“They were conned out of billions of shillings in just twelve months.”
Hundreds of Ugandans woke up last week to a sad reality – they had been trapped in an exploitative scam by four Ugandans and four West Africans trading under the name Dunamiscoins Resources. Dunamiscoins Resources is...
Wakuu huu ni mwezi wa pili kwa wale wanaotumia broker wa templer forex hawawezi kudiposit pesa kwa njia ya M-Pesa Tanzania
Inasemekana kuna mgogoro mkubwa wa kampuni ya M Pesa na BOT
Tafadhali BOT malizeni mgogoro wenu kwani biashara za mtandao zipo nyingi tu kwann mnaleta vurugu kwa mabroker?
Wakuu wa JF hope mko poa sana na maisha yanaenda fresh pande zenu.
Ninaandika uzi huu kwa uchungu sana kuhusu rafiki yangu wa kufa na kuzikana (he Is like a brother to me), huyu jamaa alijitumbukiza kwenye FOREX yapata mwaka sasa na hakuna kitu amefaidika nacho zaidi ya kupoteza pesa. Jamaa ni...
Salute bosses
Utangulizi
Wengi mmesikia sikia sana kuhusu Forex trading, mmepata kujua taarifa kadhaa kuhusu hii biashara lakini mmeshindwa kufahamu nini kinaendelea. This is the perfect thread, tutaelewa kila kitu hapa na hakuna atakayebaki na swali kichwani - we have to leave this thing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.