fundi

  1. BabaMorgan

    Kipi sahihi kuwa na fundi mmoja permanent ama kubadilisha mafundi.

    Nina wasiwasi na fundi anayenirekebishia pikipiki anatumia udhaifu wangu wa kutokuwa na uelewa juu ya changamoto za pikipiki na kutojua bei ya vifaa kunikanda linapokuja ishu ya payments baada ya service. Kwa wamiliki na wazoefu wa pikipiki which ni best way ya kufanya service kutumia fundi...
  2. F

    Fundi Seremala anatakiwa

    Habari za wakati huu? Natafuta fundi seremala atakaefanya kazi kwenye karakana yetu, anaeweza kutengeneza kazi za mbao pamoja na MDF. Ofisi ipo Tanga, korogwe... Sehemu ya kulala ipo vifaa vyote vipo ila kama anavyakwake itakua vizuri zaidi. Malipo ni maelewano kwa kila kazi atakayofanya...
  3. K

    Sales Technician (Solar Products) Required

    Sales Technician (Solar Products) Required Preferably a lady. Experienced in solar sales & installation + customer care. Please send your CV to duniapower@protonmail.com by August 31, 2025.
  4. L

    Nahitaji fundi wa smart tv - Aiwa

    Nina Aiwa smart tv ambayo haidisplay chochote ukiiwasha. Nahitaji fundi aje aiangalie.
  5. bakari khalidi

    Fundi wa kushona nguo nipo hapa

    Natafuta Fundi wa nguo za kiume Msaidizi. Finishing Suits, Shirts, Pants ect..Nipo tayari kukufundisha kushona nguo za kiume kisasa for free +255719377649 Dar es salaam, Tanzania
  6. bukoba boy

    Fundi Wiring umeme wa Nyumbani

    Habari wadau humu! Hii kazi unaipa marks ngapi?
  7. FK21

    Nahitaji fundi TV Mwanza

    Kama Kuna fundi TV Mwanza please naomba anicheki DM
  8. S

    Simba aliondoka Deo Njohole, Method Mogella ‘fundi’, Hamis Gaga nini Mohamed Hussein Tshabalala, msikuze mambo

    Kama kuna wachezaji ambao ilituuma kuondoka Simba basi ni hawa wafuatao, Deo Njohole, marehemu Method Mogella ‘Fundi’, marehemu Hamis Gaga Gagarino, Zamoyoni Mogella let alone akina Chuji, Chama, Barnabas Sekelo, nashangaa sana media zinamkuuuza Zimbwe, kijana uwezo wake ni wa kawaida sana ss...
  9. Tech Max

    Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa Dar es salaam

    Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa dar es salaam, naomba kazi saidia fundi elimu yangu ni stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering) Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  10. Tech Max

    Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi Dar es salaam

    Natafuta fundi umeme na ujenzi tufanye kazi mkoa wa dar es salaam, naomba kazi saidia fundi elimu yangu ni stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering) Napatikana: Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  11. Likey29

    Fundi mzuri wa gari za nissan

    Wakuu naombeni mwenye fundi mzuri wa gari za nissan wa uhakika, gari yangu ni nissan cube. vipengele: inachemsha inachoma coil (nimebadili mara mbili) inakosa nguvu (hai-accelerate) gari inavuta upande mmoja speed ikiongezeka Naomba msaada wenu wakuu.
  12. mohamedidrisa789

    Fundi umeme nipo hapa kwa ajili ya Kazi

    Fundi umeme wa uwakika mwenye uzoefu na kazi kwa kiwango nipo hapa boss wangu karibu sana unipe kazi. Nafanya kazi kwa gharama ya kawaida na kazi bora na uwaminifu mkubwa sana. Kwanz nakusikiliza boss unaitaji nini kwenye jengo lako pia nakupa ushauri wa nini kifanyike. Zingatio: kama unaitaji...
  13. Kipenzi Changu

    Fundi anayeweza kufanya hii design ya paa ajitokeze

    Mkuu anayeweza kuifanya hiyo design au anayejua fundi. Ajitokeze
  14. masai dada

    Fundi wa laser machine

    Nahitaji fundi wa kunifanyia installation ya kaser machine
  15. T

    FUNDI WA ENGINE ANAHUTAJIKA

    Natafuta fundi mashine mwenye uwezo wa kubadili dizel engene HP 20 kuweza kutumia LPG Gas. Lengo ni kupunguza gharama ya uendeshaji wa mashine
  16. Chiferereji Cha jisatu

    Natafuta kazi ya Fundi bomba

    Habari Mimi ni Tech wa mambo ya Maji na nina Experience ya maswala ya maji safi na maji taka kwa miaka 4, kama Kuna Kampny Ina hitaji mwenye sifa hyo nipo tiyari kushikiri kutimiza majukumu kwa maendeleo na faida ya Kampny
  17. Epateletech

    Fundi simu hapa uliza chochote

    Una changamoto gani kwenye simu yako nikupe solution na bei ya matengenezo Ulizq chochote notakujibu kwenye comment Whatsapp 0757937196
  18. stabilityman

    faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa mbali na eneo lako hasa mkoani

    Ingawa wengi hupendelea mafundi wa karibu, kutumia fundi kutoka mbali kunaweza kuwa na faida maalum kulingana na mahitaji na mazingira ya mradi wako. Hapa kuna baadhi ya faida zake: 1. Utaalamu wa kipekee – Fundi kutoka mbali anaweza kuwa na maarifa au uzoefu wa kipekee ambao haumpati fundi wa...
  19. stabilityman

    faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa jilani na eneo lako

    Habari naitwa Eng James ni mtaalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa ,Ramani za nyumba ,BOQ N.K Wewe endelea kufatilia maandiko yangu utajifunza mengi kuhusu ujenzi na kupata ubora mkubwa sambamba na kupunguza ghalama. Njoo tukujengee tukukabidhi funguo 0743257669 ofisi tupo ukonga dsm Kumtumia...
  20. Livanga

    Je napotaka kuagiza gari ni sawa kupata ushauri wa Fundi? Nini kifanyike kushawishi mafundi kuongeza ujuzi zaidi?

    Kutokana na uzoefu na kwa kuzingatia changamoto tunazopitia sasa kadri muda unavyogea tutakuwa tuna uhaba mkubwa wa mafundi wajuzi wa kutatua matatizo ya magari kwa ufasaha ni kutokana na ukweli kwamba mafundi wengi hawana tabia ya kupenda kuongeza ujuzi wao na wanaamini kile wanachokijua...
Back
Top Bottom