fundi

  1. Jidu La Mabambasi

    Kazi ya fundi Maiko katika ubora wake!

    Nyumba zilizojengwa na fundi Maiko na zile za Fosi Akaunti.
  2. The bump

    Natafuta mafundi hawa Fundi Blandering, Fundi Gypsum, Fundi Skimming kwa wanaowajua wazoefu niunganisheni nao/nae

    Naombeni msaada ndugu zangu wa Mafundi wazuri wanaoweza kazi kwa bei nafuuu kabisa. Nyumba imeisha ila bado blandering, nyumba imepigwa plasta nnje na ndani ila bado haijafanyiwa skiming wala rangi. Nahitaji Fundi wa skiming na rangi kisha Blandering na Gypsum au Ceiling Board. Naomba...
  3. FirstClass

    Fundi wa Skimming/Rangi anatafuta kazi

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, fundi mbobezi wa hizi kazi nipo Daresalama na ninahitaji kazi. Kwa muda mrefu nimekuwa nikifanya na kusimamia kazi za serikali, hivyo ubora wa kazi yako ni kipaumbele cha kwanza. Karibuni sana..
  4. BIG STONE AND CONER STONE

    Msaada: Fundi anayeweza kutatua tatizo la USB/Flashdrive kusoma au kuhamisha mafaili kutoka USB ambayo haisomi

    Inshort' Nilinunua flash yangu GB 16 imation nikaweka file zangu important ila finally hii flash Ikawa haisomi Tena Baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa. Baadae nikanunua nyingne ya GB 8 ila kampuni ni Disk, sasa na yenyewe haisomi tena baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa. Changamoto hizi...
  5. fungi06

    Kama wewe ni fundi, au mkulima na upo site ila una upungufu wa vibarua wapate hapa

    Hello there! Kumekua na uhaba mkubwa wa ajira sana nchini kwetu, kiongozi sahihi atakae tokea kumaliza huu ukame atakua amesaidia sana taifa n hakika ataweka legacy kubwa kama ile iliyowekwa na baba wa taifa kwa kukomboa nchi. Mbali na ugumu wa ajira uliopo sasa nchini huenda mda mwingine...
  6. Afisa Mteule Drj 2

    Natafuta fundi wa printer Hp Laser jet pro MFP color 475dn

    Printer yenyewe ni hii hapa chini ni Hp Laserjet Pro 400 MFP colour 475dn pia na ku-refill uwino.Fundi huyo awe ni kutoka Mbeya
  7. M

    Fundi wa mashine ya hydrafoam engine ya hatz

    Habari wadau, Natafuta fundi wa mashine ya Hydrafoam yenye engine ya HATZ ya diesel, engine yangu haifanyi kazi na vinu pia vina shida nahitaji kuifufua ili niweze kuitumia tena. Naombeni msaada wenu
  8. Wadiz

    Kocha Robetihno Oliviera fundi jezi no 7 aliecheza na Nyota wa Brazili Zicco timu ya Flamingo ya Brazil

    Eeh bana eeeh Robetihno alikuwa mtu na nusu amecheza sana uwanja mkubwa Duniani wa Maracana. Mwamba akivaa jezi no 7 alikiwasha sana. Huyu mwamba ndiomana hanaga pressure na haogopi kucheza na timu yoyote. Simba SC imepata bonge la Mwamba katika soka. Wanaobisha YouTube ipo inakutoa...
  9. LA7

    Umeshawahi kumuamini fundi yeyote yule ukamlipa pesa ya kazi? Siku ya kupokea kazi isiendane na pesa ulomlipa?

