UHITAJI WA FUNDI WA COMPUTER DODOMA MJINI

Blessed Keinerugaba

JF-Expert Member
Nov 16, 2011
4,711
4,642
Ninawasalimka ndugu wajumbe.
Ninatafuta mtaalamu wa Kompyuta kwa Dodoma. Komyuta yangu imekuwa na changamoto inapowashwa hai-display chochote. Kama yuko fundi humu kwa upande wa Dodoma tunaweza kuwasiliana PM, ikiwa kuna mtu anamfahamu fundi mikini nitashukuru kupata mwongozo tafadhali!
 
Ninawasalimka ndugu wajumbe.
Ninatafuta mtaalamu wa Kompyuta kwa Dodoma. Komyuta yangu imekuwa na changamoto inapowashwa hai-display chochote. Kama yuko fundi humu kwa upande wa Dodoma tunaweza kuwasiliana PM, ikiwa kuna mtu anamfahamu fundi mikini nitashukuru kupata mwongozo tafadhali!
Hebu mtafute huyo naamini atatua hilo 0622-075074 anaitwa francis
 
Back
Top Bottom