
Kwasasa sina kazi yoyote, hivyo kama kijana mwenzenu nnaetafuta kujikwamua kimaisha naombeni msaada wenu niweze kupata kazi yoyote ya halali kwa maana hali imekuwa ngumu...
Wakuu hope mpo poa,
Hii ni thd ya kujifurahisha tu "Jokes"
Tunge sentensi kwa kutumia neno Simu ilikua kwa fundi,
Naanza na hii,
Hongereni sana mashabiki wa Argentina kwa kutwaa kombe la Dunia,sikuwezi kutoa hongera zangu kwenu mapema coz simu ilikua kwa fundi,
Twende kazi......
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uhamisho wa baadhi ya Wakuu wa Mikoa kama ifuatavyo:
1. Bw. Amos Gabriel Makalla amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
2. Bw. Adam Kighoma Malima amehamishiwa kuwa Mkuu wa Mkoa...
Mudathir Yahya is a Baller. At the age of 27 years old. He could have been ina better Club than Azam and Young Africans. He is too good.
I hope these CAF competitions highlights his career to a better pay day. Azam FC recruitment board ipo vizuri sana.
Hongereni.
Hakika Mwenyezi Mungu ni wa kipekee na kwake magomvi huyatolea uamuzi kwa namna anavyoona yeye ikimfaa.
Kama alivyotujuza mwendazake Membe kwamba ugomvi wake na Magufuli uliamuliwa na Mungu ndivyo sasa ugomvi wake na Musiba nao umeamuliwa na Mungu 😅.
Mungu fundi nyie!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.