Tickmill yukoje?Mwaka juzi nlimtumia mt4 ika freez,badae siku tatu kurudi hewani pair ya GBPJPY nlikuwa na profit ya 900$ na pair ya EURUSD nlikuwa na loss ya 300$.Nkazi vuna zote,baada ya wiki ili freez tena mpaka leo.Huwezi amini.Sikushauri huyu brocker.Tumia Tickmill
Tickmill yako njema ila mpaka sasa sijaona kama PEPPERSTONE kutoka Australia.Tickmill yukoje?
Uzuri wa PEPPERSTONE dhidi ya TIckmill ni nini?Tickmill yako njema ila mpaka sasa sijaona kama PEPPERSTONE kutoka Australia.
Spreads na regulation.uzuri wa PEPPERSTONE dhidi ya TIckmill ni nini?
Kaka nimeku pm please nahitaji msaada wakoSpreads na regulation.