    Ndo hivo yaani mtu nimempa lakitatu anifanyie kazi, siku ya kuleta kazi haiendani hata kidogo na pesa ni liyompa Na sitaki kuzozana na mtu, dunia tunapita tu.
  10. I

    Fundi ujenzi natafuta kazi

    Hello Naitwa Nyesigamkama Ni fundi ujenzi wa nyumba Fani ya Bricklaying and Concrete practice. Najenga kuanzia nyumba ya kawaida mpaka Ghorofa. Niko Murongo Kyerwa Kagera nafanya kazi mikoa yote. Namba yangu Ni 0614899688
  11. Babatunde_seneior

    FUNDI GARI

    Engine ni 5VZ Ilichanganya oil na maji nipo hapa kwaajili ya marekebisho ya gari. Mimi ni fundi Nipo bunju b dar es Salaam karibu kwa marekebisho ya Gari yako. Pia nafukia popote ulipo 0788887129 0755539092
  12. danja de genzo

    Fundi wa madishi Morogoro

    Habari upo morogoro na unatafuta fundi Karibu upate mafundi waaminifu huduma tutoazo FUNDI MADISHI FUNDI UMEME FUNDI MAFRIJI Karibu upate huduma za KUFUNGA TV UKUTANI, huduma zote zinazohusu solar, huduma zote za UMEME wa majumbani na viwandani ,huduma za kumtengenezea mafriji yasiyopoza Karibu...
  13. Plaintiff

    Fundi simu anayeweza kunirekebishia hii simu anicheck

    Simu ni LG G8 thinq Ipo locked na mtandao wa China Unicom. Ukiweka line za Bongo inashika tu 4G muda wote(Hivyo huwezi kupiga simu wala kupokea message). Except kwenye airtel ambapo ukiweka itashika 4g kama kawaida ila ukipiga simu itajishisha kuja 3G na ukimaliza itarudi 4G. Mitandao...
  14. Mkurugenzi Wa Mashirika

    Lenovo Xiaoxin 700-15ISK ya CORE 7 yenye NVIDIA GEFORCE GTX imezima natafuta fundi anitengenezee nipo DAR

    Habari wakuu, Lenovo Xiaoxin 700-15ISK ya CORE 7 yenye NVIDIA GEFORCE GTX imezima natafuta fundi anitengenezee nipo DAR. . Taa inawaka vizuri kabisa. . Tatizo screen ndio haiwaki .. Niliipeleka kwa mafundi wakatest screen ni nzuri kabisa, wakatest RAM zote haizikubali .N.K
  15. K

    Naomba kufahamishwa kuhusu Bei ya Kufanya "Skimming"

    Wanajamvi naomba kujua makadirio ya Skimming hasa bei ya fundi ni sh ngapi kwa nyumba yenye vyumba vitatu, sebule, Dining na jiko.
  16. Babatunde_seneior

    Mimi ni fundi wa magari, natafuta sehemu ya kufanyia kazi Dar es Salaam

    Habari zenu wakuu, Mimi ni fundi wa magari nina uzoefu wa takribani miaka nane sasa natafuta sehemu ya kufanyia kazi nipo dar es Salaam. Au kama kuna mtu atakua tayari kufungua ofisi kwaajili ya tire service na baadhi ya spare za magari nipo hapa.
  17. W

    Msaada kuhusu gharama za fundi

    Habari za asubuhi wazee, Naombeni makadrio ya gharama za fundi kwenye ujenzi wa Msingi, ukuta, mpaka bati kwa wale wazoefu wa hizi kazi.
  18. BARD AI

    Fundi Kushona auawa baada ya kumsaidia mtuhumiwa chakula

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Kwalakamu wilayani Rombo kwa madai ya kuhusika na mauaji ya fundi nguo, mkazi wa Kijiji cha Ngaseni, Anord Tarimo (30). Agosti 29, mwaka huu fundi huyo, anadaiwa kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili...
  19. N

    Wapi naweza pata vibarua vya saidia fundi kwa hapa Dar

    Mimi ni kijana wa miaka 23 napatikana Dar maendo ya Mbezi Mwisho, Napenda kuulizia kwa hapa Dar ni wapi naweza pata vibarua vya ujenzi Kama saidia kwenye mradi unaoendela kwa sasa au Kama Kuna fundi anaweza ni push ili maisha yaende
Back
Top Bottom